CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
NA HUU NAZANI UTAKUWA NI UONGO AU NI PHOTO SHOP
msameheni bure, atakuwa alipitiwa tu.
Jamaa unanongwa wewe! yaani hutaki tu kukubali,nashauri JK awe anamualika mpika uongo mashughuli katika uzinduzi wa miradi.Anataka asifiwe kwa kazi anayofanya sasa hivi ya kuzindua vichochoro ambavyo yeye anaita ni barabara
Jamaa unanongwa wewe! yaani hutaki tu kukubali,nashauri JK awe anamualika mpika uongo mashughuli katika uzinduzi wa miradi.