J C
JF-Expert Member
- Dec 12, 2013
- 2,930
- 2,367
1. Mwisho wa dunia upo.Nimedandia tu
1. Je, kuna mwisho wa dunia?
2. Waliotupwa kwenye ziwa la moto watafufuliwa siku ya mwisho
3. Katika dalili zilizotajwa kwenye vitabu vya dini.. mwisho umekaribia au bado?
2. Waliotupwa kwenye ziwa la moto itakuwa milele.
3. Mwisho umekaribia ila siku na saa ajuaye ni Mungu tu.