Del a boss
JF-Expert Member
- Apr 4, 2013
- 394
- 489
Death is the destination we all share again Heaven has received an Angels
******
******
Acha basi kunitisha jaman na ww!khaa
How do you know that I am happy?Are you pastor Lukau younger brother?
Habari za hivi punde ni kuwa mtangazaji maarufu wa Clouds FM, Ndugu Ephraim Kibonde amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 7 Machi 2019.
Kibonde alianza kusumbuliwa na presha akiwa katika msiba wa marehebu Ruge Mutahaba huko Bukoba mkoani Kagera na kuhamishiwa hospitali ya Bugando jijini Mwanza ambapo mauti yamemkuta.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza pamoja na Mkuu wa Vipindi wa Clouds FM, Sebastian Maganga wamethibitisha kutokea kwa kifo hicho.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa
Mwaka jana Ephraim Kibonde alimpoteza mkewe mama Sara Kibonde. Zaidi soma >TANZIA: Ephraim Kibonde afiwa na Mke wake Sara Kibonde - JamiiForums
View attachment 1039958
Ephraim Kibonde akiwa na mkewe enzi za uhai wao
Huyu atakuwa mwagito mpaka anaweza kusoma hisia zakoHow do you know that I am happy?Are you pastor Lukau younger brother?
kawombe Unatumia Iphone unavyoandika ni balaa umesoma chekechea kweli?? Napata wasi wasiHabari za hv punde kua huyu mtangazaji wa cluz media group ametutoka dunia.
Pole ndugu jamaa na familia kwa ujumla kwa kumpoteza kijana mchapa kazi.
Kama taifa na tasnia ya habari akika tumepoteza mtu makini sana.
Pumzika kwa amani mungu akupunguzie na azabu kabli.
Sent from my iPhone using JamiiForums