King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,697
- 68,684
Umofia kwenu wana JF,
Jana nilikuwa maeneo ya mpakani mwa tz na kenya ndipo nlipokutana na jamaa yangu ambaye ni mwandishi wa habari pande za nai,alinitonya kwamba mtangazaji wa habari za kijasusi Mohamed Ali alias Moha anaendelea kuandaa kipindi cha jicho pevu kuhusu swala la escrow,aliniambia kwamba jamaa alianza kufatilia tangia mwezi wa tano na anatarajia kurusha mwezi wa 12 KTN TV ambapo docs pamoja na ushahidi wote kukamilika.
Stay Tuned.
Jana nilikuwa maeneo ya mpakani mwa tz na kenya ndipo nlipokutana na jamaa yangu ambaye ni mwandishi wa habari pande za nai,alinitonya kwamba mtangazaji wa habari za kijasusi Mohamed Ali alias Moha anaendelea kuandaa kipindi cha jicho pevu kuhusu swala la escrow,aliniambia kwamba jamaa alianza kufatilia tangia mwezi wa tano na anatarajia kurusha mwezi wa 12 KTN TV ambapo docs pamoja na ushahidi wote kukamilika.
Stay Tuned.