Mtoto wa miezi mitatu nimwanzishie nini?

Siande

Senior Member
Aug 29, 2013
194
58
Mtoto ana miezi mitatu na nahitaji kwenda kazini ni kipi cha kuanzá kumpa kati maziwa ya ng'ombe, uji wa dona nk.

Naomba wenye uzoefu nimwenzishie lishe gani ili asidhurike tumbo.
 
Bado huyo mwanetu, jitahidi aendelee maziwa ya mama walau hadi 5months! Isipokuwa pale utapolazimika sana kumwanzishia diet nyingine!
 
Vuta mda mpaka atimize 6 months honey.

Cha kufanya kamua maziwa yako na uyahifadhi vizuri ili aendelee kupata maziwa ukiwa kazini.
 
Wakwangu Atakuwa na Miezi Mitatu kesho; Uzoefu Mrs toka Mwanzo Maziwa Yalikuwa Hayatoshi hivyo Tumeanza Day 2 Maziwa ya Kopo S26, lakini Pia akawa Hashibi.. S

Solution: Baada ya Kumaliza Miezi Miwili Mrs. aliamua Kutumia Unga wa Mahindi bila ukoboa ila Yaoshe Vizuri na Nunua Miogo Menya na UVundike Kausha then Saga Pamoja na Mahindi. Usitumie Lishe Bado Mdogo. Afya ya Mwanangu ni Bomba sana.
 
Wakwangu Atakuwa na Miezi Mitatu kesho; Uzoefu Mrs toka Mwanzo Maziwa Yalikuwa Hayatoshi hivyo Tumeanza Day 2 Maziwa ya Kopo S26, lakini Pia akawa Hashibi.. S

Solution: Baada ya Kumaliza Miezi Miwili Mrs. aliamua Kutumia Unga wa Mahindi bila ukoboa ila Yaoshe Vizuri na Nunua Miogo Menya na UVundike Kausha then Saga Pamoja na Mahindi. Usitumie Lishe Bado Mdogo. Afya ya Mwanangu ni Bomba sana.

katafute majani ya mbuzi au ng'ombe hupewa kama amezaa afu maziwa hayatoki uone shughuli yake..
 
Back
Top Bottom