Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,247
- 26,148
Kumuadhibu kwa kumponya kwenye risasi 16 ndugu??? Usiwe kama Yehodaya ndugu yangu, nakusifiaga sana humu.Unajuaje kama Mungu aliamua kumuadhibu muhusika?
Kumuadhibu kwa kumponya kwenye risasi 16 ndugu??? Usiwe kama Yehodaya ndugu yangu, nakusifiaga sana humu.Unajuaje kama Mungu aliamua kumuadhibu muhusika?
Kumuadhibu kwa kumponya kwenye risasi 16 ndugu??? Usiwe kama Yehodaya ndugu yangu, nakusifiaga sana humu.
Barbarosa. Unataka kusema hujui aliyepanga na kufanya shambulio la Lissu????? Aahaaa samahani ndugu.Nimesema huo ni uwezekano pia, hakuna mtu anayejua kwa nini Mungu anafanya anavyofanya, isitoshe maisha ya mtu ni siri ya mtu na Mungu, wote hatujui kwa nini kilimpata kilichompata, inawezekana akawa hana hatia na kwamba wabaya walitaka kumdhuru bila ya sababu ambapo ni mara chache sana hilo hutokea kwamba imetokea tu akawa victim of circumstances na inawezekana pia ana hatia na waliomdhuru walitaka to get even, hakuna anayejua isipokuwa yeye mwenyewe, usiamini Binadamu usiyemjua kwa 100% kirahisi namna hiyo, siku ukija kuujua ukweli inaweza kukufanya ukapoteza imani na humanity, hivyo siku zote kama jamabo haulijui undani wake usiamini kwa 100%, ...
Chakaza, hata mimi hiyo slogan ya "sasa basi" kwa kweli nimeipenda...liwalo na liwe, mtoto anazaliwa, anaenda chekechea, shule ya msingi, secondary, kidato tano, JKT, chuo kikuu, anaoa, anapata mtoto wa kwanza, mtoto huyo naye anaanza chekechea , bado baba /babu kijana a.k.a babu mzee anataka tu kuongoza familia pia ya mjukuu wake... hivi anataka hadi aende kaburini futi sita ndio iwe mwisho wake? si atoke tu kwa staha kama muanzilishi wao Kambarage alivyong'atuka kwa heshima ... Fedheha ya nini kugombana na vijana wa 1980?@Salary Slip mie sitashangaa kama ghafla mgombea toka chama kubwa akatangaza kuwa ameamua hata gombea kwa matatizo ya afya ili chama kiteue mwingine.
Mambo ni magumu sana hasa kwa hii slogan ya Mbowe "SASA BASI"
Mambo kama hayo yalimtokea Yesu Kristo, walimuua wakidhani wamemaliza kazi kumbe ndio wamemfanya kuwa mkuu wa wakuu. Mzaburi akasema, "Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni"-Zab 118:22. Lissu anakwenda kuwa jiwe kuu la pembeni, ni suala la muda tu.Hili ndio swali ambalo kila mtu mwenye kufikiri na kuwaza kwa mapana anapaswa kujiuliza.
Yaani wanadamu wanapanga kukua, na sio kupanga kukuua tu,bali inadaiwa walipanga hata msiba huo na mazishi yake yaweje, lakini Mungu akaingilia kati na kumuokoa muhusika, na leo hii mtu huyo anakuwa mgombea wa uraisi!!Je,ni hivi hivi tu au kuna kusudio la Mungu nyuma yake?
Tuache muda utajibu, ingawa wengi ni wagumu kusadiki kama walivyokuwa wagumu kusadiki kwamba angerejea nchini.
Wanadamu ndio mjue kuna mwenye mamlaka kuwazidi, na anaendelea kuwaonyesha kuwa yeye ni alpha na omega.
Hili ndio swali ambalo kila mtu mwenye kufikiri na kuwaza kwa mapana anapaswa kujiuliza.
Yaani wanadamu wanapanga kukua, na sio kupanga kukuua tu,bali inadaiwa walipanga hata msiba huo na mazishi yake yaweje, lakini Mungu akaingilia kati na kumuokoa muhusika, na leo hii mtu huyo anakuwa mgombea wa uraisi!!Je,ni hivi hivi tu au kuna kusudio la Mungu nyuma yake?
Tuache muda utajibu, ingawa wengi ni wagumu kusadiki kama walivyokuwa wagumu kusadiki kwamba angerejea nchini.
Wanadamu ndio mjue kuna mwenye mamlaka kuwazidi, na anaendelea kuwaonyesha kuwa yeye ni alpha na omega.
jiwe walilolikataa waashi linaelekea kuwa jiwe kuu la pembeni...Ameenda kuketi kwenye mkono wa mungu baba mwenye enzi yote. Hapo ndio nashindwa kuelewa sasa huyu yesu yeye alikuwa nani ina maana kabla hajafa kulikuwa na mungu mwingine au?
Barbarosa. Unataka kusema hujui aliyepanga na kufanya shambulio la Lissu????? Aahaaa samahani ndugu.
Hivi mnafikiri watanzania ni wajinga kiasi icho???? Hapana kwa kweli!!!
Huko aliko sijui ana hali gani.Kuanzia sasa mtarajie kumuona akiwa na hazita muda wote na pia mtarajie hotuba zenye kauli za kushangaza kutoka Kwake.@Salary Slip mie sitashangaa kama ghafla mgombea toka chama kubwa akatangaza kuwa ameamua hata gombea kwa matatizo ya afya ili chama kiteue mwingine.
Mambo ni magumu sana hasa kwa hii slogan ya Mbowe "SASA BASI"
Niishie tu kusema kweli itakuweka huru. Wenzako waliopanga yale wanajuta saivi kwa kuwa wana amini ule ujinga walioufanya ndo umemjenga Lissu kisiasa mara 1000. Wanashindwa kurudisha nyuma wakati ila baya ni kuwa hawana la kufanyaMimi sijui kwa maana Tundu Lisu simjui, na sijui jinsi alivyoishi maisha yake, njia alizopita mambo anayofanya aina ya watu anaoishi na kudili nao kila siku siwajui, hivyo kwangu mimi kila kitu kinawezekana, ...
Na watu mashuhuru duniani wataandika ku-document tukio hilo litaloweza pia kuja kutumika kama reference kwa vizazi vijavyo.Mwenyezi Mungu ni mwema Mkuu. Itakuwa ni raha iliyoje hapo October 28 anatangazwa rasmi kama Rais Mteule. Itakuwa ni habari kubwa sana si Tanzania tu, si Afrika ya Mashariki na Kati tu, si Bara la Afrika tu bali dunia nzima.
@Salary Slip mie sitashangaa kama ghafla mgombea toka chama kubwa akatangaza kuwa ameamua hata gombea kwa matatizo ya afya ili chama kiteue mwingine.
Mambo ni magumu sana hasa kwa hii slogan ya Mbowe "SASA BASI"
Ameenda kuketi kwenye mkono wa mungu baba mwenye enzi yote. Hapo ndio nashindwa kuelewa sasa huyu yesu yeye alikuwa nani ina maana kabla hajafa kulikuwa na mungu mwingine au?
Niishie tu kusema kweli itakuweka huru. Wenzako waliopanga yale wanajuta saivi kwa kuwa wana amini ule ujinga walioufanya ndo umemjenga Lissu kisiasa mara 1000. Wanashindwa kurudisha nyuma wakati ila baya ni kuwa hawana la kufanya