mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Ikifika mahala Mtatiro naye ni kichwa Tanzania imeoza inatoa na funza.
hautupi shida wewe bacteria ecoli maana cv yako hii hapa
Join Date : 20th June 2011
Posts : 174
Rep Power : 21
Ikifika mahala Mtatiro naye ni kichwa Tanzania imeoza inatoa na funza.
Mkuu, vipi Nape usoni kamkorogo akìpigwa na taa za Studio uso unawaka?
Lakini last time kumsikia ni kwenye tume ya Rais ya kushughulikia mambo ya mikopo ya vyuo vikuu,,,ile tume ya watu 6 na yeye alikuwemo so cjui leo hii yuko wapi?.kuna mdau kani PM eti yuko IFM kama academic officerAaaah,hall gani?????na ameanza lini?what i know alipata kazi REDET
Mtatiro unamfananisha na NAPE mimi naona nape ndo kilaza zaidi!
Lakini last time kumsikia ni kwenye tume ya Rais ya kushughulikia mambo ya mikopo ya vyuo vikuu,,,ile tume ya watu 6 na yeye alikuwemo so cjui leo hii yuko wapi?.kuna mdau kani PM eti yuko IFM kama academic officer
Duh,mada ya leo bwana....utadhani debate ya....! anyway,hivi suala la mafuta kisingizio cha kwamba uarabuni sijui kuna machafuko sijui insurance nk. linatosheleza kuonyesha ufanisi?kwa nini serikali isipunguze posho na bajeti hiyo ikapelekwa kwenye hifadhi(reserve) ya taifa ya mafuta?
Are you normal? Mbna unachanganya hbr, anzisha thread yako mbna unakuwa kama wale wazee wa Magamba.Duh,mada ya leo bwana....utadhani debate ya....! anyway,hivi suala la mafuta kisingizio cha kwamba uarabuni sijui kuna machafuko sijui insurance nk. linatosheleza kuonyesha ufanisi?kwa nini serikali isipunguze posho na bajeti hiyo ikapelekwa kwenye hifadhi(reserve) ya taifa ya mafuta?
Are you normal? Mbna unachanganya hbr, anzisha thread yako mbna unakuwa kama wale wazee wa Magamba.
Kama muongozaji wa kipindi ni hamis dambaya, inabidi tumbo na mtatiro wawe makini,
Jamaa ana mahaba na wanamagamba hadi amepitiliza.
Huyu aliyejichubua NAPE ndiye anapoint?NAPE anamahaba.Erasto tumbo huna hoja!!
ha ha haaaa,imebidi nicheke...loh.hivi ulikuwa unafuatilia kipindi?thanks alot,usiku mwema mkuu.dah,JF raha tupu!
Yani huyu NAPE sijui lini atakuwa na akili timamu muda wote porojo na propaganda i hate this man.
Kachanganya kivipi mkuu!!Are you normal? Mbna unachanganya hbr, anzisha thread yako mbna unakuwa kama wale wazee wa Magamba.
Anaeneza Itikadi ya CCM............Itikadi ya CCM ni porojo za "Nimewatoa hapa, nimewafikisha pale"....kwa niaba ya JMKikwete!Hahhahahaaaaaa,mdau umesahau kuwa huyu ndiye kazi yake iliyomfanya aache ukuu wa wilaya,kaibu wa itikadi na uenez
Bahati mbaya sana nilidhani/tulidhani una hoja kumbe tatizo lako sii hoja! unachoonekana kukipigania huku siyo hoja bali ni personal attack.. bandiko lako linajielezaWewe ongelea hizo vyeo vyenu vya CUF, vya UDSM usiongee kwa kuwa nilikuwa behind kumpa vyeo vyote hivyo, aliletwa ofisini kwangu na Daud Deo nimsaidie nikafanya hivyo kwa kuwapa fund na back up ya watu wangu wote wa UDSM, hakuwahi kushinda na anaogopa uchaguzi. Kwa vyeo vya CUF kama mwenyeketi ni Lipumba sishangai hata mkiokota mwehu akawa katibu mkuu.