Sijapata kuona,kuna mtoto yuko nzega ana umri wa miezi saba,cha kushangaza huwa alali mpka kuwe na kelele zwe za redio au umpeleke baa,sasa kwa bahat mbya jana kaugua alvyolekwa hosptal kulazwa hajalala.Ikabid kununua cm ya kichina na kumwekea headphone.Manes wameishamchoka kwa masaa 2.