Ninamtoto wa miaka miwili na miezi 9.hali vzr,alikuwa anakula vzr sasa hali ,nimempa dawa ya minyoo,hali bado.msaada tafadhali
Analishe kabisa,asubuhi uji.ulezi.saa 4 chai,mchana anaandaliwa chakula chake,muda wa lunch general anapewa,saa kumi anapata kilichopikwa saa tano then jioni anapata cha general,amepata vijipele vinakuwa vidonda na anakikohozi kwa sasa,kikohozi kina kama week,tulijaribu kumpa dawa but stil is ther
Kama yote niliyoyasem hapo juu si sahihi basi huenda mwanao akawa na kitu kitaalam kinaitwa dysphagia au ugumu wa kumeza chakula kutokana na uvimbe kwenye koromelo (nafikiri ndivyo inavyoandikwa), na dokta umfanyia uchunguzi kooni (ndani ya koromelo) ili kujuwa nini tatizo la mtoto kama huyo. Fanya haraka kumpeleka mwanao kwa daktari.