Chris Kamlenga
Member
- Oct 17, 2017
- 26
- 32
Habari wanaungwana,
Mwanangu ana umri wa miaka sita sasa,lakini ameng'oa meno mawili ya mbele ya chini lakini kwa sasa ni zaidi ya miezi miwili hayajaota,tatizo ni nini au nifanye nini ili yaote?
Naomba mwenye kujua suluhisho anisaidie tafadhari
Mwanangu ana umri wa miaka sita sasa,lakini ameng'oa meno mawili ya mbele ya chini lakini kwa sasa ni zaidi ya miezi miwili hayajaota,tatizo ni nini au nifanye nini ili yaote?
Naomba mwenye kujua suluhisho anisaidie tafadhari