BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Ukiachika ama kuacha ndio usiolewe MKUU.....Utasikia "Nimejivua uanachama wa NCCR ila bado sijaamua pa kwenda" Baada ya siku mbili unamkuta kakalishwa kwenye benchi kwenye ofisi za tawi la CCM huko utasikia "Nimejiridhisha kuwa CCM ya sasa inatekeleza yale upinzani tuliyoyapigania kwa miaka 20 hivyo sioni haja tena ya kuwa upinzani" Ukimuuliza ni yapi anaanza blah blah huku akijua kuwa upinzani kwa miaka 20 sasa unapigania katiba mpya yenye nguvu, tume huru ya uchaguzi na kuheshimiwa kwa kila mhimili....Sasa sijui hayo ndo yanatekelezwa? Labda nipo nje ya Tanzania ndo maana sijui kinachoendelea!