Shida ya watanzania tulishagawika. Hata baya litokee bado watu wataliunga mkono kisa upande wake. Ndio maana Leo bandari inabinafsishwa huku wananchi wakilimwa tozo, na hakuna umoja maana wananchi wamegawanyika.
Mahakama imeshaamua na kutoa uamuzi,kwa hiyo kama hujalizika nenda kakate rufaa na siyo kuja kupiga makelele yako humu jukwaani. Hapa siyo mahakamani
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339


Mambo ya hovyo sana, future cooperation ya nchi 2 maswala ya energy inaongozwa na mtoto wa rais ambaye hatujui ana cheo gani.
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Chawa wa familia Faizafoxy anakuja kulitolea ufafanuzi!!
 
Sasa katiba ipi ivunjwe? Kwani hana haki ya kwenda Uganda? Kwani uliambiwa kaiwakilisha serikali kwenye jambo lipi?

Kama kachukuliwa kwa mkataba fulani?


Huu mwengine ni ujinga hata kuujadili.


Wewe kama huna, huna tu.

Yanayofanywa na Samia, Magufuli hakuthubutu kuyafanya pamoja na ubaya wake wote!!

Onyesha wapi Magufuli watoto wake walifanya kama haya ya Samia?!? Onyesha wapi watoto wa Nyerere walifanya kama haya ya Samia japo Nyerere alikaa madarakani miaka 20 na alikua na watoto kedekede?!!

Mambo ya hovyo yanapaswa kukemewa,hatotetewa mtu kwa dini yake,hatokolewa mtu kwa dini yake,anatakiwa kukemea Mambo ya personal conflict.

Tanzania ina makubaliano ya kizalisha umeme na Uganda,Leo hii mtoto wa rais mseme nae ana kampuni yake binafsi ndio anafanya na yeye kazi na serikali ya Uganda. Huyo mtoto kama asingekua mtoto wa Samia angepewa hiyo hadhi ya delegation na Uganda?!!

Ni ujinga kutetea jambo la hovyo na la kipuuzi na fedheha kwa Taifa!!
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Nchi inaendeshwa kama gari lililokatika senta bolti
 
Yanayofanywa na Samia, Magufuli hakuthubutu kuyafanya pamoja na ubaya wake wote!!

Onyesha wapi Magufuli watoto wake walifanya kama haya ya Samia?!? Onyesha wapi watoto wa Nyerere walifanya kama haya ya Samia japo Nyerere alikaa madarakani miaka 20 na alikua na watoto kedekede?!!

Mambo ya hovyo yanapaswa kukemewa,hatotetewa mtu kwa dini yake,hatokolewa mtu kwa dini yake,anatakiwa kukemea Mambo ya personal conflict.

Tanzania ina makubaliano ya kizalisha umeme na Uganda,Leo hii mtoto wa rais mseme nae ana kampuni yake binafsi ndio anafanya na yeye kazi na serikali ya Uganda. Huyo mtoto kama asingekua mtoto wa Samia angepewa hiyo hadhi ya delegation na Uganda?!!

Ni ujinga kutetea jambo la hovyo na la kipuuzi na fedheha kwa Taifa!!
Kuna jambo hulijui Bado!!
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
kijana nimfanyabiashara🦧
Screenshot_20230812-145639.jpg
 
Hii post haina maana yoyote kwani hata wewe unaweza kuwa mjumbe wa kuiwakilisha tanzania. Ni sawa na mtu aliechaguliwa kwenda kutoa posa. Hakuna shida yoyote kwenye hili. Hata wewe ukitaka jambo lako lisikilizwe unamchagua atakaeweza kusikilizwa na upande unaoenda kufanya nao mazungumzo
Tusipende kulalamika kwa kila kitu
 
Yanayofanywa na Samia, Magufuli hakuthubutu kuyafanya pamoja na ubaya wake wote!!

Onyesha wapi Magufuli watoto wake walifanya kama haya ya Samia?!? Onyesha wapi watoto wa Nyerere walifanya kama haya ya Samia japo Nyerere alikaa madarakani miaka 20 na alikua na watoto kedekede?!!

Mambo ya hovyo yanapaswa kukemewa,hatotetewa mtu kwa dini yake,hatokolewa mtu kwa dini yake,anatakiwa kukemea Mambo ya personal conflict.

Tanzania ina makubaliano ya kizalisha umeme na Uganda,Leo hii mtoto wa rais mseme nae ana kampuni yake binafsi ndio anafanya na yeye kazi na serikali ya Uganda. Huyo mtoto kama asingekua mtoto wa Samia angepewa hiyo hadhi ya delegation na Uganda?!!

Ni ujinga kutetea jambo la hovyo na la kipuuzi na fedheha kwa Taifa!!
Kwani akiwa mtoto wa Rais au asingekuwa mtoto wa Rais na akawa na sifa kama walizonazo watanzania wengine kwa akili yako unafikiri asingepata au kuwa sehemu ya majadiliano au kuongoza msafara au ujumbe? Unafahamu watoto wa Trumph rais mstaafu wa Marekani pamoja na mkwe wake walikuwa na nafasi gani serikalini? Je uliona akipingwa na wamarekani kuwa amevunja katiba kuteua mtoto wake wa kumzaa? Kwani kuwa mtoto wa Rais ni vipi inamnyima haki ya kuwa serikalini? Au kufanya kazi hata ikulu?
 
Yanayofanywa na Samia, Magufuli hakuthubutu kuyafanya pamoja na ubaya wake wote!!

Onyesha wapi Magufuli watoto wake walifanya kama haya ya Samia?!? Onyesha wapi watoto wa Nyerere walifanya kama haya ya Samia japo Nyerere alikaa madarakani miaka 20 na alikua na watoto kedekede?!!

Mambo ya hovyo yanapaswa kukemewa,hatotetewa mtu kwa dini yake,hatokolewa mtu kwa dini yake,anatakiwa kukemea Mambo ya personal conflict.

Tanzania ina makubaliano ya kizalisha umeme na Uganda,Leo hii mtoto wa rais mseme nae ana kampuni yake binafsi ndio anafanya na yeye kazi na serikali ya Uganda. Huyo mtoto kama asingekua mtoto wa Samia angepewa hiyo hadhi ya delegation na Uganda?!!

Ni ujinga kutetea jambo la hovyo na la kipuuzi na fedheha kwa Taifa!!
Sasa kama waatoto wa Magufuli ni mapoyoyo kama wewe ndiy wote wawe mapoyoyo?
 
Back
Top Bottom