Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Wanajamvi naomba mwenye taarifa na mahali alipo mtangazaji wa zamani wa vipindi vya muziki katika televisheni ya CTN Rahma Aziz. Ni mmoja wa watangazaji wachache wabunifu katika vipindi vya muziki aliyewahi kuwepo Tanzania.
Yu wapi kwa sasa?
Yu wapi kwa sasa?