Mtu akifa anaenda wapi?

Nimedandia tu

1. Je, kuna mwisho wa dunia?

2. Waliotupwa kwenye ziwa la moto watafufuliwa siku ya mwisho

3. Katika dalili zilizotajwa kwenye vitabu vya dini.. mwisho umekaribia au bado?
1. Mwisho wa dunia upo.
2. Waliotupwa kwenye ziwa la moto itakuwa milele.
3. Mwisho umekaribia ila siku na saa ajuaye ni Mungu tu.
 
Back
Top Bottom