Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
Nastaafu mwezi ujao yaani march, na hicho kiasi ndio malipo yangu yote ya kustaafu baada ya kuitumikia serikali hii kw miaka 36. mwe, wengine wananunulia taarifa!
Something fishy here... Lowasa aliangushwa kwa ripoti ya Mwakyembe... Lakini Mwakyembe mwenyewe alishakiri kuwa alificha sehemu ya ripoti ili kumsitiri/kumwokoa 'jamaa' mwingine. Sasa kati ya EL na 'jamaa' ni nani atataka Mwakyembe auawe? Nani atampa sumu??? Bila shaka ni yule ambaye Mwakyembe ana siri zake. Hivi kati ya EL na 'jamaa' ni nani anaiogopa 'ripoti iliyofichwa' na Mwakyembe?! Jibu liko wazi kama kutafuta jua mchana. Hii inaweza kuwa inachezwa na mmoja wa wataalamu wa siasa za majitaka za bongo, ambao ni wengi na kinara wao anajulikana..
Sijui kama niko sahihi lakini!!
Kwani huyo motto wa kigogo anawasiwasi gani?
au ni mmoja wa wanao dhaniwa wametenda uovu huo?
Wee acha tu mkuu..Halafu ukiona jinsi watu wanavyopotoshwa kirahisi hapa utachoka. Mko Msimbazi road Dar mtu anawaambia 'ili mfike Arusha fuata barabara ya Kilwa pita Mbagala mtafika Ars! Na nyie mnafuata njia hiyo na kushindana njiani kutafuta nani atawahi Ars... Matokeo yake? Msumbiji ndani!Hauko mbali sana na ukweli. Kidogo kidogo unaunganisha dots.
Tilia maanani pia katika wajumbe wote wa ile kamati, Stella Manyanya, aliyekuwa Katibu wa Kamati Ya Mwakyembe, kapewa Ukuu wa Mkoa baada ya Mwenyekiti Mwakyembe kupewa unaibu. Nani anawanyamazisha hawa? Kwa nini?
ENL aliuliza ndani ya CCM NEC, mbele ya wajumbe lukuki...."Mwenyekiti, kwa nini nasulubiwa kwa hili suala la Richmond? Ni nini ambacho nilikifanya ambacho wewe Mwenyekiti hukijui?"
Tafuta jibu la hayo maswali, basi utajua nani anafaidika zaidi na Mwakyembe au Manyanya kuwa kimya......hata iwe kimya milele.
utamuudhi Pasco, shauri yako!huyo mtoto ni fredy mamvi mkitaka nifungieni, najua mnamwogopa sana mamvi, ila naapa kwa mbingu na ardhi kamwe lowasa hatakaa pale ikulu alikokaa Julius Nyerere, akitaka akajenge ikulu yake na wapambe wake hukoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Kwani Selelii hajui chochote kuhusu taarifa hiyo?Hauko mbali sana na ukweli. Kidogo kidogo unaunganisha dots.
Tilia maanani pia katika wajumbe wote wa ile kamati, Stella Manyanya, aliyekuwa Katibu wa Kamati Ya Mwakyembe, kapewa Ukuu wa Mkoa baada ya Mwenyekiti Mwakyembe kupewa unaibu. Nani anawanyamazisha hawa? Kwa nini?
ENL aliuliza ndani ya CCM NEC, mbele ya wajumbe lukuki...."Mwenyekiti, kwa nini nasulubiwa kwa hili suala la Richmond? Ni nini ambacho nilikifanya ambacho wewe Mwenyekiti hukijui?"
Tafuta jibu la hayo maswali, basi utajua nani anafaidika zaidi na Mwakyembe au Manyanya kuwa kimya......hata iwe kimya milele.
mimi nashauri muhusika kama yupo humu jamvini aiweke habari hiyo humu sasa hivi na kwa kuwa humu hatujuani kwa uhakika basi sourse ya habari iwe ni JFna aichape kwenye magazeti kesho ili iwafikie hata wananchi wengine ambao siyo member humu na kwa njia hiyo atakuwa ameepuka hata hatua za kimahakama ambazo zinaweza kujitokeza kama habari hii mchapa gazeti ataitoa kavum kavu maana itabidi aieleze mahakama sourse ya hiyo habari - HUU NI USHAURI WANGU WA BUUURE bila senti moja