Mtoto wa kike anampenda baba yake hadi anamwonea wivu mama yake

Hili linaweza kutolewa maelezo ya kina na wataalam,ila inategemea na mitazamo na feelings zinaashiria nini!
 
Its natural mtoto wa kike kuwa karibu na baba yake na wa kiume kuwa karibu na mama yake. Hii ni stage ya oudepus na imedadavuliwa vizuri na Sigmund Freud ktk PSYCHO-SEXUAL DEVELOPMENT. Nenda google. Wanaosema ni kalogwa ni mtazamo wao tu ila in reality mambo ndivyo yalivyo. Even me am very close to my dad na imenisaidia sana ktk kipindi kile cha utineja manake mvulana ukinitongoza tu dingi atajua cuz lazma nimwambie.....! Ila kwa sasa nimekuwa lakini stil we are friendz ila mama ndie best friend kwa sasa.
 
I love my dad to Death,Unconditional love, there is no word can express my love to him. Hamna mwanaume nitakayempenda kama baba yangu.
cha ajabu ni kwamba nimelelewa na mama(she was single mother) after separated with Dad. He didnt do anything mpaka hapa nilipofikia.
hajawahi kunipeleka shule wala chuo(mafanikio yote niliyonayo ni kwa ajili ya jitihada za mama yangu) Ila nampenda Baba than mama

Familia nzima inajua, na ukitaka unitibue akili basi ongelea vibaya kuhusu baba yangu

I love you papa.

Hebu toa hiyo Avetar yako kwanza kama hutajali!
 
Mimi kwa mtazamo wangu naona sababu kuubwa ni kwamba, mara nyingi watoto huwa muda mwingi wanakuwa na mama zao, na utakuta mama anamkanya baadhi ya mambo binti yake na mara nyingi anamkalipia na hata kumpiga. Na mama huwa anapenda mtoto wake hasa wa kike afanye kazi zote za ndani kama binti, sasa kadiri anavyotumwa na mama yeye mtoto ana-develop kichwani mwake kwamba mama ni mkali na mkatili kwake lakini lengo si hilo na mara nyingi baba si mwepesi wa kumpiga au kumfokea mtoto hasa wa kike. Na baba akitoka kazini yeye anakuja na zawadi atawaita watoto sebuleni atawapa zawadi watafurahi sana na kwa baba zawadi ni zawadi hata kama inagharimu kiasi gani yeye atanunua tu, ila mama, ni very reasoning wakati ananunua zawadi za watoto, atanunua zawadi ambazo kwanza zinaendana na watoto na gharama pia inagwa watoto watamuona mama kana kwamba hawapendi vile kumbe si hivyo. Hii mara kwa uzoefu wangu mdogo naona ndiyo sababu inayopelekea mtoto wa kike ampende baba kuliko mama.
 
Mimi kwa mtazamo wangu naona sababu kuubwa ni kwamba, mara nyingi watoto huwa muda mwingi wanakuwa na mama zao, na utakuta mama anamkanya baadhi ya mambo binti yake na mara nyingi anamkalipia na hata kumpiga. Na mama huwa anapenda mtoto wake hasa wa kike afanye kazi zote za ndani kama binti, sasa kadiri anavyotumwa na mama yeye mtoto ana-develop kichwani mwake kwamba mama ni mkali na mkatili kwake lakini lengo si hilo na mara nyingi baba si mwepesi wa kumpiga au kumfokea mtoto hasa wa kike.Na baba akitoka kazini yeye anakuja na zawadi atawaita watoto sebuleni atawapa zawadi watafurahi sana na kwa baba zawadi ni zawadi hata kama inagharimu kiasi gani yeye atanunua tu, ila mama, ni very reasoning wakati ananunua zawadi za watoto, atanunua zawadi ambazo kwanza zinaendana na watoto na gharama pia inagwa watoto watamuona mama kana kwamba hawapendi vile kumbe si hivyo. Hii mara kwa uzoefu wangu mdogo naona ndiyo sababu inayopelekea mtoto wa kike ampende baba kuliko mama.

Ndio tunarudi kwenye point kuwa ukishakuwa na ukaweza kupambanua mambo................unagundua kuwa aliyekuwa na mapenzi ya kweli na yanayojenga ni mama.............hivyo utakuta bila kujijua mapenzi yanahamia kwa mama................na anakuwa ndio rafiki yako mkubwa.

Yaani mimi mtu aguse pengine...............but not my MOM...........................she is..................sina hata neno la kulingana.............siku zote naumia nikijiuliza nimfanyie nini mama yangu at least kikaribie na malezi bora aliyonipa....................hakika sijapata................
 
Duh una moyo kweli kweli. Hata baada ya kukupotezea bado unamthamini baba kuliko mama! Samahani kama nimekuudhi lakini nadhani kukosa hayo mapenzi yake ndiyo unajilazimisha kwake.

Hata sijilazimishi dear, imetokea tu natural, I cant help it, na sometimes hata mama akikasirika huwa ananiambia("huyo baba yako alikuwa wapi nilipokuwa nahangaika kukusomesha?").
We love each other,wala sio ya kulazimisha na im so proud kusema kwamba nampenda baba. I like the way he call me "MAMA".
kwasababu ni mapenzi ya kweli, siwezi kubadilisha na kujidai nampenda mama kuliko baba.
Kitu ninachokumbuka ni kwamba I was so spoiled na baba kabla hawajatengana na mama.
 
Hii story imenigusa sana,
wakati niko form 5 (miaka 11 iliyopita) bahati mbaya nlimpa msichana mmoja mimba.
Kwa ajili ya utoto niseme nikamkana yule mtoto.
Yule dada alijifungua na mtoto kuja utasema ni mimi wakati niko mdogo bila kujali yeye ni wakike.
Mpaka ikafikia baba yangu akamchukua kukaa nae nyumbani potelea mbali hata kama nimemkataa, ingawa story na mama mtoto zikawa ndo zimeishia hapo.
Basi bwana katoto kakawa kananipenda kweli, mpaka ikabidi nije niseme ukweli ni wangu, na mpaka nikahama nyumbani ili nikajitegemee kanalia nisihame.
Mpaka sasa ninaishi nae kananipenda kweli,
kakifunga likizo hakataki kwenda kwa mama yake.
Nina miaka sasa 30 sasa, na yeye 11, na
kwa anavyokua haraka nafikiri kumtafutia mama wa kumlea lakin naogopa atapoteza furaha, uchangamfu na upendo wake kwangu.
 
Hii story imenigusa sana,
wakati niko form 5 (miaka 11 iliyopita) bahati mbaya nlimpa msichana mmoja mimba.
Kwa ajili ya utoto niseme nikamkana yule mtoto.
Yule dada alijifungua na mtoto kuja utasema ni mimi wakati niko mdogo bila kujali yeye ni wakike.
Mpaka ikafikia baba yangu akamchukua kukaa nae nyumbani potelea mbali hata kama nimemkataa, ingawa story na mama mtoto zikawa ndo zimeishia hapo.
Basi bwana katoto kakawa kananipenda kweli, mpaka ikabidi nije niseme ukweli ni wangu, na mpaka nikahama nyumbani ili nikajitegemee kanalia nisihame.
Mpaka sasa ninaishi nae kananipenda kweli,
kakifunga likizo hakataki kwenda kwa mama yake.
Nina miaka sasa 30 sasa, na yeye 11, na
kwa anavyokua haraka nafikiri kumtafutia mama wa kumlea lakin naogopa atapoteza furaha, uchangamfu na upendo wake kwangu.

mtafutie the right mother, kabla haujaoa jaribu kuona uhusiano wa mtoto na mke mtarajiwa, ila angalia sometimes wanawake wanabadilika wakishaolewa na kuonyesha the true color
 
mtafutie the right mother, kabla haujaoa jaribu kuona uhusiano wa mtoto na mke mtarajiwa, ila angalia sometimes wanawake wanabadilika wakishaolewa na kuonyesha the true color
It is true 22nd,wadada a.k.a wamama wenyewe wa siku hizi wanaeleweka basi?ni vile tu mtoto wenyewe wa kike lasivyo ningekausha tu nkafikiria issue zingine
 
Kama si kitu cha hajabu mtoto mdogo wa kike kumpenda baba yake basi msione hajabu binti mkubwa kuendelea kumpenda babake. Yes wengi wakikua mapenzi wanahamishia kwa mama lakini si lazima itokee hivyo kwa wote. Kuna ambao mpaka ukubwani wanaendelea kuwapenda baba zao na there is nothing bad going on. Mfano mimi dadangu wa kwanza na baba ni marafiki wakubwa sana toka akiwa mdogo mpaka leo ana watoto wa kuoza. Na hata kwenye story naweza kuona kabisa dada hampendi mama kiivyo, yes partly because mama alikuwa mnoko sana na dada alipokuwa teenager alikuwa mtundu kupita maelezo.
 
unadhani unampenda, ila hujajua kama unajipendekeza. Na babako anajua unajipendekeza ndo maana amekususa japo umefika hadi chuo. Mapenzi ya kweli lazima yawe na msingi wake, hayo yako kwa babako hayana msingi wowote labda una ajenda binfsi.
Kama mzee ana hela na status anaachaje kumpenda?😅
 
Tulikuwa kwenye uhusiano na huyu mrembo, kati ya vitu alivyowahi ku confide kwangu ni kuwa yupo close, anampenda sasa baba yake. Nikataka kujua uhusiano na mama yake ukoje akaniambia hawako close sana, eti anakuwa kama anamuonea wivu mama yake. Sikuitilia maanani kauli hii ila sasa nimehamasika kupata maana yake ya ndani,

Wana jamvi hii maana yake nini?

Huyo muhuni huyo kama ni mtu mzima
 
I love my dad to Death,Unconditional love, there is no word can express my love to him. Hamna mwanaume nitakayempenda kama baba yangu.
cha ajabu ni kwamba nimelelewa na mama(she was single mother) after separated with Dad. He didnt do anything mpaka hapa nilipofikia.
hajawahi kunipeleka shule wala chuo(mafanikio yote niliyonayo ni kwa ajili ya jitihada za mama yangu) Ila nampenda Baba than mama

Familia nzima inajua, na ukitaka unitibue akili basi ongelea vibaya kuhusu baba yangu

I love you papa.
umelogwa
 
I love my dad to Death,Unconditional love, there is no word can express my love to him. Hamna mwanaume nitakayempenda kama baba yangu.
cha ajabu ni kwamba nimelelewa na mama(she was single mother) after separated with Dad. He didnt do anything mpaka hapa nilipofikia.
hajawahi kunipeleka shule wala chuo(mafanikio yote niliyonayo ni kwa ajili ya jitihada za mama yangu) Ila nampenda Baba than mama

Familia nzima inajua, na ukitaka unitibue akili basi ongelea vibaya kuhusu baba yangu

I love you papa.
Kwa hiyo hata mimi niliyekutoa bikra haunipendi kweli??
 
unadhani unampenda, ila hujajua kama unajipendekeza. Na babako anajua unajipendekeza ndo maana amekususa japo umefika hadi chuo. Mapenzi ya kweli lazima yawe na msingi wake, hayo yako kwa babako hayana msingi wowote labda una ajenda binfsi.
 
Back
Top Bottom