Ungeweka japo picha kama ipo ingesaidia sana!Tafadhal wadau wa j.f Mr. Amos Buregi anatafutwa na mwanae, kwa mwenye taarifa zozote au anapopatkana mzee huyo. Inasemekana yupo Dodoma but ha2na uhakika. Mwanae anamtafuta.
tafadhal wadau wa j.f mr. Amos buregi anatafutwa na mwanae, kwa mwenye taarifa zozote au anapopatkana mzee huyo. Inasemekana yupo dodoma but ha2na uhakika. Mwanae anamtafuta.