Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Kwa wale wapenzi wa Rev chriss ama christopher mtikila kwa walioangalia ITV Kwa huzuni kubwa jamaa wakiwa na defender wamemnyaka na suti yake town na mikanjanaja yake kwenye mabegi na kuelekea kutmikia miezi yake kadhaa 6 huko jela
Kwa huzuni kubwa wapenzi wa uraiani tutammiss rev mpaka mafuta wa bwana alikuwa akisumbua mahakama zote za dar es salaam mpaka mwakani mwezi wa pili yaani 01/02/2011 bila matumaini na kwa huzuni kubwa inaonyesha jamaa atapigia kura akiwa jela kwa hukumu hii
Mungu amtie nguvu kama alivyoomba polisi aseme neno moja kabla ya kwenda kwenye gari la defender nasema haki aipo nchi hii na ipo siku haki ya mtanzania itapatikana hata kwa nguvu...naamini ipo siku tutaonana na kucheka upya kwa ajili ya uchaguzi wa 2015
natumaini sheria imefatwa mkondo wake naomba tuzidi kujipa moyo tuko na wewe kimwili na kiroho...hata baibo inasema tuheshimu mamlaka ya nchi atuna budi kufika wakati kuheshimu sheria za nchi pia
Mungu akubariki Rev chriss
Kwa huzuni kubwa wapenzi wa uraiani tutammiss rev mpaka mafuta wa bwana alikuwa akisumbua mahakama zote za dar es salaam mpaka mwakani mwezi wa pili yaani 01/02/2011 bila matumaini na kwa huzuni kubwa inaonyesha jamaa atapigia kura akiwa jela kwa hukumu hii
Mungu amtie nguvu kama alivyoomba polisi aseme neno moja kabla ya kwenda kwenye gari la defender nasema haki aipo nchi hii na ipo siku haki ya mtanzania itapatikana hata kwa nguvu...naamini ipo siku tutaonana na kucheka upya kwa ajili ya uchaguzi wa 2015
natumaini sheria imefatwa mkondo wake naomba tuzidi kujipa moyo tuko na wewe kimwili na kiroho...hata baibo inasema tuheshimu mamlaka ya nchi atuna budi kufika wakati kuheshimu sheria za nchi pia
Mungu akubariki Rev chriss