BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,709
- 6,505
Ninaamini kwa mitala yetu hii mibovu, hawa watoto watapata shida sana mbele ya safari, angalau sisi wakati tunaitimia sayansi haikuwa kwa kiwango cha kutisha.
Cha ajabu wazazi wengi wanajua fika hatari ya hii mitala ila wamekomaaa kuwaingiza watoto wao cha kike, Wazazi wanazania mtoto ili awe kichwa kweli kweli anapaswa kusoma kila siku, kila wiki, kila mwezi na mwaka mzika.
Ndio maana likizo badala mtoto apumizike a degest yale alio yasoma shuleni still anashindiliwa Tuition, sasa Tuition zenyewe utachoka, tuition za masomo ya Arts.
Hivi mtoto anaenda Tuition ya Kiswahili, English, History, Civics, Geograph ili iweje?
Au mtoto wa chekechea anaenda tuition ili iweje?
Miaka 15 kutoka sasa hawa watoto watatulaumu sana kwa sababu tulijua mitala haifai ila hatukuwasaidia chochote zaidi ya kusaidia kuwaingiza shimoni.
Cha ajabu wazazi wengi wanajua fika hatari ya hii mitala ila wamekomaaa kuwaingiza watoto wao cha kike, Wazazi wanazania mtoto ili awe kichwa kweli kweli anapaswa kusoma kila siku, kila wiki, kila mwezi na mwaka mzika.
Ndio maana likizo badala mtoto apumizike a degest yale alio yasoma shuleni still anashindiliwa Tuition, sasa Tuition zenyewe utachoka, tuition za masomo ya Arts.
Hivi mtoto anaenda Tuition ya Kiswahili, English, History, Civics, Geograph ili iweje?
Au mtoto wa chekechea anaenda tuition ili iweje?
Miaka 15 kutoka sasa hawa watoto watatulaumu sana kwa sababu tulijua mitala haifai ila hatukuwasaidia chochote zaidi ya kusaidia kuwaingiza shimoni.