Nilisikiliza kipindi hicho hakuna mahala alipoitaja JF, wakati mwingine tusiwafanye watu watoe povu hapa jamvini bila sababu ya msingi
lakini kuna thread kama tatu hivi zimenzishwa humu zikimgusa GZ, jo vile wdau wanahisi jamaa kareactNilisikiliza kipindi hicho hakuna mahala alipoitaja JF, wakati mwingine tusiwafanye watu watoe povu hapa jamvini bila sababu ya msingi
Kuna katabia kameota mizizi hapa JF yjadili hoja badala ya kujadili mtoa mada,watu wanakashifiwa au hawakashifiwi? Mara ngapi jk,Mwl Nyerere,Mkapa,Slaa,Zitto,mboe,Lipumba viongoz wa dini wanakashifiwa,hili ni jukwaa la wanadam so halikosi mapungufu? Hivi JF ya 2007 ndo hii ya leo? Kuukana udhaifu ni udhaifu mkubwa zaidi na kukiri udhaifu ni ujasir mkubwa,tuchague kuwa majasiri kwenye hili,Nani humu anaweza kujitwika dhamana ya member wote ya ku exercise haki yao ya kujieleza bila ya kuvunja wajib wa kuheshim haki za wengine,hoja ya mwandishi wa TBC ni udhalilishaji wa watu humu JF kama unaunga mkono au kupinga weka hoja sio kutumia escape goat kwa kumshambulia mleta hoja huo ni ulimbukeni wa Demokrasia!
Duuuh wewe ni mwongo tena umepitiliza..nimewatch kipindi hakuna sehemu ametaja jf isipokua wewe tu ume-make inferences zako mwnyw..
Alichosema yeye ni mitandao ya kijamii ambapo mtu anapost kitu hata kama hana uhakika nacho na kutaka wadau wachangie hata kama inachafua watu..sasa kama ni jf au facebook au mtandao mwingine ye hakusema specifically ila umejihisi tu..which again raises eyebrows.swali ni,kwann uhusianishe moja kwa moja na jf?Ama kuna ukweli watu mna abuse jf naww ukiwa ni mmojawapo kwa kupotosha hii habari ulopost?
Duuuh wewe ni mwongo tena umepitiliza..nimewatch kipindi hakuna sehemu ametaja jf isipokua wewe tu ume-make inferences zako mwnyw..
Alichosema yeye ni mitandao ya kijamii ambapo mtu anapost kitu hata kama hana uhakika nacho na kutaka wadau wachangie hata kama inachafua watu..sasa kama ni jf au facebook au mtandao mwingine ye hakusema specifically ila umejihisi tu..which again raises eyebrows.swali ni,kwann uhusianishe moja kwa moja na jf?Ama kuna ukweli watu mna abuse jf naww ukiwa ni mmojawapo kwa kupotosha hii habari ulopost?
mtangazaji wa tbc 1,zakaria amemuuliza mkurugenzi wa tcra,ktk kipindi cha tuambie,wanazungumzia kuhusu kikoa(domain name).tz,kuwa kuna mitandao inatumika kukashifu wa2 mbona haifungwi,akasema mtu anaanzisha mada na kusema wadau mnasemaje? Ndio wa2 wanaanza kutukana watu.ila prof.nkonya akamwambia kama haikusajiliwa tz inakuwa ngumu,kuifunga,utaifunga tz,lakini kenya itapatikana.
mtangazaji wa tbc 1,zakaria amemuuliza mkurugenzi wa tcra,ktk kipindi cha tuambie,wanazungumzia kuhusu kikoa(domain name).tz,kuwa kuna mitandao inatumika kukashifu wa2 mbona haifungwi,akasema mtu anaanzisha mada na kusema wadau mnasemaje? Ndio wa2 wanaanza kutukana watu.ila prof.nkonya akamwambia kama haikusajiliwa tz inakuwa ngumu,kuifunga,utaifunga tz,lakini kenya itapatikana.
Siku zote ukweli unageuka kuwa tusi kwa watu wenye uelewa mdogo
Duuuh wewe ni mwongo tena umepitiliza..nimewatch kipindi hakuna sehemu ametaja jf isipokua wewe tu ume-make inferences zako mwnyw..
Alichosema yeye ni mitandao ya kijamii ambapo mtu anapost kitu hata kama hana uhakika nacho na kutaka wadau wachangie hata kama inachafua watu..sasa kama ni jf au facebook au mtandao mwingine ye hakusema specifically ila umejihisi tu..which again raises eyebrows.swali ni,kwann uhusianishe moja kwa moja na jf?Ama kuna ukweli watu mna abuse jf naww ukiwa ni mmojawapo kwa kupotosha hii habari ulopost?
Waite vyovyote vile utakavyopenda, lakini ni watu ambao wana ushawishi fulani katika jamii au wanafanya kazi au kutumikia vyombo vyenye aina ya ushawishi fulani kwa jamii! kuna mambo matatu ninayahofia kwa JF kuhusu haya ya hawa wawili:wote wanaoishambulia jf ni sisimizi,nataka jk siku moja alie kwamba jf inawataja vimada wake hadi first lady amewajua,hapo nitasema wameisoma!who is lwakatare?zacharia(huyu anatangaza huku kakodoa macho ya woga kama anapokea maelekezo flani)
Nijuavyo mimi, kwenye majukwaa haya, kama unaona mtu ametoa au kuelezea kitu ambacho kwa mtazamo wako unaona kwamba amekosea, wewe unachotakiwa kukifanya, na ndicho watu wote wanachokifanya humu hata akina Nape, nao wanaingia na kuelezea kwa jinsi wanavyoona wao ni sahihi hata kama wanajua kuwa wanachoongea ni cha uongo lakini wanajua kwamba hoja hujibiwa kwa hoja. Sasa ukikuta mtu kama huyo Zakaria badala ya kujibu hoja kwa jinsi zinavyotolewa humu yeye anakwenda kulia lia as if anapekechwa kwa watu ambao hawawezi kumsaidia, inashangaza sana na kutilia mashaka uweledi wake kama mwanahabari!Hii forum watu wanatoa maoni yao. Kwa nini yeye inamkera watu kutoa maoni waliyonayo kwa uwazi. Hii nchi inaruhusu uhuru wa kutoa maoni, yeye ni nani kutaka kuminya uhuru huo. Ukiwa kanjanja ni tatizo kubwa.
Ulitaka aulizeje iwapo yeye ameona kitu kama hicho?white wizard said:kuna mitandao inatumika kukashifu wa2 mbona
haifungwi