duh awa mayahudi ni mijamaa kama wanyama hatari, ndo hata mzee hittler aliwatia adabu, mambo gani aya.?? its too bad
Wasomeeni Albadr waisrael wote wapate mabushaAllah Akbar... Duh
Wasomeeni Albadr waisrael wote wapate mabusha
Kwamba unataka kutetea huo unyama au?Propaganda. Vita havina macho. Au majeshi ya Israel walim-single out huyo mtoto?
kwamba unataka kutetea huo unyama au?
Laiti hizi dini tusingeletewa nadhani africa tungeishi raha mustarehe.
Kwamba unataka kutetea huo unyama au?
Laiti hizi dini tusingeletewa nadhani Africa tungeishi raha mustarehe.
Mara nyingi kumekuwa na attempts za waarabu kuonyesha picha za watoto wa kipalestina waliojeruhiwa na majeshi ya Israeli kwa lengo la ku-win moral support. Hizi ni propaganda zinazowameza watu wasio wachunguzi wa mambo. Hapa siongelei dini wala imani. Mie si myahudi. Lakini ukijiuliza ja ni kweli huyu mtoto aliuwawa kwa maksudi? Vita baina ya wapalestina na waisraeli havina demarcation, kama ulikuwa hujui. Wenzako hao wapigana tokea majumbani mwao, mahospitalini, mashuleni etc. Sasa unapoona picha kama hizo isikimbilie kuamua mkosaji nani. Katika vita kuna kitu kinaitwa legitimate target. Tafiti hiyo kitu halafu urudi tena.
baba wa taifa unachotaka kutuambia kuwa wa palestina wanamakosa na israel hawan? Maana gaza walipiga kura na kushinda hamas kwasbb ya wao kukosa mahusiano na marekani na israel wamefungiwa kupitisha kwa maji masafi fuel na umeme,sasa kama wapalestina wamewachagua na marekani inajulikana kwa democracy kivipi wawakatalie uhuru wao? Na kutaka kuweka serikali kibarua? Alafu watu wakidai haki wanpigwa? Ushahidi upo wakutosha hata kwa upande wa un kuwa israel anajenga makazi katika ardhi ya palestina na unachosikia ni kuwa un inasikitishwa basi hakuna vitendo wala nini? Lkn angefanya palestina au nchi za kiarabu za jirani ungeona un inavo fanya juu chini jeshi liandaliwe liingie kupiga na wewe bado unatetea? Au ni wale wale wa kuwa israel ni taifa la mungu?
Huruma ianze ndani ya mipaka yetu kwanza, kabla hatujafikiria kuhusu Palestina na Israel. Kuna watu wamekufa Arusha, Mbeya, Songea, Zanzibar n.k. walipokuwa wakidai haki yao.mtoto wa kipalestina anasaidiwa na wapita njia baada ya kupigwa bomu katika mguu wake na wanajeshi wa Israel.
View attachment 55299