KERO Mto unavyojaa maji ni mateso kwa Wanafunzi wa Kijiji cha Kamengo (Chato)

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Mimi ni Afisa Afya, katika moja ya majukumu yangu ya kutoa chanjo, nimebahatika kufika katika moja ya kijiji ndani ya Wilaya ya Chato Mkoani Geita, mbacho kinaitwa Kamengo.

Nilipofika hapo kiukweli inasikitisha sana Watoto hawapati huduma ya shule na clinic kwa wakati kutokana na changamoto ya mto kupitisha maji katika njia wanayopita.

Wakati wa mvua inafikia muda wanakaa wiki bila kwenda shule, hii changamoto inafahamika kwa viongozi, ila hakuna jitihada zilizofanyika kuwasaidia Wanafunzi hao.

Mimi mwenyewe nilienda kutoa huduma ya kiafya kijijini hapo, sitamani kurudi huko, je, hao Watoto watasoma kweli kwa hali kama hiyo?

Muda huo Mtoto akikosa shule anapigwa faini ya mfuko wa simenti, jamani kweli?

Mimi naomba tuwasaidie ndugu zetu hao si kwa lengo baya.
 
Tupaze sauti kushinikiza mabadiliko ya sera na utekelezaji wake.
Ila all in all poleni sana.
 
Mimi ni Afisa Afya, katika moja ya majukumu yangu ya kutoa chanjo, nimebahatika kufika katika moja ya kijiji ndani ya Wilaya ya Chato Mkoani Geita, mbacho kinaitwa Kamengo.

Nilipofika hapo kiukweli inasikitisha sana Watoto hawapati huduma ya shule na clinic kwa wakati kutokana na changamoto ya mto kupitisha maji katika njia wanayopita.

Wakati wa mvua inafikia muda wanakaa wiki bila kwenda shule, hii changamoto inafahamika kwa viongozi, ila hakuna jitihada zilizofanyika kuwasaidia Wanafunzi hao.

Mimi mwenyewe nilienda kutoa huduma ya kiafya kijijini hapo, sitamani kurudi huko, je, hao Watoto watasoma kweli kwa hali kama hiyo?

Muda huo Mtoto akikosa shule anapigwa faini ya mfuko wa simenti, jamani kweli?

Mimi naomba tuwasaidie ndugu zetu hao si kwa lengo baya.
Duu bila picha?
 
Nchi hii ya kipuuzi, mama anagawa fedha km njugu wakati hali ni tete, wanaacha mambo ya msingi wanafanya yasiyo na maana kwa kutaka sifa za kisiasa.
 
Nchi hii ya kipuuzi, mama anagawa fedha km njugu wakati hali ni tete, wanaacha mambo ya msingi wanafanya yasiyo na maana kwa kutaka sifa za kisiasa.
 
Tatizo kubwa sana lipo TARURA hii mamlaka ni ya kijinga sana kama hamjui kuna wakati hizi changamoto wanasababisha wao coz unaweza kukuta kampuni binafsi au taasisi binafsi zinazotumia hiyo barabala huwa wanaamua kujitolea kutatua kero ila TARURA wanaleta vikwazo ili wapewe bajeti na serikali mwisho wa siku tatizo linachukua muda kutatuliwa na linazidi kuwa kubwa.
 
Tatizo kubwa sana lipo TARURA hii mamlaka ni ya kijinga sana kama hamjui kuna wakati hizi changamoto wanasababisha wao coz unaweza kukuta kampuni binafsi au taasisi binafsi zinazotumia hiyo barabala huwa wanaamua kujitolea kutatua kero ila TARURA wanaleta vikwazo ili wapewe bajeti na serikali mwisho wa siku tatizo linachukua muda kutatuliwa na linazidi kuwa kubwa.
Inasikitisha sana kwakweli. Wapi imewahi kutokea kisa hiki mkuu?
 
kuna sehemu tulikuwa na ujenzi wa kampuni kutokana na ubovu wa barabala tukataka kuweka kifusi tulikataliwa mbele ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa wakadai wao ndio mwenye jukumu hilo
 
Back
Top Bottom