nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
| ||
|
| ||
|
Mtikila ameishiwa. Serikali ya Tanganyika ndiyo nini? Kwani Kikwete ni rais wa wapi?
Hujui usemalo...Mtikila ameishiwa. Serikali ya Tanganyika ndiyo nini? Kwani Kikwete ni rais wa wapi?
Kweli kabisa. Kikwete si Mtanganyika.Hujui usemalo...
Mtikila hadai uwepo wa Kikwete... Anadai uwepo wa Tanganyika, kuwepo au kutokuwepo kwa Kikwete madarakani haku uhusiano na madai ya uwepo wa Tanganyika. Selikari ya Zanzibar ipo, lakini wanaidai iwepo kikamilifu...sembuse sisi tuliopoteza kabisa. ETI KUNA MAMBO YA MUUNGANO NA YASIYO YA MUUNGANO... Kwani hayo yasiyo ya MUUNGANO YANASHUGHURIKIWA NA SERIKALI GANI HUKU BARA?Kweli kabisa. Kikwete si Mtanganyika.
Tanganyika ipo. Ndani ya Tanzania. Ninaposafiri kutoka Arusha hadi Mwanza nimo ndani ya Tanganyika. Kikwete ni rais wetu na amiri mkuu wa jeshi. Zanzibar wanaye amiri mkuu wa jeshi? Hakuna tulichopoteza sisi Watanganyika ni kujidanganya tu. Hivi umewahi kujiuliza tukiwa na serikali tatu ni nani atakayekuwa amiri mkuu wa majeshi? Ni rais wa Tanganyika au rais wa serikali ya tatu?Mtikila hadai uwepo wa Kikwete... Anadai uwepo wa Tanganyika, kuwepo au kutokuwepo kwa Kikwete madarakani haku uhusiano na madai ya uwepo wa Tanganyika. Selikari ya Zanzibar ipo, lakini wanaidai iwepo kikamilifu...sembuse sisi tuliopoteza kabisa. ETI KUNA MAMBO YA MUUNGANO NA YASIYO YA MUUNGANO... Kwani hayo yasiyo ya MUUNGANO YANASHUGHURIKIWA NA SERIKALI GANI HUKU BARA?
Tanganyika ipo. Ndani ya Tanzania. Ninaposafiri kutoka Arusha hadi Mwanza nimo ndani ya Tanganyika. Kikwete ni rais wetu na amiri mkuu wa jeshi. Zanzibar wanaye amiri mkuu wa jeshi? Hakuna tulichopoteza sisi Watanganyika ni kujidanganya tu. Hivi umewahi kujiuliza tukiwa na serikali tatu ni nani atakayekuwa amiri mkuu wa majeshi? Ni rais wa Tanganyika au rais wa serikali ya tatu?
Kabisa. Na wala sihitaji dawa ya mtu yeyote. Tanganyika imekuwepo na itaendelea kuwepo. Msichokifahamu ni kwamba Tanganyika ndiyo imeshika usukani wa muungano. Bila usukani huo Zanzibar mambo yatasarika.we siyo mzima!