Mtanzania aliyeuawa Los Angeles-Caroline Mmari kuzikwa kesho Dar.

Sijui kama ni kweli lakini specific information za marehemu caroline zinasema kwamba kauawa na 'muwe wake' mwanaume mweusi wa kimarekani ambaye amezaa nae mtoto wa kike wa miaka mitatu. Na kwamba huyo mtoto kwa sasa kawekeshwa kwenye foster family. Nadhani hii itatoa picha kidogo japo ya contents za orientation program kwa ajili ya watanzania na particularly wa dada wanaotoka hapa nyumbani kwenda kutafuta maisha. Nadhani kidogo inaendeana (bila kutaka kufunua vidonda) na ile kesi ya Bgoya na binti mwingine wa kitanzania waliouawa pia, tena nao kikatili. Tulisikia tu kwa mbali kwamba a person of interest was an african america formerly married to dada yetu wa kitanzania before she decided to move on to this new relationship. Tunawapa pole sana watanzania wenzetu na nafikiria we are rightfully correct to demand for some explanation or feedback on the progress of investigation. Kwa huku America nadhani ni vigumu sana kwa mtu wa nje kupewa kipaumbele tunachotarajia kwa sababu vifo huku ni vingi sana kila leo, particularly vya weusi kuuana. Sasa kama mpaka sasa hata kwenye hicho kifo chenyewe cha caroline hatujasikia any formal statement from the government, sijui kama tutategemea balozi zetu ku demand any explanation from the USG. SWALA ZIMA NI MAKARATASI na sijui kwa nini silioni ku feature kwenye agenda za Diaspora
 
duh! kumbe ufahamu wenyewe wa viwanja ni kwa kutembelea na sio kwa ukaazi/kuishi viwanja!
mbona wa aina hii wako wengi tu, yaani wa kuhudhuria viwanja siku mbili/tatu kisha hao wanachomoka.
sasa watu wa aina hii, sina nia ya kudhalilisha, kusema wanavijua viwanja ni upotoshaji wa maana nzima
ya kujua maisha ya mahali walipotembelea.

rip carol

Haa haaa tena inawezekana hivyo visafari ni vya kikazi na kimshiko cha kimahesabu! Hajui wako wabongo wataalamu wakutegemewa na wanapeperushiwa bendera ya Tanzania kama kazi.
 
Ungekuwa na hii reverence usingeandika chochote kwenye thread in the first place. Huwezi kuanzisha usichoweza kukimaliza.

mhhh Kiranga, ,,, una hasira hasa!. Na wezako. Tulia mchukue points hizo. Habari ya kusema tunajifanya tumesafiri au kuona watu wenye low lives huko tulikoenda na wala kuwa tunafuatilia life ya watu siyo point hapa. Tuna-respond kwenye thread. Kama unasoma kwa makini na kuelewa; kuna watanzani wangapi wanakufa hapa bongo hawawi reported kwenye JF? Sina hakika kama unanielewa au unataka kuibisha kwa hija za nguvu ama hizo hapo juu....

Mwezano mwingine kadai hajui maana ya Stowaway. Nimemchukulia kwenye wikipedia-A stowaway is a person who secretly boards a vehicle, such as an aircraft, bus, ship or train, to travel without paying and without being detected. There are several different reasons for which a person might try to become a stowaway, among them free transport andillegal immigration.
 
mhhh Kiranga, ,,, una hasira hasa!. Na wezako. Tulia mchukue points hizo. Habari ya kusema tunajifanya tumesafiri au kuona watu wenye low lives huko tulikoenda na wala kuwa tunafuatilia life ya watu siyo point hapa. Tuna-respond kwenye thread. Kama unasoma kwa makini na kuelewa; kuna watanzani wangapi wanakufa hapa bongo hawawi reported kwenye JF? Sina hakika kama unanielewa au unataka kuibisha kwa hija za nguvu ama hizo hapo juu....

Mwezano mwingine kadai hajui maana ya Stowaway. Nimemchukulia kwenye wikipedia-A stowaway is a person who secretly boards a vehicle, such as an aircraft, bus, ship or train, to travel without paying and without being detected. There are several different reasons for which a person might try to become a stowaway, among them free transport andillegal immigration.

Sasa kwa maana hiyo uliyoitoa wiki, na kwa kutumia akili zako za kawaida, unadhani bado kuna watu wanao 'stowaway' kwenda majuu?
 
Tanzanian Actor died in a fire (SPECIAL) istanbul turkey.

05 January 2009 - 14:56​
January 5, 2009 - 14:56

In Turkey, drawn, and I live in a group, African's life story the movie playing in Tanzanian Abdullah Ramazan (34) Pera lived in the house last week the fire burning died. Tanzanian Abdullah's friends, the fire suspicious scored the investigation asked.
Ramazan'ın arkadaşları yangından sonra evde tiner kokusu geldiğini ve yangında Ramazan'dan başka kimsenin yara bile almadığını belirtti.​
Ramadan's friends after the fire came in the house and the smell of paint thinner in the fire of Ramadan did not even get anyone from the wounds he said.
Yangın çıktığı sırada evde Abdullah Ramazandan başka birlikte yaşadığı Filipinli kadın, iki oğlu ve bir misafirlerinin bulunduğu belirtildi.​
Abdullah Ramadan in the house on fire while living in the Philippines other than the females, which have two sons and one guest said.
Alınan bilgiye göre olay 25 Aralık günü Tarlabaşı Acin Bahar Sokak 40 numarada bulunan binanın 4.​

According to information received on December 25 Tarlabaşı deplorable events in building number 4 of 40 Spring Street
katında meydana geldi. Tanzanyalı Abdullah Ramazan birlikte yaşadığı Filipinli Lucila Macalinao iki oğlu ve bir misafiri ile evde bulunduğu sırada yangın çıktı.​
occurred at times. Tanzanian Ramadan Abdullah lived with his son and two Filipinos Lucila Macalinao in a guest house where the fire broke out at the time.
Alevler bir anda binayı sararken Abdullah Ramazan dışındaki şahıslar, arka pencereden dışarı çıkmayı başardı.​
We wrapped a building when the flames outside parties, Ramadan Abdullah, was able to get out of the back window.
Ramazan ise içerde alevlerin arasında kaldı.​
Ramadan was caught between the flames inside.
Ağır yaralanan Ramazan, hastanede 3 gün tedavi gördükten sonra hayatını kaybetti.​
Ramadan seriously injured in hospital, died three days after treatment.
Abdullah Ramazan'ın arkadaşları yangını ve yangında sadece arkadaşlarının ağır yaralanmasını şüpheli buldu.​
Ramadan Abdullah's friends on fire and fire only serious injury of a friend found a suspect.
Polis yangınla ilgili soruşturma başlattı.​
Police launched a probe into the fire.
Yangın sırasında evde bulunan Filipinli Lucila Macalinao'nun iki oğlu gözaltına alandı.​
Lucila Macalinao'nun Filipinos at home during the fire which was the custody of two sons.
Geçen yıl İstanbul'da çekilen ve bir grup Afrikalının yaşam mücadelesini konu alan "Joen Joy" filminde oynayan Abdullah Ramazan'ın cenazesi Adli Tıp Kurumu'nda yapılan otopsinin ardından ülkesi Tanzanya'ya gönderdi.​
A group of captured Africans in Istanbul last year and the subject area of the struggle for survival "Joe's Joy" Abdullah Ramadan's funeral in the movie playing at the Forensic Medicine Institute of the autopsy were sent to Tanzania after the country.
Abdullah Oğuz'un arkadaşları, yangının çıkış şekli hakkında bilgi sahibi olmadıklarını, ayrıca itfaiyenin yangından sonra evde tiner koktuğu bilgisini kendilerine verdiğini söyledi.​
Abdullah Oguz's friends, they do not have information about the shape of the fire exit, as well as paint thinner smell in the house when the fire department after the fire said the information given to them.
Abdullah Ramazan'ın evinde tiner gibi yanıcı maddelerin bulunmadığını dile getiren arkadaşları olayın iyice araştırılmasını istedi.​
Abdullah Ramadan in the house did not contain combustible materials such as paint thinner friends who expressed his wish to investigate the incident thoroughly.
Özel bir ambulansla Adli Tıp Kurumu'ndan alınan Abdullah Ramazan'ın cenazesi arkadaşlarının gözyaşları ve duaları ile ülkesine gönderildi.​
Special received an ambulance from the Forensic Medicine Institution Abdullah Ramadan with prayers and tears of a friend's funeral were sent to the country.


Chanzo Google Translate

Na hapo Uturuki Kuna Mtanzania aliye chomwa Moto na Mwanamke wake wa Kifiliphino kwenye nyumba Sababu ya Wivu. Huyo Mtanzania Abdullah Ramazan (34) inasemekana alikuwa anaishi nae huyo mwanamke wa KiFiliphino nyumba kwa muda wa miaka 7. Sasa huyo Abdullah Ramazan (34) alikuwa pia ana uhusiano na mwanamke mwengine wa Ki Ethiopia sasa yule mpenzi wake wa kifiliphino aliposikia bwana wake nina maanisha Mr Abdullah Ramazan (34), kuwa ana mwanamke wa Kiethiopia akafanya mipango na Mafia wa kituruki kuja nyumbani kwake kumuuwa Mr Abdullah Ramazan (34). Na kisha Kumwagia Tina mwilini kisha kumchoma moto kisha huyo mwanamke akatoka nje ya nyumba na kupiga makelele ya moto Moto walipokuja Polisi na wazima Moto Marehemu Mr Abdullah Ramazan (34) amekwisha kufa na kuunguwa mwili mzima hiyo ndio History za Watanzania wanaoishi Ughaibuni.
 
Vifo vya utata vipo kila mahali inategemea mazingira yaliopo kwa wakati ule. Binadamu wa sasa katika kutafuta maisha inabidi aende huku na huko. hapa nyumbani pia vinatokea vifo vingi vya kikatili na vya utata. Wengine wananyonga wapenzi wao na kuwatupa kwenye kiloba, wengine wanaua wenzao kwa kutafuta mali au uadui kama yale ya juzi kwa prof. Mwaikusa. haya yote kama yangetokea nje ya nchi tungesema kwenda nje kubaya sana. wengi wanaoenda nje wanakuwa salama kuliko wale wanaopatwa na vifo. mara nyingi inategemea na hali inayokuzuunguuka kw a wakati ule. Risks ziko kila mahali. na pia rehema za Mungu zisisahaulike sana katika matukio kama haya.
 
Back
Top Bottom