Mtindo wa viongozi kushitakiana si dalili njema kama Taifa, tujirejebishe

Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
Ndugu yangu, inaelekea wewe ni mlezi mzuri wa uovu. Siku nyingine yakikujia mawazo kama haya yakemee kwa kuwa yanatoka kwa yule mwovu.
 
..labda ungeshauri Raisi na wateule wake wote wawe na KINGA ya kutoshtakiwa wanapokuwa ktk nyadhifa zao na wanapoondoka ktk nyadhifa hizo.

..Na kwasababu CCM wana super-majority BUNGENI basi wanaweza kupitisha sheria hiyo bila kizuizi chochote.

..bila kuwa na sheria hiyo suala kushtakiana litaendelea kuwepo na litategemea zaidi utashi wa aliyeingia madarakani yuko tayari kiasi gani kuvumilia na kufukia maovu, na madudu ya awamu iliyomtangulia.
The retaliation would be of devastating. And this would come in any form, and that, regardless of any wrongdoings. The basis of it would only be under pretext of ,you punished my man or my community, and now is your turn.

This situation will trigger in additional bit into the chemistry, that, during voting we have to vote in anyway that we can protect our people from our community.

While on the other hand, the administration will be busy changing even the constitution so that they can remain in power for avoiding the obvious consequences.

Again, leaders have to be extremely careful around these things.
 
Hii mi naona bado haitoshi kuwe na transparency kila kinachohusu taifa kiwe wazi kwa kila mwenye kutaka kujua ajue.., ili tusisubiri washitakiane bali tuwawajibishe pale pale..., sababu kushitakiana alafu hakuna kinachofanyika haitoshi...
 
CCM mnahangaika Sana maana mnajua
Mlifanya madudu mengi Sana huko nyuma
Na siku CCM ikitoka madarakani, wafungwa wote waliomo magerezani watasamehewa ili sasa yaingie majambazi yanayofungwa na CCM. Yatajaa magereza yote na kujenga magerezxa mengine mara mbili ya yaliyopo. CCM ni shida kwa Taifa hili
 
Waroma walioishi miaka 2000 iliyopita walikuwa na akili kuliko Tanzania ya miaka 2000 baadae.
😖😖😖😖😭😢🤭🤭🤭🤭😅😂🤣
Ukweli nimehisi maumivu, uchungu kisha nimechekaa hadi nimepaliwa wewe ni GT.
Yaani wale waroma wa Spartacus aisee😆

Everyday is Saturday................................😎
 
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
Mkuu,

Kwa kile kinachoendelea hasa viongozi wa serikali ile ile ambao wanajuana ndani nje VISASI vitaenda kwa kuanzia ni kuondoa kinga ya Rais, Makamu, Waziri mkuu, Spika, Jaji mkuu kisha hatua ambazo hazijawahi kutokea Tanzania zitachukuliwa dhidi ya wale wanaojifanya ni wema, watenda haki, hawana makosa ya kijinani waliyotenda na wanayoendelea kutenda.

Sasa hivi matapeli kutoka miongoni mwao wameanza kutishia wananchi kwa kusema "unajua mimi ni nani, subiri utanitambua"

Viongozi wanaowashughulikia wenzao kwa sasa kwa kisingizio cha kuwajibishana kwa matendo waliyoyatenda wakati wakiwa madarakani ndicho kitakachowakabili pindi uongozi wa juu ukibadilika baada ya huu.

Sio siri CCM na serikali yao wamejiua wenyewe kwa tamaa ya kuwafurahisha watoa misaada.......Karma always reciprocates in the same way the envoke was enforced to the target individuals.

Hakuna haki na sheria inayotekelzwa ila ni uonevu kwa kuwa viongozi wote wa serikali wana matendo yanayofanana wakitofautiana kwenye namna wanavyotekeleza.
 
Huu ndio mtindo bora kabisa utakomesha ushenzi mwingi kama wale wapuuzi walifanya uhalifu na kupitisha sheria za kujikinga
 
Hao wanaotetea uovu ni wanufaika wa matendo ya Sabaya. Mbona hawakupiga kelele pindi sabaya anaonea watu na kutenda uovu wake
 
Kama unamzungumzia Sabaya basi umekosea, Sabaya kashtakiwa akiwa bado kiongozi, kilicho fanyika ni kumuondoa ofisini ili asiharibu uchunguzi, period. Halafu, unataka kunambia magereza wajaage wezi wa kuku na simu baasi, wezi wakubwa wakubwa wasifungwe? Hata kama kuna uhuru wa mawazo, hili HAPANA
 
Wasishtakiwe wamekuwa Mungu? Hata Mimi nikikosea kama ni mtumishi wa Serikali take me to court hakuna aliye juu ya sheria na sheria siyo kwaajili ya kina kapuku...ukiona tumeanza kuwajibishana kama hivi basi maendeleo yatakuja mapema sana kila kiongozi akijua nikienda kinyume naenda mahakamani....hiyo nayo ni zawadi ya kazi uliyofanya sema ni zawadi hasi....wapi Sabaya...
 
Nafikiri watu tunashindwa kuona picha kamili na hatari kubwa inayotunyemelea kuliko tunakojaribu ku solve.
Kwanini usione kuwa viongozi wanatakiwa watende haki na kutokukanyaga katiba sababu wanafahamu kuna kushtakiwa ukitoka madarakani?

We umeona picha ya hiyo hatari inayotunyemelea tu?
 
Kwanini usione kuwa viongozi wanatakiwa watende haki na kutokukanyaga katiba sababu wanafahamu kuna kushtakiwa ukitoka madarakani?

We umeona picha ya hiyo hatari inayotunyemelea tu?
Hayo umeona wewe. Ndo uzuri wa mawazo huru na utoaji wa unachofikiri. Naamini ingependeza zaidi, kama ungeliandika wewe hayo uliyoyaona, mimi sijayaoona. Niliyoyaona ndo nimeandika.
 
Hayo umeona wewe. Ndo uzuri wa mawazo huru na utoaji wa unachofikiri. Naamini ingependeza zaidi, kama ungeliandika wewe hayo uliyoyaona, mimi sijayaoona. Niliyoyaona ndo nimeandika.
kwahiyo tulipaswa kuunga mkono hoja bila kutoa mawaza mbadala sio?
 
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
1. Kwani kuna kiongozi aliyepita kashtakiwa na aliyepo...? Kumbukumbu zilzopo ni kuwa;

å Mpaka Hayati J. K. Nyerere anakufa, hakuwahi kushtakiwa popote na Rais Ally H. Mwinyi...!

å Retired Pres. Ally H. Mwinyi, huyo anakula pension yake tu. Hayati Benjamin Mkapa hakuwahi kumpeleka ktk mahakama yoyote...!

å Hayati Retired Pres. Benjamin Mkapa, kafa akiwa hana kesi yoyote mahakamani kutoka kwa mrithi wake Retired Pres. J. M. Kikwete...!

å Retired Pres. J. M. Kikwete huyo anaendelea kura pension yake kwa raha zake Msoga, hakuna kesi yoyote dhidi yake toka kwa aliyempokea kijiti Mwendazake John P. Magufuli...!

å Vivyo hivyo Hayati John P. Magufuli, hakuna kumbukumbu kuonesha kuwa amefunguliwa kesi fulani mahakamani na utawala wa Rais Samia S. Hassan....!

2. Au unataka kutuambia kuwa Ole Lengai Sabaya ndiye usemaye kuwa kashtakiwa..? Sasa huyu yeye ni nani kwani kwa sababu hadhi yake ni raia ya raia wa kawaida tu kama walivyo raia wengine walio na kesi mahakamani...??

3. It's obvious that, wewe ni mfuasi wake na mnufaika wa uhalifu wake because if someone looks at your face, he/she can easily see desperation and disappointment...

4. Na bado. Hii ni rasha rasha tu. Maana viongozi wajinga na wapumbavu sampuli ya Ole Lengai Sabaya, wasio na kinga yoyote ya kikatiba, wasioweza kutumia akili zao vizuri ktk kutekeleza majukumu yao ya kiserikali na badala yake wanatumia vibaya madaraka yao (abuse of power) ili kuumiza, kuiba, kuua na kufanya ufisadi dhidi ya raia huku wakijidai na kusema "mimi ndiye serikali, hakuna wa kunifanya lolote", wako wengi sana....!!

5. Siku utawala wa CCM utakapokuja kuanguka na kukoma, mahakama zitakuwa bize mno. Mpaka makaburi ya baadhi ya binadamu hawa yatakuja kufukuliwa au la basi yatacharazwa viboko sana....!!
 
Tunatakiwa kuwafundisha wananchi wetu umuhimu siyo tu wa kuwashitaki viongozi waovu bali pia kuwaondoa madarakani kwa njia yoyote ile viongozi wahalifu ili sheria ichukue mkondo wake.
 
Mimi ni mawazo yangu binafsi na nawatakia yaliyo mema kama Taifa.

Warnings: Hii tabia iliyoanza kiongozi akiachia madaraka, basi mnaanza kushitakiana ni dalili mbovu kabisa kama Taifa. Mambo mengine kama kiongozi yalishapita ni busara na hekima kuyaacha yapite.

Kumbuka uongozi siyo suala la kudumu itafikia wakati mtaachia hatamu na wanaweza kuingia tena ktk uongozi wengine watakao kutarget wewe binafsi na jamii yako.

Nawataenda mbali zaidi na kuondoa kinga ya kutoshitakiwa kwa kiongozi. Na kwa mtindo huo mnatengeneza siasa za kuanza kupiga kura kwa ukabila na ukanda ili kuja kukomoa watu fulani. Viongozi kuweni makini.

Nawahusia kwa sauti ni kitoka nyikani.
Mkuu shughuli hiyo ni kwa mujibu wa KATIBA. Kwa hali iliyojitokeza katika kupindi cha 2015/'21 kwa viongozi hao unaowatetea, ni kwamba hali ingekuwa mbaya sana kama hakungekuwa naKATIBA kabisa. Nimalize kwa swali: 1. wewe unataka viongozi wasishitakiwe sasa unataka nani ashitakiwe? 2. Viongozi wakubwa wameshitakiwa hadi Mawaziri, mbona hukutoa pendekezo lako, na kwa nini sasa?
 
Back
Top Bottom