Mtu akifa anaenda wapi?

HABARI YA PASAKA JF,Je Ulishawahi Kujiuliza Unaenda Wapi Ukisha kufa? Fuatana na Mimi Asubuhi Upate Elimu.

MTU AKIFA ANAENDA WAPI?
Mwili hushushwa ardhini baada ya pumzi kurudi kwa muumba,yaani baada ya nafsi kufa!

Kifo kinauma sana,na ukizingatia wengi hatujui nini kinafuatia baada ya kifo.Hatujui kama wapendwa wetu wanaunguzwa kwenye moto,wamepumzika paradisoni au wanahangaika peponi.Haya maswali yanasumbua watu wengi,mtu akifa nini kinafanyika?Lakini kwa bahati nzuri majibu tunayo....ebu tujifunze.

Tunakwenda wapi tukifa? Mbinguni? Jehanum? Toharani? (Toharani ni mahali ambapo baadhi ya watu hudai marehemu hupitia kupata mateso ili aruhusiwe kuingia ahera) au Ahera? Ndugu zetu waliokufa wako wapi? Je, tunaweza kuwaona?Hata Biblia linauliza hili swali, “Mtu akifa, je! atakuwa hai tena?” (Ayubu 14:14).

Lakini pia Biblia linatupa jibu thabiti ambalo halina utata. Majibu yake yanaeleweka, yanaridhisha, na zaidi ya yote, yanafariji.

MTU ANAPOKUFA, HUWA KUNATOKEA NINI?
“Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.” Mhubiri 12:7.Tukumbuke kitu kimoja hapa, neno "roho" iliyotumika hapa haina tofauti na "pumzi".Mara nyingi sana imetumika neno hilo roho kwenye Biblia kama tafasiri ya neno "spirit" pamoja na neno "breath".Yaani neno breath limetumika mara chache....

Mwili huyarudia mavumbi na pumzi/roho humrudia Mungu aliyeitoa. Pumzi ya mtu aliyekufa, awe mwenye haki au mwovu – humrudia Mungu wakati wa kufa,kwakuwa ni yeye aliitoa na sasa anakuwa ameitwaa.

ROHO AU PUMZI INAYOMRUDIA MUNGU NI KITU GANI?
Biblia inasema “Mwili pasipo roho(pumzi) umekufa.” Yakobo 2:26. “Roho(pumzi) ya Mungu i katika pua yangu.” Ayubu 27:3.

Roho inayomrudia Mungu wakati wa kufa ni ile pumzi ya uhai. Hakuna mahali katika Biblia ambapo tunaambiwa kuwa roho(pumzi) inakuwa na uhai, hekima au hisia baada ya mtu kufa. Ni “pumzi ya uhai”, na si ya kifo.Yaani kukosa pumzi matokeo yake ni KIFO!

NAFSI NI NINI?
“BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.” Mwanzo 2:7. Nafsi ni muunganiko wa vitu viwili: Mwili(nyama, mifupa, damu, mishipa n.k) na pumzi(roho). Nafsi haiwezi kuwepo bila mwili na pumzi kuunganishwa. Neno la Mungu linafundisha kuwa sisi ni nafsi.

NAFSI HUFA?
Ndiyo,nafsi hufa.
Biblia inathibitisha hili kwenye Warumi 7:24," Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?" na kwenye Waebrania 9:16, "Maana agano la urithi lilipo, lazima iwepo mauti yake aliyelifanya."Pia Ezekiel 18:20,"Roho(spirit) itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa.”

Kulingana na Neno la Mungu, nafsi inaweza kufa! Sisi ni nafsi na nafsi zinaweza kufa. Mwanadamu hufa. Mungu pekee hapatikani na mauti (1 Tim. 6:15,16). Dhana ya nafsi isiyokufa inapingana na Biblia inayofundisha kuwa nafsi hazina budi kufa.

MTU ALIYEKUFA ANAWEZA KUJUA AU KUELEWA KITU?
Hapana! “Walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa. Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote linalofanyika chini ya jua.” “Lolote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu (kaburini) uendako wewe.” Mhubiri 9:5,6,10. “Sio wafu wamsifuo Bwana.” Zab. 115:17.

Mungu anasema wafu hawajui kitu chochote.

WAFU WANAWEZA KUWASILIANA NA WALIO HAI?
Hapana! "Ni vivyo mwanadamu hulala chini, asiinuke; hata wakati wa mbingu kutokuwako tena, hawataamka, wala kuamshwa usingizini.” “Wanawe hufikiria heshima, wala yeye hajui; kisha wao huaibishwa, lakini yeye hana habari zao.” Ayubu 14:12,21. “Wala hawana sehemu tena katika jambo lolote lililofanyika chini ya jua.” Mhubiri 9:6.

Wafu hawawezi kuwasiliana na walio hai. Wamekufa. Mawazo yao yamepotea (Zab. 146:4).

SASA KWANINI SISI TUNAPATA NDOTO KUTOKA KWA WAFU KAMA HAWAELEWI KITU CHOCHOTE?
Natoa mfano hai kwenye Biblia,kwa sababu Biblia haifichi mambo. Mfalme Sauli na majeshi yake walikuwa vitani kaskazini mwa Israeli. Walikabili jeshi lenye kuogopesha la Wafilisti. Sauli alipoona majeshi ya Wafilisti, “akaogopa, na moyo wake ukaanza kutetemeka sana.” Wakati huo, Sauli alikuwa tyari ameacha ibada ya kweli. Kwa sababu hiyo, Yehova hakumjibu sala zake. Sauli angefanya nini ili apate msaada? Samweli, nabii wa Mungu naye alikuwa ameshafariki(1 Samweli 28:3, 5, 6).

Sauli aliamua kumtafuta mwongozo kutoka kwa mwanamke mmoja aliyekuwa na uwezo wa kuwasiliana na pepo huko En-dori. Alimsihi mwanamke huyo “nipandishie Samweli” kutoka kwa wafu. Mwanamke huyo alipandisha mzuka(mapepo) na kuweza kumuona “Samweli”. Na huyo Samweli aliyetokea aliongea na Sauli na kumwambia kuwa Wafilisti wangeshinda vita na kwamba Sauli na wanawe wangekufa vitani. (1 Samweli 28:7-19) Je, huyo alikuwa Samweli aliyeonekana alikuwa wa kweli aliyerudi kutoka wafu?Jibu ni hapana,lakini majibu ya huyo mama yalikuwa ya ukweli mtupu! Hii inawezekanaje?

Fikiria jambo hili kwa makini zaidi. Biblia inasema kwamba mtu anapokufa ‘anarudi kwenye udongo wake’ na kwamba “mawazo yake hupotea.” (Zaburi 146:4).Biblia haijichanganyi hata siku moja. Sauli na Samweli wote walijua kwamba Mungu anachukizwa sana na mawasiliana kati ya binadamu na mapepo(Mambo ya Walawi 19:31).

Kilichotokea,na kinachotokea mara kwa mara hata mpaka leo hio ni mawasiliano kupitia kwa malaika waasi,ambao ni viumbe vya kiroho(spirits),na ambao waliasi mamlaka ya Mungu mapema katika historia ya wanadamu(Mwanzo 6:1-4; Yuda 6). Mashetani hawa wanaweza kututazama na kuona binadamu hai.Wanajua mawazo yetu,uwezo wetu na madhaifu yetu.Pia wanajua ndugu zetu walikwisha kufa tangia walipokuwa hai,wanajua mahusiano kati ya hao marehemu na watu waliopo duniani. Kwa hiyo wanajua jinsi mtu alivyokuwa anazungumza, alivyotenda, na sura yake alipokuwa hai. Wanataka kuendeleza dhana kwamba Biblia na Mungu ni uwongo(dhana ambalo shetani alilianzisha tangia shamba la Edeni). Biblia inatuonya tusiwe na mawasiliano yoyote na roho kama hao! (Kumbukumbu la Torati 18:10-12) Mashetani hao bado wanatenda kazi leo na wataendelea mpaka muda wao utakapoisha.

Sasa tunaweza kuelewa ni kwa nini wengi wanasema kwamba “wamewaona” wapendwa wao waliokufa au “kusikia” sauti yao. Ingawa wafu hao wanapotokea kama mizuka wanaweza kuonekana kuwa na nia nzuri, kumbuka kwamba roho waovu wameazimia kuwadanganya watu (Waefeso 6:12),hata kwa habari njema.

Kila binadamu anapokuwa hai hapa duniani,ni kiumbe cha kiroho ndani ya mwili wa nyama.Ni pumzi ndani ya mwili.Ndiyo maana anaweza kuwasiliana aidha na Mungu au shetani kiroho na siyo kimwili.Binadamu yuko huru kufanya mawasiliano kupitia roho mtakatifu wa Mungu au roho mtakavitu na chafu wa shetani.Mungu ni roho,na anataka tumuabudu kwa ROHO na KWELI (Yohana 4:24)"Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli."

Hii inamaanisha kuna kuabudu kwa ROHO na WONGO pia,right?Ni wewe uchague uko pande ipi....Mungu halazimishi ila matokeo ya chaguo lako hayaepukiki.

Kumbuka kwamba siyo ndoto zote ni mbaya au dhambi,kuna ndoto zinazotoka kwa Mungu kwajili ya watu wa Mungu.Alafu kuna ndoto zingine zinazotokea kwa ibilisi kwajili ya watu wake.Kuna mifano mingi mno ndani ya Biblia.

Ukisoma Matendo ya Mitume 2:17 inathibitisha kwamba hata siku za mwisho watu wataota ndoto kutoka kwa Mungu,inasema hivi,"Itakuwa siku za mwisho, asema Mungu, nitawamwagia watu wote Roho yangu, na wana wenu na binti zenu watatabiri; na vijana wenu wataona maono; na wazee wenu wataota ndoto."

#MunguNiRoho
Ulichokifanya,ni kulazimisha Biblia ifuate akili yako inavyotaka kadiri ya matakwa ya Imani yako.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada kaweka maandiko hapo ili kuhalalisha hoja zake ila turudi kwenye jambo moja. Katika Biblia kuna waandishi waliandika mitazamo yao na sio Neno kutoka kwa Mungu moja kwa moja bali ni mitazamo tu. Mfano Kitabu cha Mhubiri ni hekima za Suleimani na mitazamo yake mfano kila kitu kakiita ubatili na kujilisha upepo n.k.
Sasa katika mtizamo wa maisha mara baada ya kifo kila nabii alikuwa na mtizamo wake maana Biblia au Mungu alikaa kimnya na pengine kuzungumza kwa mafumbo. Mfano kitabu cha Mwanzo anapomlaani Adamu anamwambia " wewe ni mavumbi na mavumbini utarudi " hapohapo Kaini anamuuwa nduguye Abili na anapoulizwa na Mungu yuko wapi nduguye anamjibu Mungu shit kisha Mungu anamwambia "damu ya ndugu yako inanilia kutoka ardhini swali kama watu wakifa wanapotea au kurudi mavumbini hiyo damu iliyokuwa inatoa sauti Mungu alikuwa anasema na mzimu wa Abel?.

Kumbuka mwanadamu wa asili hawezi kuyatambua mambo ya rohoni kwani yanatambulika kwa jinsi ya roho. Hivyo wewe mwanadamu wa asili kamwe usijaribu mambo ya rohoni waachie wa rohoni.
Ninacho weza kusema nikua umechagua kua mpumbavu. hakuna ushahidi wowote unathibisha uwepo wa Adam Hawa Wala abil Wala kaini
 
Una ushahidi gani kwamba kuna mungu, ahera,paradiso, na jehanamu? au unaleta hadithi za kusadikika
 
HABARI YA PASAKA JF,Je Ulishawahi Kujiuliza Unaenda Wapi Ukisha kufa? Fuatana na Mimi Asubuhi Upate Elimu.

MTU AKIFA ANAENDA WAPI?
Mwili hushushwa ardhini baada ya pumzi kurudi kwa muumba,yaani baada ya nafsi kufa!

Kifo kinauma sana,na ukizingatia wengi hatujui nini kinafuatia baada ya kifo.Hatujui kama wapendwa wetu wanaunguzwa kwenye moto,wamepumzika paradisoni au wanahangaika peponi.Haya maswali yanasumbua watu wengi,mtu akifa nini kinafanyika?Lakini kwa bahati nzuri majibu tunayo....ebu tujifunze.

Tunakwenda wapi tukifa? Mbinguni? Jehanum? Toharani? (Toharani ni mahali ambapo baadhi ya watu hudai marehemu hupitia kupata mateso ili aruhusiwe kuingia ahera) au Ahera? Ndugu zetu waliokufa wako wapi? Je, tunaweza kuwaona?Hata Biblia linauliza hili swali, “Mtu akifa, je! atakuwa hai tena?” (Ayubu 14:14).

Lakini pia Biblia linatupa jibu thabiti ambalo halina utata. Majibu yake yanaeleweka, yanaridhisha, na zaidi ya yote, yanafariji.

MTU ANAPOKUFA, HUWA KUNATOKEA NINI?
“Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.” Mhubiri 12:7.Tukumbuke kitu kimoja hapa, neno "roho" iliyotumika hapa haina tofauti na "pumzi".Mara nyingi sana imetumika neno hilo roho kwenye Biblia kama tafasiri ya neno "spirit" pamoja na neno "breath".Yaani neno breath limetumika mara chache....

Mwili huyarudia mavumbi na pumzi/roho humrudia Mungu aliyeitoa. Pumzi ya mtu aliyekufa, awe mwenye haki au mwovu – humrudia Mungu wakati wa kufa,kwakuwa ni yeye aliitoa na sasa anakuwa ameitwaa.

ROHO AU PUMZI INAYOMRUDIA MUNGU NI KITU GANI?
Biblia inasema “Mwili pasipo roho(pumzi) umekufa.” Yakobo 2:26. “Roho(pumzi) ya Mungu i katika pua yangu.” Ayubu 27:3.

Roho inayomrudia Mungu wakati wa kufa ni ile pumzi ya uhai. Hakuna mahali katika Biblia ambapo tunaambiwa kuwa roho(pumzi) inakuwa na uhai, hekima au hisia baada ya mtu kufa. Ni “pumzi ya uhai”, na si ya kifo.Yaani kukosa pumzi matokeo yake ni KIFO!

NAFSI NI NINI?
“BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.” Mwanzo 2:7. Nafsi ni muunganiko wa vitu viwili: Mwili(nyama, mifupa, damu, mishipa n.k) na pumzi(roho). Nafsi haiwezi kuwepo bila mwili na pumzi kuunganishwa. Neno la Mungu linafundisha kuwa sisi ni nafsi.

NAFSI HUFA?
Ndiyo,nafsi hufa.
Biblia inathibitisha hili kwenye Warumi 7:24," Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?" na kwenye Waebrania 9:16, "Maana agano la urithi lilipo, lazima iwepo mauti yake aliyelifanya."Pia Ezekiel 18:20,"Roho(spirit) itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa.”

Kulingana na Neno la Mungu, nafsi inaweza kufa! Sisi ni nafsi na nafsi zinaweza kufa. Mwanadamu hufa. Mungu pekee hapatikani na mauti (1 Tim. 6:15,16). Dhana ya nafsi isiyokufa inapingana na Biblia inayofundisha kuwa nafsi hazina budi kufa.

MTU ALIYEKUFA ANAWEZA KUJUA AU KUELEWA KITU?
Hapana! “Walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa. Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote linalofanyika chini ya jua.” “Lolote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu (kaburini) uendako wewe.” Mhubiri 9:5,6,10. “Sio wafu wamsifuo Bwana.” Zab. 115:17.

Mungu anasema wafu hawajui kitu chochote.

WAFU WANAWEZA KUWASILIANA NA WALIO HAI?
Hapana! "Ni vivyo mwanadamu hulala chini, asiinuke; hata wakati wa mbingu kutokuwako tena, hawataamka, wala kuamshwa usingizini.” “Wanawe hufikiria heshima, wala yeye hajui; kisha wao huaibishwa, lakini yeye hana habari zao.” Ayubu 14:12,21. “Wala hawana sehemu tena katika jambo lolote lililofanyika chini ya jua.” Mhubiri 9:6.

Wafu hawawezi kuwasiliana na walio hai. Wamekufa. Mawazo yao yamepotea (Zab. 146:4).

SASA KWANINI SISI TUNAPATA NDOTO KUTOKA KWA WAFU KAMA HAWAELEWI KITU CHOCHOTE?
Natoa mfano hai kwenye Biblia,kwa sababu Biblia haifichi mambo. Mfalme Sauli na majeshi yake walikuwa vitani kaskazini mwa Israeli. Walikabili jeshi lenye kuogopesha la Wafilisti. Sauli alipoona majeshi ya Wafilisti, “akaogopa, na moyo wake ukaanza kutetemeka sana.” Wakati huo, Sauli alikuwa tyari ameacha ibada ya kweli. Kwa sababu hiyo, Yehova hakumjibu sala zake. Sauli angefanya nini ili apate msaada? Samweli, nabii wa Mungu naye alikuwa ameshafariki(1 Samweli 28:3, 5, 6).

Sauli aliamua kumtafuta mwongozo kutoka kwa mwanamke mmoja aliyekuwa na uwezo wa kuwasiliana na pepo huko En-dori. Alimsihi mwanamke huyo “nipandishie Samweli” kutoka kwa wafu. Mwanamke huyo alipandisha mzuka(mapepo) na kuweza kumuona “Samweli”. Na huyo Samweli aliyetokea aliongea na Sauli na kumwambia kuwa Wafilisti wangeshinda vita na kwamba Sauli na wanawe wangekufa vitani. (1 Samweli 28:7-19) Je, huyo alikuwa Samweli aliyeonekana alikuwa wa kweli aliyerudi kutoka wafu?Jibu ni hapana,lakini majibu ya huyo mama yalikuwa ya ukweli mtupu! Hii inawezekanaje?

Fikiria jambo hili kwa makini zaidi. Biblia inasema kwamba mtu anapokufa ‘anarudi kwenye udongo wake’ na kwamba “mawazo yake hupotea.” (Zaburi 146:4).Biblia haijichanganyi hata siku moja. Sauli na Samweli wote walijua kwamba Mungu anachukizwa sana na mawasiliana kati ya binadamu na mapepo(Mambo ya Walawi 19:31).

Kilichotokea,na kinachotokea mara kwa mara hata mpaka leo hio ni mawasiliano kupitia kwa malaika waasi,ambao ni viumbe vya kiroho(spirits),na ambao waliasi mamlaka ya Mungu mapema katika historia ya wanadamu(Mwanzo 6:1-4; Yuda 6). Mashetani hawa wanaweza kututazama na kuona binadamu hai.Wanajua mawazo yetu,uwezo wetu na madhaifu yetu.Pia wanajua ndugu zetu walikwisha kufa tangia walipokuwa hai,wanajua mahusiano kati ya hao marehemu na watu waliopo duniani. Kwa hiyo wanajua jinsi mtu alivyokuwa anazungumza, alivyotenda, na sura yake alipokuwa hai. Wanataka kuendeleza dhana kwamba Biblia na Mungu ni uwongo(dhana ambalo shetani alilianzisha tangia shamba la Edeni). Biblia inatuonya tusiwe na mawasiliano yoyote na roho kama hao! (Kumbukumbu la Torati 18:10-12) Mashetani hao bado wanatenda kazi leo na wataendelea mpaka muda wao utakapoisha.

Sasa tunaweza kuelewa ni kwa nini wengi wanasema kwamba “wamewaona” wapendwa wao waliokufa au “kusikia” sauti yao. Ingawa wafu hao wanapotokea kama mizuka wanaweza kuonekana kuwa na nia nzuri, kumbuka kwamba roho waovu wameazimia kuwadanganya watu (Waefeso 6:12),hata kwa habari njema.

Kila binadamu anapokuwa hai hapa duniani,ni kiumbe cha kiroho ndani ya mwili wa nyama.Ni pumzi ndani ya mwili.Ndiyo maana anaweza kuwasiliana aidha na Mungu au shetani kiroho na siyo kimwili.Binadamu yuko huru kufanya mawasiliano kupitia roho mtakatifu wa Mungu au roho mtakavitu na chafu wa shetani.Mungu ni roho,na anataka tumuabudu kwa ROHO na KWELI (Yohana 4:24)"Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli."

Hii inamaanisha kuna kuabudu kwa ROHO na WONGO pia,right?Ni wewe uchague uko pande ipi....Mungu halazimishi ila matokeo ya chaguo lako hayaepukiki.

Kumbuka kwamba siyo ndoto zote ni mbaya au dhambi,kuna ndoto zinazotoka kwa Mungu kwajili ya watu wa Mungu.Alafu kuna ndoto zingine zinazotokea kwa ibilisi kwajili ya watu wake.Kuna mifano mingi mno ndani ya Biblia.

Ukisoma Matendo ya Mitume 2:17 inathibitisha kwamba hata siku za mwisho watu wataota ndoto kutoka kwa Mungu,inasema hivi,"Itakuwa siku za mwisho, asema Mungu, nitawamwagia watu wote Roho yangu, na wana wenu na binti zenu watatabiri; na vijana wenu wataona maono; na wazee wenu wataota ndoto."

#MunguNiRoho
Hizi zote ni hadithi tu,

Hakuna mtu anaweza thibitisha hayo.

" Wote wanaosema kuwa kila kitu kimepangwa na Mungu na hakuna kitu unaweza fanya kubadilisha,

Nenda uwaangalie walivyo makini kabla ya kuvuka barabara. "
 
Katika kipindi cha Elisha kulikuwa na wenye ukoma wengi katika Israel ila ni Naamani pekee aliyetakaswa wakoma wengi walikufa na ukoma wao kwa hiyo imani yako ndio itakayokuponya au kukuangamiza. Haijalishi unaamini life after or not
Pamoja na kuita kundi flani kuwa ni washenzi,
Kwa kutokujua tu usahihi wa mambo (upotofu)

Naomba unijibu maswali haya matatu

1) Maybe sjakuelewa tu, Unamaanisha nini unaposema kuwa "you can not change the reality of life after death" .

2) Is it possible for living organism to have life after death?

3) Unaelewa kifo ni nini!?
 
Zaburi 73:17 ukianzia mstari wa kwanza kabisa utaona mtazamo wa Daudi juu ya hatma ya wenye kiburi aliielewa vema pale alipoamua nanukuu

17 "Mpaka nilipoingia mahali patakatifu pa Mungu penye utukufu, Nami nikatambua wakati wao ujao. " Kuna mambo hutayajua mpaka umeamua kuyajua ila ukibaki na ubishi hutoelewa baadhi ya mambo japo yapo.
 
Ukweli ni kuwa sote tunaopumua ni viumbe hai ila mwanadamu ni level nyingine Yesu anasema katika kitabu cha
Luka 12:6S hore watano huuzwa kwa sarafu mbili za thamani ndogo, sivyo? Na bado Mungu hamsahau hata mmoja. 7 Lakini hata nywele zote za vichwa vyenu zimehesabiwa. Msiogope; ninyi ni wenye thamani kuliko shore wengi.

Viumbe wengine Mungu alitupa wanadamu tuvitawale na vingine kama vitiweo tu havina future na ukirudi kwenye bustani ya Eden kabla ya anguko sote tulikuwa sawa maana tulipaswa kuishi milele na wanyama wote wangeishi milele ila kinyama zaidi bila ya mavazi.
Swali linakuja kwa nini wanyama wanakufa wakati hawakushiriki dhambi?. Jibu ni kuwa dhambi ilikusudia uharibifu kwa viumbe vyote kupitia magonjwa kisha kifo viumbe vyote vinakufa ili usalama uwepo ie. Vile vilivyo dhaifu kutokana na madhara ya dhambi lazima viondoke kuhifadhi vyenye nguvu.

Kifo ni adhabu aliyopewa mwanadamu ili asiendelee kukaa katika mwili ni madhara ya dhambi na ndio maana hakuna kifo kizuri vyote usababishwa na magonjwa, ajali n. K.
Mauti au kifo au vifo vipo vya aina mbili Kimaandiko.

1. Roho kuacha mwili

Mathayo 10:28 Na msiwaogope wale wanaoua mwili lakini hawawezi kuua nafsi; badala yake, mwogopeni yule anayeweza kuangamiza nafsi na mwili katika Gehena
2.Roho kutengwa na muumba wake

Ufunuo 20:14 Na kifo na Kaburi vikatupwa ndani ya lile ziwa la moto. Hilo linamaanisha kifo cha pili, lile ziwa la moto. 15 Zaidi ya hayo, yeyote ambaye hakupatikana ameandikwa katika kile kitabu cha uzima alitupwa ndani ya lile ziwa la moto. Asante karibu kwa maswali zaidi.
Pamoja na kuita kundi flani kuwa ni washenzi,
Kwa kutokujua tu usahihi wa mambo (upotofu)

Naomba unijibu maswali haya matatu

1) Maybe sjakuelewa tu, Unamaanisha nini unaposema kuwa "you can not change the reality of life after death" .

2) Is it possible for living organism to have life after death?

3) Unaelewa kifo ni nini!w
 
Ukweli ni kuwa sote tunaopumua ni viumbe hai ila mwanadamu ni level nyingine Yesu anasema katika kitabu cha
Luka 12:6S hore watano huuzwa kwa sarafu mbili za thamani ndogo, sivyo? Na bado Mungu hamsahau hata mmoja. 7 Lakini hata nywele zote za vichwa vyenu zimehesabiwa. Msiogope; ninyi ni wenye thamani kuliko shore wengi.

Viumbe wengine Mungu alitupa wanadamu tuvitawale na vingine kama vitiweo tu havina future na ukirudi kwenye bustani ya Eden kabla ya anguko sote tulikuwa sawa maana tulipaswa kuishi milele na wanyama wote wangeishi milele ila kinyama zaidi bila ya mavazi.
Swali linakuja kwa nini wanyama wanakufa wakati hawakushiriki dhambi?. Jibu ni kuwa dhambi ilikusudia uharibifu kwa viumbe vyote kupitia magonjwa kisha kifo viumbe vyote vinakufa ili usalama uwepo ie. Vile vilivyo dhaifu kutokana na madhara ya dhambi lazima viondoke kuhifadhi vyenye nguvu.

Kifo ni adhabu aliyopewa mwanadamu ili asiendelee kukaa katika mwili ni madhara ya dhambi na ndio maana hakuna kifo kizuri vyote usababishwa na magonjwa, ajali n. K.
Mauti au kifo au vifo vipo vya aina mbili Kimaandiko.

1. Roho kuacha mwili

Mathayo 10:28 Na msiwaogope wale wanaoua mwili lakini hawawezi kuua nafsi; badala yake, mwogopeni yule anayeweza kuangamiza nafsi na mwili katika Gehena
2.Roho kutengwa na muumba wake

Ufunuo 20:14 Na kifo na Kaburi vikatupwa ndani ya lile ziwa la moto. Hilo linamaanisha kifo cha pili, lile ziwa la moto. 15 Zaidi ya hayo, yeyote ambaye hakupatikana ameandikwa katika kile kitabu cha uzima alitupwa ndani ya lile ziwa la moto. Asante karibu kwa maswali zaidi.
Pamoja na kuita kundi flani kuwa ni washenzi,
Kwa kutokujua tu usahihi wa mambo (upotofu)

Naomba unijibu maswali haya matatu

1) Maybe sjakuelewa tu, Unamaanisha nini unaposema kuwa "you can not change the reality of life after death" .

2) Is it possible for living organism to have life after death?

3) Unaelewa kifo ni nini!w
 
Ukweli ni kuwa sote tunaopumua ni viumbe hai ila mwanadamu ni level nyingine Yesu anasema katika kitabu cha
Luka 12:6S hore watano huuzwa kwa sarafu mbili za thamani ndogo, sivyo? Na bado Mungu hamsahau hata mmoja. 7 Lakini hata nywele zote za vichwa vyenu zimehesabiwa. Msiogope; ninyi ni wenye thamani kuliko shore wengi.

Viumbe wengine Mungu alitupa wanadamu tuvitawale na vingine kama vitiweo tu havina future na ukirudi kwenye bustani ya Eden kabla ya anguko sote tulikuwa sawa maana tulipaswa kuishi milele na wanyama wote wangeishi milele ila kinyama zaidi bila ya mavazi.
Swali linakuja kwa nini wanyama wanakufa wakati hawakushiriki dhambi?. Jibu ni kuwa dhambi ilikusudia uharibifu kwa viumbe vyote kupitia magonjwa kisha kifo viumbe vyote vinakufa ili usalama uwepo ie. Vile vilivyo dhaifu kutokana na madhara ya dhambi lazima viondoke kuhifadhi vyenye nguvu.

Kifo ni adhabu aliyopewa mwanadamu ili asiendelee kukaa katika mwili ni madhara ya dhambi na ndio maana hakuna kifo kizuri vyote usababishwa na magonjwa, ajali n. K.
Mauti au kifo au vifo vipo vya aina mbili Kimaandiko.

1. Roho kuacha mwili

Mathayo 10:28 Na msiwaogope wale wanaoua mwili lakini hawawezi kuua nafsi; badala yake, mwogopeni yule anayeweza kuangamiza nafsi na mwili katika Gehena
2.Roho kutengwa na muumba wake

Ufunuo 20:14 Na kifo na Kaburi vikatupwa ndani ya lile ziwa la moto. Hilo linamaanisha kifo cha pili, lile ziwa la moto. 15 Zaidi ya hayo, yeyote ambaye hakupatikana ameandikwa katika kile kitabu cha uzima alitupwa ndani ya lile ziwa la moto. Asante karibu kwa maswali zaidi.
Nmekuuliza swali zuri na lenye kueleweka,

Wewe unaleta mahubiri
 
Ukweli ni kuwa sote tunaopumua ni viumbe hai ila mwanadamu ni level nyingine Yesu anasema katika kitabu cha
Luka 12:6S hore watano huuzwa kwa sarafu mbili za thamani ndogo, sivyo? Na bado Mungu hamsahau hata mmoja. 7 Lakini hata nywele zote za vichwa vyenu zimehesabiwa. Msiogope; ninyi ni wenye thamani kuliko shore wengi.

Viumbe wengine Mungu alitupa wanadamu tuvitawale na vingine kama vitiweo tu havina future na ukirudi kwenye bustani ya Eden kabla ya anguko sote tulikuwa sawa maana tulipaswa kuishi milele na wanyama wote wangeishi milele ila kinyama zaidi bila ya mavazi.
Swali linakuja kwa nini wanyama wanakufa wakati hawakushiriki dhambi?. Jibu ni kuwa dhambi ilikusudia uharibifu kwa viumbe vyote kupitia magonjwa kisha kifo viumbe vyote vinakufa ili usalama uwepo ie. Vile vilivyo dhaifu kutokana na madhara ya dhambi lazima viondoke kuhifadhi vyenye nguvu.

Kifo ni adhabu aliyopewa mwanadamu ili asiendelee kukaa katika mwili ni madhara ya dhambi na ndio maana hakuna kifo kizuri vyote usababishwa na magonjwa, ajali n. K.
Mauti au kifo au vifo vipo vya aina mbili Kimaandiko.

1. Roho kuacha mwili

Mathayo 10:28 Na msiwaogope wale wanaoua mwili lakini hawawezi kuua nafsi; badala yake, mwogopeni yule anayeweza kuangamiza nafsi na mwili katika Gehena
2.Roho kutengwa na muumba wake

Ufunuo 20:14 Na kifo na Kaburi vikatupwa ndani ya lile ziwa la moto. Hilo linamaanisha kifo cha pili, lile ziwa la moto. 15 Zaidi ya hayo, yeyote ambaye hakupatikana ameandikwa katika kile kitabu cha uzima alitupwa ndani ya lile ziwa la moto. Asante karibu kwa maswali zaidi.
Utanijibu ipasavyo nlichokuuliza?
 
Unataka majibu Gani Sasa nje ya
Nmekuuliza swali zuri na lenye kueleweka,

Wewe unaleta mahubiri
Injili?. Ila linatimia NENO " injili kwa wanaopotea ni upuzi bali kwetu sisi tuokolewao ni nguvu inayoleta wokovu".
 
Unataka majibu Gani Sasa nje ya

Injili?. Ila linatimia NENO " injili kwa wanaopotea ni upuzi bali kwetu sisi tuokolewao ni nguvu inayoleta wokovu".
Rejea post #69,

Hapo ndo maswali yangu yalipo

Jibu kwa ku quote swali moja badala ya jingine.

Mahubiri hayafanyi kazi hapo

Zaidi ya kwamba utaendelea kuonesha kuwa imani ni shambulio la akili kiasi cha wewe kushindwa kujibu maswali kwa ustadi.
 
Ukweli ni kuwa sote tunaopumua ni viumbe hai ila mwanadamu ni level nyingine Yesu anasema katika kitabu cha
Luka 12:6S hore watano huuzwa kwa sarafu mbili za thamani ndogo, sivyo? Na bado Mungu hamsahau hata mmoja. 7 Lakini hata nywele zote za vichwa vyenu zimehesabiwa. Msiogope; ninyi ni wenye thamani kuliko shore wengi.

Viumbe wengine Mungu alitupa wanadamu tuvitawale na vingine kama vitiweo tu havina future na ukirudi kwenye bustani ya Eden kabla ya anguko sote tulikuwa sawa maana tulipaswa kuishi milele na wanyama wote wangeishi milele ila kinyama zaidi bila ya mavazi.
Swali linakuja kwa nini wanyama wanakufa wakati hawakushiriki dhambi?. Jibu ni kuwa dhambi ilikusudia uharibifu kwa viumbe vyote kupitia magonjwa kisha kifo viumbe vyote vinakufa ili usalama uwepo ie. Vile vilivyo dhaifu kutokana na madhara ya dhambi lazima viondoke kuhifadhi vyenye nguvu.

Kifo ni adhabu aliyopewa mwanadamu ili asiendelee kukaa katika mwili ni madhara ya dhambi na ndio maana hakuna kifo kizuri vyote usababishwa na magonjwa, ajali n. K.
Mauti au kifo au vifo vipo vya aina mbili Kimaandiko.

1. Roho kuacha mwili

Mathayo 10:28 Na msiwaogope wale wanaoua mwili lakini hawawezi kuua nafsi; badala yake, mwogopeni yule anayeweza kuangamiza nafsi na mwili katika Gehena
2.Roho kutengwa na muumba wake

Ufunuo 20:14 Na kifo na Kaburi vikatupwa ndani ya lile ziwa la moto. Hilo linamaanisha kifo cha pili, lile ziwa la moto. 15 Zaidi ya hayo, yeyote ambaye hakupatikana ameandikwa katika kile kitabu cha uzima alitupwa ndani ya lile ziwa la moto. Asante karibu kwa maswali zaidi.
Nimedandia tu

1. Je, kuna mwisho wa dunia?

2. Waliotupwa kwenye ziwa la moto watafufuliwa siku ya mwisho

3. Katika dalili zilizotajwa kwenye vitabu vya dini.. mwisho umekaribia au bado?
 
Back
Top Bottom