Habari kutoka katika chanzo cha UHAKIKA zinadokeza kuwa yule kigogo maarufu katika kesi ya EPA yupo katika COMA kwenye hospitali maarufu jijini mwenye habari zaidi uwanja ni wako!
So they finally got him! Mafisadi hatari.
So they finally got him! Mafisadi hatari.
Mkuu sijakusoma..ina maana wamempata ili asi-spill ze beans au?
cheki hapo juu kulia kuna dole gumba jekundu na kijani... press hiyo ya kijani atakua amepata vote ya confidenceMag3,
Ningekuwa na uwezo wa kukuwekea thanks zaidi ya moja........
umenena kweli mtu usikubali kutumiwa maana mwisho wake huwa mautiNimekutana na Beredy mara tatu hapa India akifuatilia matibabu ya kuondoa sumu mwilini; alipewa sumu na mafiaso wa Rostam Azizi ili kuzuia siri ya Kagoda isiweze kuthibitishwa mahakamani, muda wote baadaye. Tumekutana tena mwanzoni mwa Septemba hapa Dar es salaam; aliniambia kuwa hali yake haikuwa nzuri, na hata kwa kumwangalia alionyesha kuchoka, licha ya ujana na mapesa aliyonayo. Hivyo, habari kwamba kwa sasa Beredy amelazwa na yuko mahututi hospitalini siwezi kuzipuuza.
Mafiaso wanataka kukata mzizi wa fitina. Na nikichukua analogy hii, nitashangaa iwapo Rashid Shamte aliyetumika kusambaza sms za kuchafua hali ya usalama na amani nchini, ataishi muda mrefu mara baada ya uchaguzi. Na hili ni somo kwa mnaokubali kutumiwa na mafisadi/mafiaso waliojichimbia mizizi nadani ya dola.
Habari kutoka katika chanzo cha UHAKIKA zinadokeza kuwa yule kigogo maarufu katika kesi ya EPA yupo katika COMA kwenye hospitali maarufu jijini mwenye habari zaidi uwanja ni wako!
Mkuu sijakusoma..ina maana wamempata ili asi-spill ze beans au?
yeye sio wa kwanza kuwa kwenye koma.mungu atamweka hadi amalize aliyoyaanza hapa ulimwenguni...
Nimekutana na Beredy mara tatu hapa India akifuatilia matibabu ya kuondoa sumu mwilini; alipewa sumu na mafiaso wa Rostam Azizi ili kuzuia siri ya Kagoda isiweze kuthibitishwa mahakamani, muda wote baadaye. Tumekutana tena mwanzoni mwa Septemba hapa Dar es salaam; aliniambia kuwa hali yake haikuwa nzuri, na hata kwa kumwangalia alionyesha kuchoka, licha ya ujana na mapesa aliyonayo. Hivyo, habari kwamba kwa sasa Beredy amelazwa na yuko mahututi hospitalini siwezi kuzipuuza.
Mafiaso wanataka kukata mzizi wa fitina. Na nikichukua analogy hii, nitashangaa iwapo Rashid Shamte aliyetumika kusambaza sms za kuchafua hali ya usalama na amani nchini, ataishi muda mrefu mara baada ya uchaguzi. Na hili ni somo kwa mnaokubali kutumiwa na mafisadi/mafiaso waliojichimbia mizizi nadani ya dola.