Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Vp wandugu,jamaa mmoja alitaka kumtega mkewe kama anagawa uroda nje ama la,bac ikabidi uongee na mshikaji wake ili wamtege,jamaa akampa note moja ya Tsh 10,000/ huyu mshikaji wake ili amnunue mkewe,mambo yakaenda hivi,
MSHIKAJI:Shem mambo vp?ujue kitambo mie nakumind ila naogopa kuongea na wewe ila leo liwalo na liwe ukinikatalia poa ukinikubalia poa vilevile
MKE:he!we vp?
MSHIKAJI:Mie poa tu kama nilivyokuambia,yaani cntochelewa naingiza na kuchomoa tu nimezidi sana dk 5 nakulipa 10,000/ ca$h,ila hela nitaiweka sakafuni mpaka ukimaliza kuichukua na mie nishamaliza shughuli yangu.
MKE:ngoja niongee na mume wangu.
Ikabidi mke ampigie cmu mumewe
MKE:hallo mume wangu rafiki yako anataka kufanya mapenzi na mimi ila kaniahidi 10,000/ ataiweka sakafuni mpaka mie nikimaliza kuichukua na yeye atakuwa kashamaliza shughuli yake
MUME:hatochelewa?
MKE:ndio kasema hatochelewa ni dk 5
MUMEoa we mpe
Bac ikabidi mke atoe uroda,baada ya dk 5 mume anampigia cmu mkewe cmu haipokelewi,baada ya dk 45,mke anampigia cmu mumewe
MUME:he!dk zote hizo ulikuwa unafanya nini?
MKE:Rafiki yako alizimwaga coins za Tsh 20/ zenye thamani ya Tsh 10,000/tu sakafuni,sasa ilikuwa shughuli kidogo kuzikusanya maana zilikuwa zimemwagika ovyo ovyo.
MSHIKAJI:Shem mambo vp?ujue kitambo mie nakumind ila naogopa kuongea na wewe ila leo liwalo na liwe ukinikatalia poa ukinikubalia poa vilevile
MKE:he!we vp?
MSHIKAJI:Mie poa tu kama nilivyokuambia,yaani cntochelewa naingiza na kuchomoa tu nimezidi sana dk 5 nakulipa 10,000/ ca$h,ila hela nitaiweka sakafuni mpaka ukimaliza kuichukua na mie nishamaliza shughuli yangu.
MKE:ngoja niongee na mume wangu.
Ikabidi mke ampigie cmu mumewe
MKE:hallo mume wangu rafiki yako anataka kufanya mapenzi na mimi ila kaniahidi 10,000/ ataiweka sakafuni mpaka mie nikimaliza kuichukua na yeye atakuwa kashamaliza shughuli yake
MUME:hatochelewa?
MKE:ndio kasema hatochelewa ni dk 5
MUMEoa we mpe
Bac ikabidi mke atoe uroda,baada ya dk 5 mume anampigia cmu mkewe cmu haipokelewi,baada ya dk 45,mke anampigia cmu mumewe
MUME:he!dk zote hizo ulikuwa unafanya nini?
MKE:Rafiki yako alizimwaga coins za Tsh 20/ zenye thamani ya Tsh 10,000/tu sakafuni,sasa ilikuwa shughuli kidogo kuzikusanya maana zilikuwa zimemwagika ovyo ovyo.