Mtazamo

Benno

JF-Expert Member
Nov 21, 2009
332
51
HUU NI MTAZAMO
Ndugu, Watanzania wenzangu, Nimefuatilia mijadala ya Bunge la Jamhuri kwa muda mrefu, natamani kuwe na namna ya kuwahoji wabunge kwa namna wanavyopoteza muda mwingi kutoa misemo ya kejeli kwa wabunge wengine.

Mbunge kadiri anavyokuwa na uwezo wa kutoa misamiati ndivyo anavyopigiwa makofi mengi.
Nimeshuhudia Mbunge anaongea mada muhimu kwa utulivu mkubwa anazomewa,
Akitamka kejeli kwa wabunge wengine hushangiliwa.

KAMA WAO WANAKATAZA SIASA VYUONI ZINALETA VURUGU, KWANINI WAO WANALETA VURUGU BUNGENI?

SOMETIME Natamani kuwa na Direct line ya kuwapigia hawa wabunge na kuwakosoa immediately kabla ya mbunge mwingine kuchangia.


Binafsi nashindwa kutofautisha makundi ya vijiweni lna lugha wanazotumia na baadhi ya hawa wakubwa




























Sina pa kupeleka machozi yangu maana Mabomu ya machozi ni kwa ajili ya Binadamu
 
Hili nimeliona zaidi kwa wabunge wa ccm,mwenzao akiponda wapinzani makofi ukumbi mzima na vigelegele,lakini michango ya msingi na muhimu haswa zikiwasilishwa na wapinzani utawaona wabunge wa ccm wanapiga stori na kucheka..
Naamini hawapo pale kwa maslahi ya nchi zaidi ni wao na chama... ni kitu cha kusikitisha sana..
 
HUU NI MTAZAMO
Ndugu, Watanzania wenzangu, Nimefuatilia mijadala ya Bunge la Jamhuri kwa muda mrefu, natamani kuwe na namna ya kuwahoji wabunge kwa namna wanavyopoteza muda mwingi kutoa misemo ya kejeli kwa wabunge wengine.

Mbunge kadiri anavyokuwa na uwezo wa kutoa misamiati ndivyo anavyopigiwa makofi mengi.
Nimeshuhudia Mbunge anaongea mada muhimu kwa utulivu mkubwa anazomewa,
Akitamka kejeli kwa wabunge wengine hushangiliwa.

KAMA WAO WANAKATAZA SIASA VYUONI ZINALETA VURUGU, KWANINI WAO WANALETA VURUGU BUNGENI?

SOMETIME Natamani kuwa na Direct line ya kuwapigia hawa wabunge na kuwakosoa immediately kabla ya mbunge mwingine kuchangia.


Binafsi nashindwa kutofautisha makundi ya vijiweni lna lugha wanazotumia na baadhi ya hawa wakubwa




























Sina pa kupeleka machozi yangu maana Mabomu ya machozi ni kwa ajili ya Binadamu

hapo kwenye red, hao ni chadema hao. tena wengine huwa wanalipuliza kisawa sawa na wakifika tu mjengoni wanakuwa washafika mbinguni
 
HUU NI MTAZAMO
Ndugu, Watanzania wenzangu, Nimefuatilia mijadala ya Bunge la Jamhuri kwa muda mrefu, natamani kuwe na namna ya kuwahoji wabunge kwa namna wanavyopoteza muda mwingi kutoa misemo ya kejeli kwa wabunge wengine.

Mbunge kadiri anavyokuwa na uwezo wa kutoa misamiati ndivyo anavyopigiwa makofi mengi.
Nimeshuhudia Mbunge anaongea mada muhimu kwa utulivu mkubwa anazomewa,
Akitamka kejeli kwa wabunge wengine hushangiliwa.

KAMA WAO WANAKATAZA SIASA VYUONI ZINALETA VURUGU, KWANINI WAO WANALETA VURUGU BUNGENI?

SOMETIME Natamani kuwa na Direct line ya kuwapigia hawa wabunge na kuwakosoa immediately kabla ya mbunge mwingine kuchangia.


Binafsi nashindwa kutofautisha makundi ya vijiweni lna lugha wanazotumia na baadhi ya hawa wakubwa




























Sina pa kupeleka machozi yangu maana Mabomu ya machozi ni kwa ajili ya Binadamu

kaka utamaliza credit za simu yako bure.

bora hizo simu upigie ndugu zako wa kijijini uwaambie nchi ilivyovurugwa na magamba.
 
Back
Top Bottom