Pints ndiyo ujazo wa debe au pipa?Wengi hatujui vipimo vya Uk.Total liquid intake iwe seven pints, at least four of those should be water.
Kama alivyokujibu RGFOREVER ndivyo inavyopaswa kuwa, usifanye tofauti, lakini mhimu ni kuhakikisha ukishakunywa maji, basi maji yanatakiwa yabaki mwilini walau masaa 2 mpaka 2 na nusu kabla ya kwenda kukojoa, utafanyaje?, bonyeza link ifuatayo ukajifunze zaidi, usisite kuuliza tena: jitibu kwa kutumia maji | maajabu ya majiJF Doctors!
Naomba kujua kiasi cha maji kinachotakiwa mwilini kwa mtu mzima kwa siku.
Nauliza hivyo kwa sababu leo nimekunywa maji lita Tatu na nusu (from 8am hadi 8pm).
Naombeni majibu yenu
mkuu lita 5 utaishiwa madini na viinilishe vyote mwilini.maximum iwe ni lita 3.5 ndani ya masaa 24.Anzia lita tatu hadi tano au zaidi!