Ukuta wa Yeriko
Member
- Jul 6, 2015
- 36
- 24
Kuna taarifa za kupotea kwa mtoto Miriam Masumbuko Mwelekwa,darasa la 1, kama anavyoonekana kwenye picha.Amepotea tangu Jana saa moja jioni wakati anacheza ndani ya uzio wa nyumba yao maeneo ya Gongo la Mboto na haijulikani alipo.
Kwa yeyote atakayesikia/aliyesikia taarifa zake au kumuona popote tunaomba tufahamishane.
Unaweza kupiga 0762 686 361
Kwa yeyote atakayesikia/aliyesikia taarifa zake au kumuona popote tunaomba tufahamishane.
Unaweza kupiga 0762 686 361