dahhhh, jioni ifike nikagide ugimbi
Kwiya mnyalukolo?dahhhh, jioni ifike nikagide ugimbi
mtoto wa lowassa?
Msofe umenichekesha mpaka nikaacha kuangalia tbc kipindi cha bungeMnaohisi ni mtoto wa LOWASSA semeni NDIOOOOOO na msiomuhisi kuwa ni yeye waseme SIOOOOOO
mtoto wa lowassa?
Something fishy here... Lowasa aliangushwa kwa ripoti ya Mwakyembe... Lakini Mwakyembe mwenyewe alishakiri kuwa alificha sehemu ya ripoti ili kumsitiri/kumwokoa 'jamaa' mwingine. Sasa kati ya EL na 'jamaa' ni nani atataka Mwakyembe auawe? Nani atampa sumu??? Bila shaka ni yule ambaye Mwakyembe ana siri zake. Hivi kati ya EL na 'jamaa' ni nani anaiogopa 'ripoti iliyofichwa' na Mwakyembe?! Jibu liko wazi kama kutafuta jua mchana. Hii inaweza kuwa inachezwa na mmoja wa wataalamu wa siasa za majitaka za bongo, ambao ni wengi na kinara wao anajulikana..Ukifuatilia haya maelezo ni wazi anamzungumzia Fred Lowassa
Jamani huyu mama ana matatizo gani?
Hata kama ndio ku divert attention is this is the best way?
How hard is it kwa huyu mama kuachia ngazi?
Jamani huyu mama ana matatizo gani?
Hata kama ndio ku divert attention is this is the best way?
How hard is it kwa huyu mama kuachia ngazi?
Hana cha kuwekewa sumu wala nini, huyo ana ugonjwa mwingine unamsumbuwa ndio maana kakaa kimya.
Sasa ndio umeandika nini!!