Ficha ujinga saa nyingineAtakuwa ni mtoto wa yule msanii mkubwa nasib abdul .....akamatwe nasib akapimwe Dna kichanga kipate haki yake...........
Hapn atakuwa Ni wa linah sanga ,kwani anaishi maeneo hayoAtakuwa ni mtoto wa yule msanii mkubwa nasib abdul .....akamatwe nasib akapimwe Dna kichanga kipate haki yake...........
Huyu linah sanga siku hizi amekuwa na bonge la wowowo aisee........nafikili kuna shida mahaliHapn atakuwa Ni wa linah sanga ,kwani anaishi maeneo hayo
Miaka hii haya madude yanapandwa tu kama mchicha shambaniHuyu linah sanga siku hizi amekuwa na bonge la wowowo aisee........nafikili kuna shida mahali
Baba mtoto zaidi kwa kukataa kulea boga na ua lakeeee. Nyege mshindo taabu sanaaaMama wa mtoto atakuwa ni mtu katili sana
Kwani kaokotwa getini kwa sadala auAtakuwa ni mtoto wa yule msanii mkubwa nasib abdul. Akamatwe nasib akapimwe Dna kichanga kipate haki yake.
Wameanza Leo kutupa?Ni dalili za hali mbaya ya maisha huko tuendako
SijuiWameanza Leo kutupa?
Mungu ni mwema kanusurikaMtoto mchanga ameokotwa leo alfajiri, Novemba 02, 2022 akiwa hai, baada ya kutupwa katika maeneo ya Mada
Mtoto huyo anayedhaniwa kuzaliwa muda mfupi kabla ya kutupwa , amefikishwa kwenye zahanati ya Madale kwa matibabu zaidi.
Chanzo: ITV
Ukifata taratibu na sheria utapewaAise hii dunia,,Huyo mtoto nipeni mimi
AmiiinaAhueni bado yuko hai. Mwenyezi Mungu amjalie uzima na afya tele, ili hapo baadaye aje kuwa mtu mkubwa sana ndani ya hii nchi.