Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 127
Hii ni mbaya sana,kwa huyu Mtanzania kumuua mke wake. Halafu probably alimuoa huyu mwanamke ili apate uraia wa Denmark.
Halafu hili ni jambo ambalo linatokea zaidi kwa watu uneducated,watu of low social status,hasa Tanzania,kwa mtu kumuua mke wake kwa sababu za unfaithfulness.
Hakuna sababu ya kwenda jela kwa sababu hizi,kwa kufanya mambo,halafu kuona kwamba hakimu hakubaliani na wewe.
Hii ni kawaida kama hapa Marekani kwa wageni kuoa wanawake citizens ili waweze kupata Green Card,ambayo ni Residence Permit ya miaka kumi,ambayo inapatikana kwa urahisi kama ukimuoa mwanamke citizen.
Ganesh,
Long Beach,California.
1. Ganesh, jamaa hajawa proved guilty.By all accounts ushahidi unasemekana ku point kwamba huyu ndiye muuaji, lakini strange things happen in foreign countries, and every story like this has three sides, hers, his and the truth.We have some semblance of her story although we don't know it fully and will never know it because she is dead.But we have enough to get an idea.But we don't know much about his story.What is his story?
2. Haya mambo ya status Tanzania una data gani? Mbona tuna mifano mingi ya watu wa "highbrow" walioua Tanzania? Halafu familia yenu, hasa baba yako, mnaheshimika sana Tanzania kwa kuleta a classless society, sasa hii divisive talk ya kuwa talk down watu wa low status Tanzania ndio murderers inatoka wapi? Au kukulia Ikulu kumekufanya snob mazee?
3. Halafu hizi habari za kuona kila Mtanzania ana worship Green Card ni ulimbukeni ambao haufai kuendekezwa mazee, hasa kwa mtu who should know better kama wewe.Kama ni kweli haya mambo yametokea kwa nini unafikiri si kwa sababu ya matatizo ya kinyumba? Kuna ma culture clash na ma issue kibao ambayo yanatatiza hata ndoa za makabila/dini tofauti kati ya Watanzania na watanzania, sembuse Mtanzania na M-Dane? I have a friend who decided to go back to Tanzania this year, and he had a Green Card, and he was eligible to apply for American Citizenship, lakini kaktaa na kaamua kurudi nyumbani.Sio kila Mtanzania ana worship Green Card na kuishi nchi za watu jamani.
Hizi sweeping statements tuziangalie jamani.