econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,978
- 22,073
Mahakama ipi?. Hii ambayo rostamu aliishushua kuwa inafanya maamuzi kwa kupigiwa simu???Naona baada ya kudondokea pua mahakamani mmechanganyikiwa na akili zenu hazifanyi kazi
Mahakama ipi?. Hii ambayo rostamu aliishushua kuwa inafanya maamuzi kwa kupigiwa simu???Naona baada ya kudondokea pua mahakamani mmechanganyikiwa na akili zenu hazifanyi kazi
Mahakama imeshaamua na kutoa uamuzi,kwa hiyo kama hujalizika nenda kakate rufaa na siyo kuja kupiga makelele yako humu jukwaani. Hapa siyo mahakamaniShida ya watanzania tulishagawika. Hata baya litokee bado watu wataliunga mkono kisa upande wake. Ndio maana Leo bandari inabinafsishwa huku wananchi wakilimwa tozo, na hakuna umoja maana wananchi wamegawanyika.
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
😡Hata uichukie bado CCM itaendelea kushinda na kupita kwa kishindo kikuu maana ndio chaguo la watanzania.
Aahaaaa,ila kweli aiseeNdomana HOTUBA za mwl Nyerere TBC zimeadimika skuhizi.
AahaaaaaaHuyo ndo ridhimoko wa awamu ya 6. Hata mkataba wa bandari yeye ndo alitumwa dukani kununua peni.
Kama huiamini basi nenda ukafungue mahakama yako unayoiamini wewe na familia yakoMahakama ipi?. Hii ambayo rostamu aliishushua kuwa inafanya maamuzi kwa kupigiwa simu???
Chawa wa familia Faizafoxy anakuja kulitolea ufafanuzi!!Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Wamefuta, hata za Magu kuhusu Uzalendo unazisikia?Aahaaaa,ila kweli aisee
Labda,zile hotuba zinawachoma mioyo
Sasa katiba ipi ivunjwe? Kwani hana haki ya kwenda Uganda? Kwani uliambiwa kaiwakilisha serikali kwenye jambo lipi?
Kama kachukuliwa kwa mkataba fulani?
Huu mwengine ni ujinga hata kuujadili.
Wewe kama huna, huna tu.
Andika kama mtu mwenye akili Timamu.kwani wapi pamevunjwa katiba na sheria za nchi hapo.Utaelewa tu!!! Tulia sindano iwaingie. Yule mama mshipa wa aibu ulishakatika.
Nchi inaendeshwa kama gari lililokatika senta boltiRais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
HG wa Nikki umenipa ushauri?!Haya matusi yapo kuna siku yatakugharimu, muda utaamua. Umetukana sana na umepitiliza
Kuna jambo hulijui Bado!!Yanayofanywa na Samia, Magufuli hakuthubutu kuyafanya pamoja na ubaya wake wote!!
Onyesha wapi Magufuli watoto wake walifanya kama haya ya Samia?!? Onyesha wapi watoto wa Nyerere walifanya kama haya ya Samia japo Nyerere alikaa madarakani miaka 20 na alikua na watoto kedekede?!!
Mambo ya hovyo yanapaswa kukemewa,hatotetewa mtu kwa dini yake,hatokolewa mtu kwa dini yake,anatakiwa kukemea Mambo ya personal conflict.
Tanzania ina makubaliano ya kizalisha umeme na Uganda,Leo hii mtoto wa rais mseme nae ana kampuni yake binafsi ndio anafanya na yeye kazi na serikali ya Uganda. Huyo mtoto kama asingekua mtoto wa Samia angepewa hiyo hadhi ya delegation na Uganda?!!
Ni ujinga kutetea jambo la hovyo na la kipuuzi na fedheha kwa Taifa!!
kijana nimfanyabiashara🦧Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
M7 naye hana siri mtu mzima hovyo,😅😅
Kwani akiwa mtoto wa Rais au asingekuwa mtoto wa Rais na akawa na sifa kama walizonazo watanzania wengine kwa akili yako unafikiri asingepata au kuwa sehemu ya majadiliano au kuongoza msafara au ujumbe? Unafahamu watoto wa Trumph rais mstaafu wa Marekani pamoja na mkwe wake walikuwa na nafasi gani serikalini? Je uliona akipingwa na wamarekani kuwa amevunja katiba kuteua mtoto wake wa kumzaa? Kwani kuwa mtoto wa Rais ni vipi inamnyima haki ya kuwa serikalini? Au kufanya kazi hata ikulu?Yanayofanywa na Samia, Magufuli hakuthubutu kuyafanya pamoja na ubaya wake wote!!
Onyesha wapi Magufuli watoto wake walifanya kama haya ya Samia?!? Onyesha wapi watoto wa Nyerere walifanya kama haya ya Samia japo Nyerere alikaa madarakani miaka 20 na alikua na watoto kedekede?!!
Mambo ya hovyo yanapaswa kukemewa,hatotetewa mtu kwa dini yake,hatokolewa mtu kwa dini yake,anatakiwa kukemea Mambo ya personal conflict.
Tanzania ina makubaliano ya kizalisha umeme na Uganda,Leo hii mtoto wa rais mseme nae ana kampuni yake binafsi ndio anafanya na yeye kazi na serikali ya Uganda. Huyo mtoto kama asingekua mtoto wa Samia angepewa hiyo hadhi ya delegation na Uganda?!!
Ni ujinga kutetea jambo la hovyo na la kipuuzi na fedheha kwa Taifa!!
Kwa kumtizama tu, huyo hata cheti Cha form 4 Hana!!Andika kama mtu mwenye akili Timamu.kwani wapi pamevunjwa katiba na sheria za nchi hapo.
Sasa kama waatoto wa Magufuli ni mapoyoyo kama wewe ndiy wote wawe mapoyoyo?Yanayofanywa na Samia, Magufuli hakuthubutu kuyafanya pamoja na ubaya wake wote!!
Onyesha wapi Magufuli watoto wake walifanya kama haya ya Samia?!? Onyesha wapi watoto wa Nyerere walifanya kama haya ya Samia japo Nyerere alikaa madarakani miaka 20 na alikua na watoto kedekede?!!
Mambo ya hovyo yanapaswa kukemewa,hatotetewa mtu kwa dini yake,hatokolewa mtu kwa dini yake,anatakiwa kukemea Mambo ya personal conflict.
Tanzania ina makubaliano ya kizalisha umeme na Uganda,Leo hii mtoto wa rais mseme nae ana kampuni yake binafsi ndio anafanya na yeye kazi na serikali ya Uganda. Huyo mtoto kama asingekua mtoto wa Samia angepewa hiyo hadhi ya delegation na Uganda?!!
Ni ujinga kutetea jambo la hovyo na la kipuuzi na fedheha kwa Taifa!!