Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Kwa wale wazazi wenye mapenzi mema na watoto wao
kwa watanzania mnaoishi tanki bovu karibu na ukuta wa mboma
kuna katoto kamekutwa na alfu kumi kana miaka 11,ka kike
baba na mama walikufa na ugonjwa wetu bahati mbaya naycho kanatumia
dawa zetu..akiwa na hela kumbe alianza kuwa na 500 nyumban wakimuliza
anadai kapewa na mama nanii...mara buku akawa ana buku 2000 akafia 3000
kama mnavyojua maisha yetu duni ya watanzania badala y kufwatilia mama mlezi
akichukua anakaa kimya.. majuzi kaja mjomba mtu akashanga mbona kila akirudi ana pesa
hamad leo kaingia na alfu kumi wazazi wanakichapa ndg ikabidi niingilie maana akuficha kitu anadai kuna kaka mkubwa anamlipiaga kiingilio kuangalia picha ni hapa karibu na kwa mboma
ttukawaambia jamani amesema kila kitu mnataka nini...akuacha hapo akataja watoto kama watatu ambao huyo mzee kijana alikuwa akiwalipia na kwend nao kichakani baada ya picha
nikaona wazazi tulinde watoto wetu jamani ninavyoangaika na mama wattoto kumbembeleza mtoto anyonye hivi fedhuli anakuja kuwamaliza kwa 500/1000
MKUU WA MKOA TUANGALIEN HIZI SEHEMU ZA KUONYESHA MAPICHA ZINAWAMALIZA
IMAGINE HUYU MTOTO ANATUMIA DAWA ZA UKIMWI...AMETAJA WENZAKE WATATU AMBAO NAANDIKA WANAENDEEELEA KULA KICHAPO MMOJA KAKIRI MMOJA BADO
SASA NAO HAWA HUJUI WAMETEMBEA NA MZEE KAVU AMA LAH............MUNGU UTUOKOE
NI REHEMA ZA AGAPE TU NDIO ZITAKAZOTULINDA JAMAN
kwa watanzania mnaoishi tanki bovu karibu na ukuta wa mboma
kuna katoto kamekutwa na alfu kumi kana miaka 11,ka kike
baba na mama walikufa na ugonjwa wetu bahati mbaya naycho kanatumia
dawa zetu..akiwa na hela kumbe alianza kuwa na 500 nyumban wakimuliza
anadai kapewa na mama nanii...mara buku akawa ana buku 2000 akafia 3000
kama mnavyojua maisha yetu duni ya watanzania badala y kufwatilia mama mlezi
akichukua anakaa kimya.. majuzi kaja mjomba mtu akashanga mbona kila akirudi ana pesa
hamad leo kaingia na alfu kumi wazazi wanakichapa ndg ikabidi niingilie maana akuficha kitu anadai kuna kaka mkubwa anamlipiaga kiingilio kuangalia picha ni hapa karibu na kwa mboma
ttukawaambia jamani amesema kila kitu mnataka nini...akuacha hapo akataja watoto kama watatu ambao huyo mzee kijana alikuwa akiwalipia na kwend nao kichakani baada ya picha
nikaona wazazi tulinde watoto wetu jamani ninavyoangaika na mama wattoto kumbembeleza mtoto anyonye hivi fedhuli anakuja kuwamaliza kwa 500/1000
MKUU WA MKOA TUANGALIEN HIZI SEHEMU ZA KUONYESHA MAPICHA ZINAWAMALIZA
IMAGINE HUYU MTOTO ANATUMIA DAWA ZA UKIMWI...AMETAJA WENZAKE WATATU AMBAO NAANDIKA WANAENDEEELEA KULA KICHAPO MMOJA KAKIRI MMOJA BADO
SASA NAO HAWA HUJUI WAMETEMBEA NA MZEE KAVU AMA LAH............MUNGU UTUOKOE
NI REHEMA ZA AGAPE TU NDIO ZITAKAZOTULINDA JAMAN