siku hizi nalisikia hili neno sana, hasa katika tv na radio, kwa mfano utasikia; mtanzania wa kawaida hafaidiki na madini ya nchi yake.......wakuu naomba ufafanuzi kidogo, mtanzania wa kawaida ni yupi??? na ambaye si wa kawaida ni yupi???
Ni next tym gani tena unayosema, wakati tayari ushaingia?...hello to everybody over there!
next time when i get a chance i will be in the chat room to join with wanajamii.