HUU NI MTAZAMO
Ndugu, Watanzania wenzangu, Nimefuatilia mijadala ya Bunge la Jamhuri kwa muda mrefu, natamani kuwe na namna ya kuwahoji wabunge kwa namna wanavyopoteza muda mwingi kutoa misemo ya kejeli kwa wabunge wengine.
Mbunge kadiri anavyokuwa na uwezo wa kutoa misamiati ndivyo anavyopigiwa makofi mengi.
Nimeshuhudia Mbunge anaongea mada muhimu kwa utulivu mkubwa anazomewa,
Akitamka kejeli kwa wabunge wengine hushangiliwa.
KAMA WAO WANAKATAZA SIASA VYUONI ZINALETA VURUGU, KWANINI WAO WANALETA VURUGU BUNGENI?
SOMETIME Natamani kuwa na Direct line ya kuwapigia hawa wabunge na kuwakosoa immediately kabla ya mbunge mwingine kuchangia.
Binafsi nashindwa kutofautisha makundi ya vijiweni lna lugha wanazotumia na baadhi ya hawa wakubwa
Sina pa kupeleka machozi yangu maana Mabomu ya machozi ni kwa ajili ya Binadamu
Ndugu, Watanzania wenzangu, Nimefuatilia mijadala ya Bunge la Jamhuri kwa muda mrefu, natamani kuwe na namna ya kuwahoji wabunge kwa namna wanavyopoteza muda mwingi kutoa misemo ya kejeli kwa wabunge wengine.
Mbunge kadiri anavyokuwa na uwezo wa kutoa misamiati ndivyo anavyopigiwa makofi mengi.
Nimeshuhudia Mbunge anaongea mada muhimu kwa utulivu mkubwa anazomewa,
Akitamka kejeli kwa wabunge wengine hushangiliwa.
KAMA WAO WANAKATAZA SIASA VYUONI ZINALETA VURUGU, KWANINI WAO WANALETA VURUGU BUNGENI?
SOMETIME Natamani kuwa na Direct line ya kuwapigia hawa wabunge na kuwakosoa immediately kabla ya mbunge mwingine kuchangia.
Binafsi nashindwa kutofautisha makundi ya vijiweni lna lugha wanazotumia na baadhi ya hawa wakubwa
Sina pa kupeleka machozi yangu maana Mabomu ya machozi ni kwa ajili ya Binadamu