Ni maeneo ya hapa kijenge arusha mtoto wa miaka mitano amedondokea katika simo la choo jitiada ziligonga mwamba kumtoa lakini ilipita kama masaa 2 ndipo akatolewa akiwa amefariki polisi walifika eneo la tukio lakini inasemekana mwenye nyumba katoroka polisi wanaendelea na uchunguzi mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amin