Mtoto wa Mabere Marando akutwa na kashfa ya UFISADI chuo kikuu Mlimani

Fanya siasa zako chafu huko huko chuoni kwenu kuchafuana kuna ubao Wa matangazo na magroup yenu ya WhatsApp unaacha kusoma unakuja na ujinga soma uongozi huo unakusaidia nn ukifeli
 
alteza ,

Unaweza ukawa na maana nzuri sana. ila, ulichokifanya humu ni ushamba na ushankupe tu. Ni vitu fulani more personal hivi. sio kuja kujaza servers zetu tu.

Koma!
 
Last edited by a moderator:
Wewe nimeshakujua....ni mwanafunzi wa 2nd Year Ll.B.... Kwa hizi siasa zako chafu nakupa muda wa masaa 7 ntaanika ID yako,,, subiria kukuche

unamtisha nan we ndo mabere nyaucho au kama ni we acha kumdhalilisha mshua wako sam taim yan una taka uondozi uwe kama mkwaju wa kuwachapa mabint mchaga gani we kama sio msambaa
 
tusipo wathibiti hawa walafi katika ngazi ya huku chini baadae watakuja kulitia taifa hasara na hii ni kuwaijulisha public kwamba huju kijana hafai na anapigwa kutokana na uroho na urafi wa madaraka na kuiba pesa
sasa mnaosema hapa siyo mahala pake nawashangaa maana mafisadi wengi tanzania wametokea chuo kikuu cha DSM
nimeweka uzi huu ili mjue ni vipi viongozi walafi hupatikana fikirien kwa macho matatu
msiangalie tatizo juu juu mm nimewarudisha kwenye shina na mizizi ambako ndo viongoz wabovu hujitengeneza
angalieni list ya mafisadi wengi ni kutoka udsm sasa huyu marando jr nae anafuata nyayo zilezile
kuweni makini naye maana atamaliza shule na kuja mtaani kujisifia eti nilikuwa kiongozi DARUSO
 
NILIPANGA KUMPIGIA KURA MARANDO LAKINI KATIKA HAYA, AMEIKOSA KURA YANGU!

Na Ocampo wa Desa.

Habari za wakati huu wana UDSL? Ni matumaini yangu kuwa wote tuwazima na tuko tayari kukijenga kitivo chetu kwa kukipatia viongozi makini, wenye uwezo, wasio na majivuno, dharau na wenye weledi wa kushughulikia matatizo yetu kwa ukamilifu.

Kila mmoja anayo nafasi ya kuijenga UDSL kwa nafasi na uwezo wake.

Nafasi ya uwenyekiti wa shule yetu pendwa, ina gombewa na wagombea watatu ambao ni Marando Tician (second year)Pascal Mshanga( Anaegombea kutoka third year, pamoja na John Patrick (Second yr).

Baada ya kufanya tafakuri sahihi, nimeona nitakuwa nafanya kosa kubwa kama nitashindwa kutoa mtazamo wangu juu ya mgombea gani hastahili kutuongoza kama mwenyekiti katika nafasi hiyo nyeti.

Zifuatazo ni sababu zilizofanya nibadili uwamuzi wangu wa kutomchagua Marando aliyekuwa mbunge wa second year.


1) Kukiri kushindwa kutatua tatizo la choo library.
Itakumbukwa kuwa kijana huyu alikuwa ni mbunge. Kila alipofuatwa kwajili ya kutatua kero yetu hiyo kwa kushirikiana na viongozi wenzake, aliendelea kutoa maneno matamu kuwa swala linashughulikiwa mpaka tulipo mbana na kukiri kuwa ameshindwa kutatua tatizo hilo ambalo kimsingi ni ukosefu wa maji tu.
Kama ameshindwa kutatua swala dogo kama hilo, kwanini anataka madaraka makubwa? Kwanini asikae pembeni ili watu wapya ambao hawakuwa sehemu ya uongozi kama yeye, walete chachu mbadala kwakuwa yeye ameshindwa. Kitu kinacho shangaza zaidi, tatizo hilo la choo alilowahi kukiri kushindwa kulitatua leo amelifanya kuwa agenda yake kuu.
Anasema amefanya tafiti na amebaini kuwa ni shilingi 180000 pekee ndizo zinahitajika kuondoa tatizo hilo. Kila semester kitivo kinapokea zaidi ya mil 1 na mpaka wakati huu unaposoma waraka huu, tayari kitivo chetu kimepokea mil 1.2 na baada ya wiki moja kitapokea zaidi ya milion 1 nyingine. Maswali ya kujiuliza, hiyo 180,000 ilikosekana vipi na wakati fedha zipo na Marando ni mjumbe halali wa vikao vyote vya kitivo? Alishindwa vipi kupendekeza swala hili? Mbona posha alikuwa anachukuwa? kwanini hajapendekeza hata ununuzi wa soketi moja anazosema ni mbovu kwa sasa? Tumsubiri kwenye sanduku la kura.

2) Majivuno yake( arrogance) na dharau. Pamoja na kwamba kijana huyu ana hulka ya kuonesha kujali pindi uchaguzi unapokaribia, lakini ule msemo wa tabia ni kama ngozi bado imekuwa ukileta maana halisi kwa kijana huyu.
Ni huyu huyu kijana ambaye pamoja na maneno yasioweza kutamkika hadharani, aliwahi kumkashifu kijana anayefahamika kwa jina la Jonas (classmate wake) kuwa amlaumu baba yake ambaye hakusoma.
Hii ni lugha inayodhihirisha majivuno na dharau hasa kwa watu wasiotoka kwenye familia za wanasiasa au watu maarufu.
Najiuliza kuwa, hivi anadhani watu wasiokuwa maarufu hawakwenda shule? Au kuwa msomi mpaka uwe mwanasiasa au maarufu?
Hii ni dalili mbaya ya kiburi, dharau na ulevi wa madaraka. Hata hivyo, licha ya kuwahi kukiri kufanya hivyo, bado hajawahi kuona sababu au umuhimu wa kumtaka radhi kijana huyo na kututaka radhi wale tunaotoka ktk familia zisizo na majina makubwa au zenye wazazi wasio na elimu. Hakuishia hapo, ni hivi majuzi ametoa maneno ya kebehi kwa wagombea wenzake alipoulizwa kama atamteu yeyote endapo atafanikiwa kushinda, Namnukuu " Siwezi kuteua mbwa kwenda bungeni". Kwa namna yoyote kauli hii haikutegemewa kutolewa na mtu kama yeye.
Hii ni moja ya sababu iliyopelekea kum bright off kijana huyu kama sehemu ya kutoa fundisho kwa viongozi wengine na wale wanaotaka kuwa viongozi.

3) Kuwaita first year watoto. Hii ni sehemu nyingine inayoonesha tabia halisi ya kijana huyu kwa kuwavunjia heshima first year kwa kuwaita watoto.
Baada ya kuona upepo wa kisiasa kwa upande wa madarasa mengine kumwendea vibaya hasa second year ambapo anatoka, mara kadhaa amesikika akisema hata msipo nipa kura watoto watanipa,.tayari nimesha maliza kazi ya lobbying. Hivi kupishana mwaka mmoja kweli kunatosha kuwaita watu wazima watoto? Ni ukweli usiopingika kuwa wapo first year waliomzidi kiumri, hivi kiburi cha kuwaita watoto kinatoka wapi? Ni huyu huyu kijana ambaye licha ya kutumia mwanya wa vijana wa first year kutoifahamu tabia yake, amesikika mara kadhaa akisema watoto wa kike (girls) wa first year wamekuwa wakimshobokea zaidi ya pesa na kwamba anachosubiri ni nchi kutawalika kwanza (kupata uwenyekiti kwanza) ili awashughulikie. Kwa kiongozi makini hawezi kutoa maneno ya namna hii mbele ya hadhira hata kama anayoyasema Marando kuwa anashobokewa yana ukweli. Ipo haja ya kutafakari sawa sawa kabla ya kufanya uwamuzi wa kupata kiongozi sahihi wa shule yetu mama na kongwe ya sheria. Amefanya kila liwezekanalo kuhakikisha anapenya kwenye group moja la first year huku akijua fika kuwa hana sifa za kuwa member wa kundi hilo.
Kwakuwa kipimo cha kiongozi sio kiwango chake cha unafiki kwangu wakati wa kusaka kura yangu, ni kwasababu hiyo nimefikia uwamuzi huo.


5) Kujitapa kuwa ni Mwenyekiti anayesubiri kuapishwa na yeyote mwenye matarajio ya kugombea na yeye asubiri kipigo cha mbwa.
Hichi ni kiburi cha aina yake, Na huu ni ulevi wa madaraka uliotukuka. Hata hivyo, kauli yake ilikuja kubainika kutokuwa ya bahati mbaya baada ya kubainika kushiriki katika mipango ya kuweka mazingira ya kushinda kirahisi kabla kamati hiyo ya uchaguzi kupangwa upya baada ya kusikia habari ya maandalizi ya hoja za kupinga uvunjifu wa katiba ya Daruso pamoja na kanuni za uchaguzi, kifungu cha 5 sehemu ya nane, kinachotaka Excom mmoja kuwa sehemu ya tume hiyo. Hata hivyo tume inapaswa kupongezwa kwa kutambua uvunjifu na kufanya marekebisho ya haraka na kuteua Excom mmoja ndugu Steven(master) kuwa sehemu ya tume hiyo licha ya Marando kumhakikishia kutokuwa sehemu ya tume hiyo. Itakumbukwa kuwa Marando alikuwa mbunge na alifanya kazi na wajumbe wa tume hiyo na hivyo alitaka kutumia nafasi hiyo kuwaminya wapinzani wake ambao wote wanatoka nje ya mfumo. Mtu
Aliyepanga mipango ya kushinda kwa janja na hujuma, hana haki ya kupata kura ya msomi yeyote wa sheria. Ni wakati wa kudhihirisha utofauti uliopo kati ya shule ya sheria na vitivo vingine vya chuo chetu kwa kuwakataa viongozi wababaishaji, wanafiki na wale wasioweza kujenga na wapayukaji wanaosubiri kubebwa na majina ya wazazi wao. Tumehoji hizo asilimia 99% za utekelezaji wa ahadi zake, ameshindwa kutoa mchanganuo. Nadhani amefanya makosa makubwa kuleta siasa za form two C kwenye shule kongwe ya sheria.

5) Safari ya Dodoma. Ikumbukwe kuwa wapo wanafunzi wenzetu walio tumia fedha zetu kwenda kutanua Dodoma kwa kisingizio cha kwenda kumshawishi waziri kupandisha mkopo ambao mpaka hivi sasa haujapanda hata senti moja.
Ni hao hao viongozi walikosa majibu pale kwenye kikao cha bunge la DARUSO kwa maswali yafuatayo:
Mosi, kwanini waliamua kutumia fedha nyingi kwenda Dodoma huku wakitambua kuwa ofisi za wizara ya mikopo ziko Posta ambako wangepunguza gharama?
Pili, Kwanini walitaka kwenda kupandisha mkopo ikiwa wanafahamu kuwa wapo wanafunzi wengi ambao hawana mkopo?
Tatu, Licha ya Waziri mkuu kukiri kosa na kuomba marekebisho ya sera inayotoa nafasi ya matanuzi ya fedha za wanafunzi baada ya kuwa amesha zitumia, kwanini hawakuona haja ya kufanya hivyo kabla ya kuzitumia.
Nne, Watu 36 kwenda Dodoma yalikuwa ni maandamano au uwakilishi, na kama hayakuwa maandamano, kwanini waliamua kuteketeza fedha zetu bila huruma?
Tano, kama safari hiyo ilikuwa halali kwanini ilifanyika kwa ukimya mkubwa(Marando hakutoa taarifa kokote licha ya kuwa na mazea hayo)
Mwisho, Kwanini wasiombe radhi kwa wana UDSM kwa kosa hilo badala ya waziri mkuu peke yake kuomba kurejesha fedha alizotumia.
Lazima tupinge kitivo chetu kugeuzwa chaka la mafisadi.

Katika hili Marando ameendelea kuwahadaa wana UDSL kama watoto kwa lengo la kujisafisha huku akitambua kuwa kufanya hivyo ni kuwafanya watu wazima kama watoto. Katika hili kura yangu hawezi kuipata
Itakumbukwa kuwa hii sio mara ya kwanza kwa kijana huyu kujihusisha na michezo ya kifisadi. Mtakumbuka kuwa ni huyu huyu Marando aliyetuahidi kufuatilia fedha zilizo rejeshwa(940,000) na aliyekuwa katibu wa kitivo cha sheria, Ndugu Angelo Steven aliyekuwa amehujumu fedha hizo. Kijana huyu anayetaka uwenyekiti wa kitivo chetu tukufu, hakuwahi kuleta mrejesho kuwa ni wapi alifikia. Licha ya shutuma za kupewa 370000 pale Calabash na kuahidiwa kupewa unaibu waziri bado hajawa kukanusha tuhuma hizi kwakuwa anatambua fika ukweli wa juu ya jambo hili.

6) Siasa za kibaguzi kati ya BALE na LL.B. Wakati wa kampeni za ubunge mwaka jana alipokuwa anagombea na ndugu Godfrey Meche aliyekuwa anatokea BALE, Marando alifanya siasa za kibaguzi kwa kutaka watu wasimchague kwasababu anatokea BALE. Maneno ya kibaguzi aliyoyatumia kijana Marando bado yanakumbukwa na wana second year.
Alifikia hatua ya kutumia maneno kama 'Nyoka wa mbali haiuwi nyoka, Mwamvuli humkinga aliyeushikilia nk.
Hakuishia hapo, pia alifanya kampeni chafu dhidi ya Walter Mrisha aliyegombea urais wa UDLS aliyekuwa anatokea BALE, kuwa Layer Enforcers knows nothing about law.
Kiongozi kutafuta uhalali wa kushinda uchaguzi kwa kutugawa niwa kukwepa kama ukoma.


Mwisho
Napenda kutoa rai kwa wana UDSL kuwa makini katika uchaguzi huu, lakini pia kutoa funzo kwa viongozi calibre ya Marando kwa kutowapigia kura ili kutoa funzo na precedent katika kitivo chetu mama. Tusichague viongozi kwa kupima kiwango cha wao walivyo jipendekeza kwetu kwa kutafuta kura zetu, tusichague viongozi wanao tuhadaa kwa kututajia matatizo yetu kwa maneno mazuri yenye ukosefu wa njia zenye mwanga wa utatuzi, wala hata siku moja tusichague kiongozi kwa jinsi anavyo shout na kupiga kelele, TUCHAGUE VIONGOZI KWA HOJA ZAO, HEKMA, STAHA NA WANAO TUSHAWISHI BILA KUTUHADAA KWA NAMNA WALIVYO JIPENDEKEZA KWETU WAKATI WA KUSAKA KURA ZETU.


Mungu ibariki UDSL,
Mungu ibariki UDSM,
Tanzania na Afrika.

Na Ocampo wa Desa

Ukimaliza chuo njoo kitaa utafute GPA mpya, hizo GPA za chuo achana nazo.

Alafu huo uongozi unafanya utokwe povu ni sababu ya kuishi Hall One sio?

Soma acha mbwembwe na siasa za chuki tena siasa zenyewe hapo chuo!!
 
Tician mabere marando kura zetu ushapata..... Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe!!
 
Tician Marando Mabere alikuwa anakagonga kabinti flani hivi, alikadanganya atakaoa 😂 kakaweka Papuchi rehani.... Baada ya kukapa Furushi la Ujawepesi na kabinti hako kushauriwa na wenzake hasa Jini K ....👌 akakatema Kwa show moja ya kibabe sana , sasa naona BINTI Macha kaamua kujibu tuhuma Kwa mtindo wa kipekee sana hapa Jf ....... Pole binti.
Jina la Alteza ni maarufu sana kwa mabinti wa 2nd yr LL.B
 
tusipo wathibiti hawa walafi katika ngazi ya huku chini baadae watakuja kulitia taifa hasara na hii ni kuwaijulisha public kwamba huju kijana hafai na anapigwa kutokana na uroho na urafi wa madaraka na kuiba pesa
sasa mnaosema hapa siyo mahala pake nawashangaa maana mafisadi wengi tanzania wametokea chuo kikuu cha DSM
nimeweka uzi huu ili mjue ni vipi viongozi walafi hupatikana fikirien kwa macho matatu
msiangalie tatizo juu juu mm nimewarudisha kwenye shina na mizizi ambako ndo viongoz wabovu hujitengeneza
angalieni list ya mafisadi wengi ni kutoka udsm sasa huyu marando jr nae anafuata nyayo zilezile
kuweni makini naye maana atamaliza shule na kuja mtaani kujisifia eti nilikuwa kiongozi DARUSO

Haya Dada, nakweli kakufanyia ufisadi wa hali ya juu Sana, ila kuua kiumbe chair ilimuuma zaidi pia👊
 
NILIPANGA KUMPIGIA KURA MARANDO LAKINI KATIKA HAYA, AMEIKOSA KURA YANGU!

Na Ocampo wa Desa.

Habari za wakati huu wana UDSL? Ni matumaini yangu kuwa wote tuwazima na tuko tayari kukijenga kitivo chetu kwa kukipatia viongozi makini, wenye uwezo, wasio na majivuno, dharau na wenye weledi wa kushughulikia matatizo yetu kwa ukamilifu.

Kila mmoja anayo nafasi ya kuijenga UDSL kwa nafasi na uwezo wake.

Nafasi ya uwenyekiti wa shule yetu pendwa, ina gombewa na wagombea watatu ambao ni Marando Tician (second year)Pascal Mshanga( Anaegombea kutoka third year, pamoja na John Patrick (Second yr).

Baada ya kufanya tafakuri sahihi, nimeona nitakuwa nafanya kosa kubwa kama nitashindwa kutoa mtazamo wangu juu ya mgombea gani hastahili kutuongoza kama mwenyekiti katika nafasi hiyo nyeti.

Zifuatazo ni sababu zilizofanya nibadili uwamuzi wangu wa kutomchagua Marando aliyekuwa mbunge wa second year.


1) Kukiri kushindwa kutatua tatizo la choo library.
Itakumbukwa kuwa kijana huyu alikuwa ni mbunge. Kila alipofuatwa kwajili ya kutatua kero yetu hiyo kwa kushirikiana na viongozi wenzake, aliendelea kutoa maneno matamu kuwa swala linashughulikiwa mpaka tulipo mbana na kukiri kuwa ameshindwa kutatua tatizo hilo ambalo kimsingi ni ukosefu wa maji tu.
Kama ameshindwa kutatua swala dogo kama hilo, kwanini anataka madaraka makubwa? Kwanini asikae pembeni ili watu wapya ambao hawakuwa sehemu ya uongozi kama yeye, walete chachu mbadala kwakuwa yeye ameshindwa. Kitu kinacho shangaza zaidi, tatizo hilo la choo alilowahi kukiri kushindwa kulitatua leo amelifanya kuwa agenda yake kuu.
Anasema amefanya tafiti na amebaini kuwa ni shilingi 180000 pekee ndizo zinahitajika kuondoa tatizo hilo. Kila semester kitivo kinapokea zaidi ya mil 1 na mpaka wakati huu unaposoma waraka huu, tayari kitivo chetu kimepokea mil 1.2 na baada ya wiki moja kitapokea zaidi ya milion 1 nyingine. Maswali ya kujiuliza, hiyo 180,000 ilikosekana vipi na wakati fedha zipo na Marando ni mjumbe halali wa vikao vyote vya kitivo? Alishindwa vipi kupendekeza swala hili? Mbona posha alikuwa anachukuwa? kwanini hajapendekeza hata ununuzi wa soketi moja anazosema ni mbovu kwa sasa? Tumsubiri kwenye sanduku la kura.

2) Majivuno yake( arrogance) na dharau. Pamoja na kwamba kijana huyu ana hulka ya kuonesha kujali pindi uchaguzi unapokaribia, lakini ule msemo wa tabia ni kama ngozi bado imekuwa ukileta maana halisi kwa kijana huyu.
Ni huyu huyu kijana ambaye pamoja na maneno yasioweza kutamkika hadharani, aliwahi kumkashifu kijana anayefahamika kwa jina la Jonas (classmate wake) kuwa amlaumu baba yake ambaye hakusoma.
Hii ni lugha inayodhihirisha majivuno na dharau hasa kwa watu wasiotoka kwenye familia za wanasiasa au watu maarufu.
Najiuliza kuwa, hivi anadhani watu wasiokuwa maarufu hawakwenda shule? Au kuwa msomi mpaka uwe mwanasiasa au maarufu?
Hii ni dalili mbaya ya kiburi, dharau na ulevi wa madaraka. Hata hivyo, licha ya kuwahi kukiri kufanya hivyo, bado hajawahi kuona sababu au umuhimu wa kumtaka radhi kijana huyo na kututaka radhi wale tunaotoka ktk familia zisizo na majina makubwa au zenye wazazi wasio na elimu. Hakuishia hapo, ni hivi majuzi ametoa maneno ya kebehi kwa wagombea wenzake alipoulizwa kama atamteu yeyote endapo atafanikiwa kushinda, Namnukuu " Siwezi kuteua mbwa kwenda bungeni". Kwa namna yoyote kauli hii haikutegemewa kutolewa na mtu kama yeye.
Hii ni moja ya sababu iliyopelekea kum bright off kijana huyu kama sehemu ya kutoa fundisho kwa viongozi wengine na wale wanaotaka kuwa viongozi.

3) Kuwaita first year watoto. Hii ni sehemu nyingine inayoonesha tabia halisi ya kijana huyu kwa kuwavunjia heshima first year kwa kuwaita watoto.
Baada ya kuona upepo wa kisiasa kwa upande wa madarasa mengine kumwendea vibaya hasa second year ambapo anatoka, mara kadhaa amesikika akisema hata msipo nipa kura watoto watanipa,.tayari nimesha maliza kazi ya lobbying. Hivi kupishana mwaka mmoja kweli kunatosha kuwaita watu wazima watoto? Ni ukweli usiopingika kuwa wapo first year waliomzidi kiumri, hivi kiburi cha kuwaita watoto kinatoka wapi? Ni huyu huyu kijana ambaye licha ya kutumia mwanya wa vijana wa first year kutoifahamu tabia yake, amesikika mara kadhaa akisema watoto wa kike (girls) wa first year wamekuwa wakimshobokea zaidi ya pesa na kwamba anachosubiri ni nchi kutawalika kwanza (kupata uwenyekiti kwanza) ili awashughulikie. Kwa kiongozi makini hawezi kutoa maneno ya namna hii mbele ya hadhira hata kama anayoyasema Marando kuwa anashobokewa yana ukweli. Ipo haja ya kutafakari sawa sawa kabla ya kufanya uwamuzi wa kupata kiongozi sahihi wa shule yetu mama na kongwe ya sheria. Amefanya kila liwezekanalo kuhakikisha anapenya kwenye group moja la first year huku akijua fika kuwa hana sifa za kuwa member wa kundi hilo.
Kwakuwa kipimo cha kiongozi sio kiwango chake cha unafiki kwangu wakati wa kusaka kura yangu, ni kwasababu hiyo nimefikia uwamuzi huo.


5) Kujitapa kuwa ni Mwenyekiti anayesubiri kuapishwa na yeyote mwenye matarajio ya kugombea na yeye asubiri kipigo cha mbwa.
Hichi ni kiburi cha aina yake, Na huu ni ulevi wa madaraka uliotukuka. Hata hivyo, kauli yake ilikuja kubainika kutokuwa ya bahati mbaya baada ya kubainika kushiriki katika mipango ya kuweka mazingira ya kushinda kirahisi kabla kamati hiyo ya uchaguzi kupangwa upya baada ya kusikia habari ya maandalizi ya hoja za kupinga uvunjifu wa katiba ya Daruso pamoja na kanuni za uchaguzi, kifungu cha 5 sehemu ya nane, kinachotaka Excom mmoja kuwa sehemu ya tume hiyo. Hata hivyo tume inapaswa kupongezwa kwa kutambua uvunjifu na kufanya marekebisho ya haraka na kuteua Excom mmoja ndugu Steven(master) kuwa sehemu ya tume hiyo licha ya Marando kumhakikishia kutokuwa sehemu ya tume hiyo. Itakumbukwa kuwa Marando alikuwa mbunge na alifanya kazi na wajumbe wa tume hiyo na hivyo alitaka kutumia nafasi hiyo kuwaminya wapinzani wake ambao wote wanatoka nje ya mfumo. Mtu
Aliyepanga mipango ya kushinda kwa janja na hujuma, hana haki ya kupata kura ya msomi yeyote wa sheria. Ni wakati wa kudhihirisha utofauti uliopo kati ya shule ya sheria na vitivo vingine vya chuo chetu kwa kuwakataa viongozi wababaishaji, wanafiki na wale wasioweza kujenga na wapayukaji wanaosubiri kubebwa na majina ya wazazi wao. Tumehoji hizo asilimia 99% za utekelezaji wa ahadi zake, ameshindwa kutoa mchanganuo. Nadhani amefanya makosa makubwa kuleta siasa za form two C kwenye shule kongwe ya sheria.

5) Safari ya Dodoma. Ikumbukwe kuwa wapo wanafunzi wenzetu walio tumia fedha zetu kwenda kutanua Dodoma kwa kisingizio cha kwenda kumshawishi waziri kupandisha mkopo ambao mpaka hivi sasa haujapanda hata senti moja.
Ni hao hao viongozi walikosa majibu pale kwenye kikao cha bunge la DARUSO kwa maswali yafuatayo:
Mosi, kwanini waliamua kutumia fedha nyingi kwenda Dodoma huku wakitambua kuwa ofisi za wizara ya mikopo ziko Posta ambako wangepunguza gharama?
Pili, Kwanini walitaka kwenda kupandisha mkopo ikiwa wanafahamu kuwa wapo wanafunzi wengi ambao hawana mkopo?
Tatu, Licha ya Waziri mkuu kukiri kosa na kuomba marekebisho ya sera inayotoa nafasi ya matanuzi ya fedha za wanafunzi baada ya kuwa amesha zitumia, kwanini hawakuona haja ya kufanya hivyo kabla ya kuzitumia.
Nne, Watu 36 kwenda Dodoma yalikuwa ni maandamano au uwakilishi, na kama hayakuwa maandamano, kwanini waliamua kuteketeza fedha zetu bila huruma?
Tano, kama safari hiyo ilikuwa halali kwanini ilifanyika kwa ukimya mkubwa(Marando hakutoa taarifa kokote licha ya kuwa na mazea hayo)
Mwisho, Kwanini wasiombe radhi kwa wana UDSM kwa kosa hilo badala ya waziri mkuu peke yake kuomba kurejesha fedha alizotumia.
Lazima tupinge kitivo chetu kugeuzwa chaka la mafisadi.

Katika hili Marando ameendelea kuwahadaa wana UDSL kama watoto kwa lengo la kujisafisha huku akitambua kuwa kufanya hivyo ni kuwafanya watu wazima kama watoto. Katika hili kura yangu hawezi kuipata
Itakumbukwa kuwa hii sio mara ya kwanza kwa kijana huyu kujihusisha na michezo ya kifisadi. Mtakumbuka kuwa ni huyu huyu Marando aliyetuahidi kufuatilia fedha zilizo rejeshwa(940,000) na aliyekuwa katibu wa kitivo cha sheria, Ndugu Angelo Steven aliyekuwa amehujumu fedha hizo. Kijana huyu anayetaka uwenyekiti wa kitivo chetu tukufu, hakuwahi kuleta mrejesho kuwa ni wapi alifikia. Licha ya shutuma za kupewa 370000 pale Calabash na kuahidiwa kupewa unaibu waziri bado hajawa kukanusha tuhuma hizi kwakuwa anatambua fika ukweli wa juu ya jambo hili.

6) Siasa za kibaguzi kati ya BALE na LL.B. Wakati wa kampeni za ubunge mwaka jana alipokuwa anagombea na ndugu Godfrey Meche aliyekuwa anatokea BALE, Marando alifanya siasa za kibaguzi kwa kutaka watu wasimchague kwasababu anatokea BALE. Maneno ya kibaguzi aliyoyatumia kijana Marando bado yanakumbukwa na wana second year.
Alifikia hatua ya kutumia maneno kama 'Nyoka wa mbali haiuwi nyoka, Mwamvuli humkinga aliyeushikilia nk.
Hakuishia hapo, pia alifanya kampeni chafu dhidi ya Walter Mrisha aliyegombea urais wa UDLS aliyekuwa anatokea BALE, kuwa Layer Enforcers knows nothing about law.
Kiongozi kutafuta uhalali wa kushinda uchaguzi kwa kutugawa niwa kukwepa kama ukoma.


Mwisho
Napenda kutoa rai kwa wana UDSL kuwa makini katika uchaguzi huu, lakini pia kutoa funzo kwa viongozi calibre ya Marando kwa kutowapigia kura ili kutoa funzo na precedent katika kitivo chetu mama. Tusichague viongozi kwa kupima kiwango cha wao walivyo jipendekeza kwetu kwa kutafuta kura zetu, tusichague viongozi wanao tuhadaa kwa kututajia matatizo yetu kwa maneno mazuri yenye ukosefu wa njia zenye mwanga wa utatuzi, wala hata siku moja tusichague kiongozi kwa jinsi anavyo shout na kupiga kelele, TUCHAGUE VIONGOZI KWA HOJA ZAO, HEKMA, STAHA NA WANAO TUSHAWISHI BILA KUTUHADAA KWA NAMNA WALIVYO JIPENDEKEZA KWETU WAKATI WA KUSAKA KURA ZETU.


Mungu ibariki UDSL,
Mungu ibariki UDSM,
Tanzania na Afrika.

Na Ocampo wa Desa

Huu uandishi kama wa nanii
 
Kwa ujumla hoja iliotolewa ni ya kitoto kabisa. Ningependa kujua alieanzisha mada hii ana watoto wangapi? Hata hivyo kumwona motto wangu haendi au hafuati maadili hainifanyi maamuzi unayojaribu kuyapenyeza hapa. You are simply using the wrong analytical tools to arrive at decision. Pole sana.
 
hizi ndio siasa za vijana shupavu wa zzk na ACT,haya pambaneni ila muda utawaambia tu,kwamba mna dhambi ya usaliti mkubwa na uchonganishi tena kwa rupia kidoogo
 
sikujua km huyu Dogo ana akili za kusubiri msosi wa foleni bado
kutuletea Siasa za mabwenini ni kazi hasa
bora luwepo Jukwaa lao au Facebook
 
Pumbavu sana sijaona ufisadi wowote katika yote uliose kabla ya kufanya au kusema lolote fanya utafiti kwanza kwani ulicho kisema kinaonyesha hukufanya utafiti wewe ilitakiwa kuwa mpiga debe si msomi
 
Kama kweli wewe ni mgombe inaonyesha unauwezo mdogo sana wa kufikiri hata uwepo wako hapo chuoni napata mashaka ulifikaje kuna kila sababu ya viongozi wa chou kufuatilia ilifikaje hapo ulipo jaribu sana hata kama unapenda siasa husijaribu kujifunza siasa za uchochezi kwani kwa tanzania hazina nafasi pili siasa siyo kupakana matope ila ni kuonyesha njia tatu kama ulikuwa na mawazo ya kuwa mwanasiasa jaribu kutafuta kitu kingine cha kufanya ukikosa njoo ofisini kwangu nikupe kazi ya ushushu kwenye biashara zangu
 
Back
Top Bottom