Mtoto mchanga ameokotwa Madale

Kindeena

JF-Expert Member
Sep 27, 2017
9,679
17,193
Mtoto mchanga ameokotwa leo alfajiri, Novemba 02, 2022 akiwa hai, baada ya kutupwa katika maeneo ya Madale.

Mtoto huyo anayedhaniwa kuzaliwa muda mfupi kabla ya kutupwa, amefikishwa kwenye zahanati ya Madale kwa matibabu zaidi.

mtoto.PNG

Chanzo: ITV
 
Back
Top Bottom