Mtu mzima anapaswa kunywa maji kiasi gani kwa siku?

Ork

Member
Mar 23, 2012
40
8
JF Doctors!
Naomba kujua kiasi cha maji kinachotakiwa mwilini kwa mtu mzima kwa siku.

Nauliza hivyo kwa sababu leo nimekunywa maji lita Tatu na nusu (from 8am hadi 8pm).

Naombeni majibu yenu
 
Maji hunywewa kulingana na Uzito

Sasa Tufanye Mahesabu kidogo.

Mfano: Mwenye uzito wa 75kg

¤Badili 75kg kwenda kwenye Aunsi.. Na aunsi 1=31.25 ml

sasa kupeleka kwenye Aunsi zidisha 75 mara 2.2
75x2.2=165 aunsi

¤Tafuta nusu ya Aunsi kwa kugawanya na 2
165/2 ambapo ni sawa na 82.5

¤Sasa gawanya kwa Mfululizo utakaotaka kuufuata Kunywa Maji kwa Siku. Kama ni Mara 3,5,au 8 sasa Tuchukue mfululizo wa Mara 8. 82.5/8 sawa na 10.3 aunsi

¤Badili Aunsi kuwa Miligramu
1Aunsi=31.25
10.3 x 31.25=322Ml

Kwahiyo mwenye Uzito wa 75kg anatakiwa kunywa Maji 322ml Mara 8 kwa Siku.

GOOD LUCKY.
 
JF Doctors!
Naomba kujua kiasi cha maji kinachotakiwa mwilini kwa mtu mzima kwa siku.

Nauliza hivyo kwa sababu leo nimekunywa maji lita Tatu na nusu (from 8am hadi 8pm).

Naombeni majibu yenu
Kama alivyokujibu RGFOREVER ndivyo inavyopaswa kuwa, usifanye tofauti, lakini mhimu ni kuhakikisha ukishakunywa maji, basi maji yanatakiwa yabaki mwilini walau masaa 2 mpaka 2 na nusu kabla ya kwenda kukojoa, utafanyaje?, bonyeza link ifuatayo ukajifunze zaidi, usisite kuuliza tena: jitibu kwa kutumia maji | maajabu ya maji
 
Back
Top Bottom