Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
I will not be supprised if it happens to be true kwani hata Balali ilikyuwa hivyo. Kama ni kweli Mungu amsaidie apone na afanye maungamo hadharani .
alafu kama mnakumbuka akatishia kipindi kile cha mahakamani wakimsumbua atatoa yoteeeee
weeeeeeeeee nani akupe nafasi ya kutoa hata nusu ..amuulize mh balali uko aliko kama kweli amekufa