Serikali ingefanya liwezekanalo kuurejesha mtihani wa kidato cha pili,maana watoto wa siku hizi wanamaliza f.4 hata kuandika insha kidogo hawawezi.Kwa kifupi wengi wanamaliza wakiwa vilaza zaidi ya vile walivoingia.Matokeo ya F.4 mwaka 2010 ni ushahidi.