Mwana kinyonga
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 377
- 216
Nilikuwa naangalia habari cnn,wamemwonyesha dogo wa miaka 8 kilelen mlima kilimanjaro. Main aim wa to raise fund kwa watu wenye ulemavu.
Source:Isha Sesay CNN
Source:Isha Sesay CNN
anahaki ya kufika maana kilimanjaro ya sasa sio ya miaka kumi iliyopita. Na kadiri miaka inavyozidi kwenda itazidiwa hata na kitonga.
DHAIFU KilimanjaroHongera zake!