Dexta
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 1,756
- 4,144
😭😭TANZIA TANZIA TANZIA 😭😭
Ndugu zangu ninawaletea taarifa ya msiba mwingine.
Tumempoteza ndugu yetu Mtanzania mwenzetu bwana Mohammed Ramadhani aliyekuwa akiishi South Africa katika jiji la Cape Town jimbo la Fley.
Ndugu yetu Mohammed amefariki usiku wa jana huko Cape Town kwa kupigwa risasi na mtu asiyejulikana. Kwa Tanzania anatokea mkoa wa Tanga.
Mbele yake nyuma yetu.
🙏🙏🙏
Ndugu zangu ninawaletea taarifa ya msiba mwingine.
Tumempoteza ndugu yetu Mtanzania mwenzetu bwana Mohammed Ramadhani aliyekuwa akiishi South Africa katika jiji la Cape Town jimbo la Fley.
Ndugu yetu Mohammed amefariki usiku wa jana huko Cape Town kwa kupigwa risasi na mtu asiyejulikana. Kwa Tanzania anatokea mkoa wa Tanga.
Mbele yake nyuma yetu.
🙏🙏🙏