Mtazamo hasi wajamii yetu kuhusu makabila haya . . !!!!

Mkuu mimi kwa kwa hao wamachame, Naunga mkono hoja..hawafai.
Ila kwa swala la ukicheche haijalishi kuwa we ni mmbulu,muhaya au mnyiramba kama inavyodaiwa,
watu wengi siku hizi ni vicheche..
Naomba kuwasilisha ila ni mtazamo tu
 
Hivi bado mpaka leo mnajadili makabila.................................!
 
Machame again? Am proud to be mwanamke wa Kimachame, wachaga maarufu kuliko wote, title tu inadipict kuwa Mmachame ni mwanamke strong, fighter, not ready to be oppresed, beautiful, intelgent and God fearing. Kwa yote hayo najua am marketable ni kiasi cha kuamua cuz pamoja na makelele yote ya kuwasema vibaya we still ROCK kuanzia hapa Jf mpaka mtaani! Wadada wote wa Kimachame hapa Jf thumbs up!! Teh!

ha ha ha umenichekesha sana dada hapo umeongea tu ila nilitamani useme mbele ya kadamnasi mama yangu mimi ni mmchame pure na ninawajua vizuri sana na nilipata kuishi huko mama yangu mwenyewe hani support hata kidogo kuoa mmachame nioe mchaga mwingine yoyote sio mmachame au mkibosho huo ni ukweli kabisaaa wengi wao sawa ni strong sana na mnajituma na kwa kuleta maendeleo mko juu sana ila hamna kitu kinachoitwa love hili mmelikosa katika maisha na katika mahusiano cha muhimu tunatakiwa tuwe na mapenzi hayo mengine yatakuja baadae wengi wao hujifanya top in da house hili ni ukweli mtupu mama yangu pia ni top in tha house bahati mbaya tu my dad alifariki kipindi cha nyuma, si msemi mama yangu kwa ubaya ila anasema huwa inajikuta imemtokea tu na huwa hawapendi kuonewa onewa so hata kama wanawake wamekosea kamwe kuomba msamaha ni ndoto na pale mwanaume anapomkosoa hapo zogo ndilo linapoanza. anyway mtoa mada kasema labda siku hizi wamechange ni mtazamo wake ila nongea kwa uzoefu nilio nao mkuu. mkioana nyie nyie maisha yanaenda maana wanaume wa kimachame wameshazoea mambo hayo.
 
hizo ni mila potofu na zakizamani sana.
mambo yamebaadilika sasa ivi, huyo mzee yeye hajabadilika kuendana na wakati?

mkuu kwenda na wakati gani huo unaozungumzia? unajua mjerumani akioa muingereza(british) au mtu wa holland jamii yake huwa inapinga hili jambo je ni washamba wao?? si kwa sababu ni historia yao bado inawasumbua sasa kwenda na wakati gani huo cha msingi ni kwamba kumuomba mungu akupatie mke bora ila lazima kupata maelezo ya kabila unalotakiwa kuoa na huo ni mtazamo wa watu wengi na ukiangalia kwa undani unakuta ni ukweli ila mwisho wa siku wanakuambia sio wote sasa wale ambao hawana hizo tabia ndio unatakiwa kumuomba mungu akusaidie ukutane nae. ila ukijifanya tunaenda na wakati ndio hayo mambo ya ndoa za siku mbili tatu zinavunjika.
 
Sidhani ile tu kuwa kabila flani automatically kunakufanya uwe na characters za lile kabila. Zamani ni kweli makabila yalikuwa ni taasisi zenye mila, miiko na tamaduni nyingine na mtu alipozaliwa na kukua kwenye hizo tamaduni alikuwa kweli anareflect baadhi ya tabia za kabila lake.

Kuna mambo kweli yalikuwa yako dhahiri shayiri kwenye baadhi ya makabila..mfano uchawi, unyago, jando na mambo kama hayo. Na jamii husika zilikuwa na utambulisho uliokuwa makini na kweli ukiangalia ulikuwa unakuta 'resemblance'. Na hii ilipelekea wazazi kuwa waangalifu kwa watoto wao hasa kwenye mahusiano ili kudhibiti mwingiliano wa mila na desturi zisizoendana.

Kwa maisha ya sasa ambapo mtoto anazaliwa Dar kwa baba Mngoni na mama Mchaga unawezaje kusema huyu mtoto ana mila za Kingoni ama za Kichaga. Hata kama wazazi wangependa watoto wao wawe na 'influence' ya ukabila wakati wakutafuta wenza wao kwa wakati tulio nao ni ngumu sana. Kwa kizazi cha sasa hata huo ukabila hau'reflect' chochote kwa sababu maisha yamekuwa more 'interactional' sasaivi kuliko zamani!!!
 
Machame again? Am proud to be mwanamke wa Kimachame, wachaga maarufu kuliko wote, title tu inadipict kuwa Mmachame ni mwanamke strong, fighter, not ready to be oppresed, beautiful, intelgent and God fearing. Kwa yote hayo najua am marketable ni kiasi cha kuamua cuz pamoja na makelele yote ya kuwasema vibaya we still ROCK kuanzia hapa Jf mpaka mtaani! Wadada wote wa Kimachame hapa Jf thumbs up!! Teh!
wanawake wa kimachame mpo JF Pia . Tumekwisha!!!!!!!!!!!!!!!
 
ha ha ha umenichekesha sana dada hapo umeongea tu ila nilitamani useme mbele ya kadamnasi mama yangu mimi ni mmchame pure na ninawajua vizuri sana na nilipata kuishi huko mama yangu mwenyewe hani support hata kidogo kuoa mmachame nioe mchaga mwingine yoyote sio mmachame au mkibosho huo ni ukweli kabisaaa wengi wao sawa ni strong sana na mnajituma na kwa kuleta maendeleo mko juu sana ila hamna kitu kinachoitwa love hili mmelikosa katika maisha na katika mahusiano cha muhimu tunatakiwa tuwe na mapenzi hayo mengine yatakuja baadae wengi wao hujifanya top in da house hili ni ukweli mtupu mama yangu pia ni top in tha house bahati mbaya tu my dad alifariki kipindi cha nyuma, si msemi mama yangu kwa ubaya ila anasema huwa inajikuta imemtokea tu na huwa hawapendi kuonewa onewa so hata kama wanawake wamekosea kamwe kuomba msamaha ni ndoto na pale mwanaume anapomkosoa hapo zogo ndilo linapoanza. anyway mtoa mada kasema labda siku hizi wamechange ni mtazamo wake ila nongea kwa uzoefu nilio nao mkuu. mkioana nyie nyie maisha yanaenda maana wanaume wa kimachame wameshazoea mambo hayo.

Ebanaeeee!Hii kali . . . . . . . . . .
 
Hivi bado mpaka leo mnajadili makabila.................................!

yeah bado ni ishu sana: mfano mama angu huniasa sana kuhusu wanawake wa kuoa mfano wanawake wa kabila langu (mimi ni mjita) anaamini kuwa wanawake wa kijita esp. wakiwa wamesoma japo diploma ni balaa wanatabia ya kumtawala mume. pia mama hunikataza wanawake wa makabila kama wahaya, wachaga na wanyakyusa kwa sababu mbali mbali, uwa namsikiliza ila mimi uwa sina specificity when comes to makabila kama atatokea wa kunikonga mtima wangu hata awe kabila gani mi najitwalia tu
 
Back
Top Bottom