Dr James G
Senior Member
- Oct 16, 2016
- 147
- 242
Umuhimu wa maji katika mwili wa binadamu ni mkubwa sana tofaut na binadamu tunavyochukulia,watu wengi wanakunywa maji kwa mazoea,inashangaza watu hawajui maji ndio kinywaji cha kwanza kuubwa na Mwenyezi Mungu kutokana na umuhimu wake wa kusafisha mwili,na kuufanya mwili kutoishiwa au kupungukiwa maji(dehydrated).
Mwili wa binadamu umeubwa na uhitaji wa maji wa asilimia 70%, ili kuufanya mwili na akili kufanya kazi vizuri.
Maji safi na salama yana kazi ya kutoa sumu mwilini,kuupa mwili akili na nguvu ya kufanya kazi ,kupunguza mwili uzito ulio pita kiasi(lose weight) nk.
Kama tutakula mlo kamili,kupata muda wa kupumzika,kufanya mazoezi na kunywa maji ya kutosha basi tutakua na mwili usiosumbuliwa na magonjwa ya mara kwa mara.
Kutokana na ripoti ya taasisi ya afya ya Mayo clinic,mwanaune anatakiwa kunywa vikombe kumi na tatu 13 vya maji sawa na lita 3 ya maji kwa siku.na mwanamke anatakiwa kunywa vikombe 9 vya maji sawa na lita 2.2 ya maji kwa siku.
NB:Make as much water as you want.H2O.
Mwili wa binadamu umeubwa na uhitaji wa maji wa asilimia 70%, ili kuufanya mwili na akili kufanya kazi vizuri.
Maji safi na salama yana kazi ya kutoa sumu mwilini,kuupa mwili akili na nguvu ya kufanya kazi ,kupunguza mwili uzito ulio pita kiasi(lose weight) nk.
Kama tutakula mlo kamili,kupata muda wa kupumzika,kufanya mazoezi na kunywa maji ya kutosha basi tutakua na mwili usiosumbuliwa na magonjwa ya mara kwa mara.
Kutokana na ripoti ya taasisi ya afya ya Mayo clinic,mwanaune anatakiwa kunywa vikombe kumi na tatu 13 vya maji sawa na lita 3 ya maji kwa siku.na mwanamke anatakiwa kunywa vikombe 9 vya maji sawa na lita 2.2 ya maji kwa siku.
NB:Make as much water as you want.H2O.