Kamati hiyo ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge, inaongozwa na Mbunge wa Mlalo, Hassan Ngwilizi (CCM) na Naibu Mwenyekiti ni Mbunge wa Simanjiro, Christopher ole Sendeka.
Wajumbe wengine wa kamati ni pamoja na Mbunge wa Tumbe, Rashid Ali Abdallah (CUF), Mbunge wa Manyoni Mashariki, John Chiligati (CCM), Mbunge wa Viti Maalumu, Maua Daftari (CCM) na Mbunge wa Viti Maalumu, Dkt. Christina Ishengoma (CCM).
Wengine ni Mbunge wa Viti Maalumu, Riziki Omar Juma (CUF), Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) na Mbunge wa Namtumbo, Vita Kawawa (CCM).
Pia wapo Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (CHADEMA), Mbunge wa Mbogwe, Augustino Masele (CCM), Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi (CHADEMA), Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP), Mbunge wa Viti Maalumu, Hilda Ngoye (CCM), Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA) na Mbunge wa Karagwe, Gosbert Blandes (CCM).
---
Imenukuliwa (kwa ajili ya kumbukumbu na marejeo) kutoka kwenye habari iliyochapishwa katika gazeti la HabariLeo.co.tz
Source: Wajumbe wa Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge - wavuti
Wajumbe wengine wa kamati ni pamoja na Mbunge wa Tumbe, Rashid Ali Abdallah (CUF), Mbunge wa Manyoni Mashariki, John Chiligati (CCM), Mbunge wa Viti Maalumu, Maua Daftari (CCM) na Mbunge wa Viti Maalumu, Dkt. Christina Ishengoma (CCM).
Wengine ni Mbunge wa Viti Maalumu, Riziki Omar Juma (CUF), Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) na Mbunge wa Namtumbo, Vita Kawawa (CCM).
Pia wapo Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (CHADEMA), Mbunge wa Mbogwe, Augustino Masele (CCM), Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi (CHADEMA), Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP), Mbunge wa Viti Maalumu, Hilda Ngoye (CCM), Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA) na Mbunge wa Karagwe, Gosbert Blandes (CCM).
---
Imenukuliwa (kwa ajili ya kumbukumbu na marejeo) kutoka kwenye habari iliyochapishwa katika gazeti la HabariLeo.co.tz
Source: Wajumbe wa Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge - wavuti