Mtu maarufu...

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931
47290_1528665009393_1017728619_1499591_5150408_n.jpg


Kwa taaluma yake kama Mwanasheria Mahiri, hakusoma alama za nyakati, alitumia muda mwingi , wadhifa wake na mamlaka ya Dola kuwashuhulikia wenzie, ahajua nini kitatokea kwake ( Mzee Mengi nanamfahamu vizuri, Mhe. Mbubge wa sasa wa Nyamagana nae anamfahamu, baadhi ya CCM waliohusika katika kura za maoni wanamfahamu sana tu jinsi alivyowarusha posho zao, na aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Jerry Muro anayajua haya Jerry Muro asema Lawrence Masha alimtishia - Wavuti )!!!.


Aliwahi kuyasema haya kwa Mbwembwe:

Nyamagana MP Lawrence Masha speaks (MichuziBlog) - YouTube
 
Back
Top Bottom