Ng'azagala
JF-Expert Member
- Jun 7, 2008
- 1,286
- 221
Is she married?,beautiful?
LOL!...safi sana hiyo huwezi kujua!! fuatilia unaweza ukajipatia mke halafu ni mchapa kazi na mambo ya siasa inaelekea yamemkalia kushoto. Kila la heri.
Binti wa JK aitwaye Salama Kikwete amehitimu digrii ya Doctor of Dental Surgery Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili.
Hii inafurahisha kwa baadhi ya viongozi wetu kusomesha watoto wao hapa hapa bongo.
picha kutoka Mkuu wa nanihii - MICHUZI
Is she married?,beautiful?
Teh teh teh,mimi na yule mdogo wake tu.
Btw: Ila kama ni jitihada zake sawa,maanke hapo muhimbili utakuta mjanja kafeli halafu mjinga mjinga Darasani kafaulu
Binti wa JK aitwaye Salama Kikwete amehitimu digrii ya Doctor of Dental Surgery Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili.
Hii inafurahisha kwa baadhi ya viongozi wetu kusomesha watoto wao hapa hapa bongo.
picha kutoka Mkuu wa nanihii - MICHUZI