Mtima...

aikaruwa1983

JF-Expert Member
May 6, 2011
1,398
1,499
helo Jf hivi hivi hii kitu mtima katika mwili wa binadamu unapatikana sehemu gani?
pia ni mfupa, mshipa au msuli coz ni kawaida mtu kusema yule dada kautikisa mtima wangu!!!!
msaada wa ufafanuzi.....
 
mtima ni mchanganyiko wa nyama, mfupa na mishipa ya damu ambao ukimuoda dada ana kanga ndembe unatikisika.
Kutisika huko husababisha tetemeko la mwili ambalo hupimwa kwa richeti scale za maneno ya mwanamme toward the said mwanamke.

Wakati mwingine tetemeko hilo husababisha kuwamgika kwa lava juu ya milima ya mwanamke.
 
mtima ni mchanganyiko wa nyama, mfupa na mishipa ya damu ambao ukimuoda dada ana kanga ndembe unatikisika.
Kutisika huko husababisha tetemeko la mwili ambalo hupimwa kwa richeti scale za maneno ya mwanamme toward the said mwanamke.

Wakati mwingine tetemeko hilo husababisha kuwamgika kwa lava juu ya milima ya mwanamke.

mhhh nimetoka kapa
 
Mtima ni moyo.....ni neno la kiganda mara nyingi kwenye nyimbo zao nasikia wanasema "mtima wange" ambao ni moyo wangu.
 
Mtima ni moyo.....ni neno la kiganda mara nyingi kwenye nyimbo zao nasikia wanasema "mtima wange" ambao ni moyo wangu.
sio kiganda tu hata hapa TZ baadhi ya kabila neno mtima humaanisha moyo, mfano wahehe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom