jakomala
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 514
- 367
Pole mkuu,huwa nahisi hawa jamaa wana taratibu zao za kupata habari so kama habari hawajaipata kutoka vitengo wanavyoviamini wao huchukulia kama uzushi na huifuta ila ikishakuwa confirmed akitokea member mwengine akaanzisha uzi unaofanana na wako unakuwa released jukwaani.Poleni sana CMG kwa misiba miwili mikubwa....
JF naona siku hizi mnachagua nani anafaa kuweka uzi na nani hafai kuweka uzi...
Nikiwa mwanza kikazi,leo asubuhi napata habari za kifo cha Kibonde toka kwa Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na Usalama Mkoa wa Mwanza...
Naingia kwenye page ya clouds ya IG wameshatoa taarifa za kifo cha staff wao...
Nami naandika thread hapa juu ya kifo cha Kibonde,naweka na supporting document toka page ya Clouds ya IG...
Nashangaa uzi wangu unafutwa... nakutupwa kwenye dustbin,ila aliyekuja nyuma yangu anaachwa na uzi wake...
Maswali yangu kwenu JF...
a) Hivi naweza toa taarifa za uongo kuhusu kifo cha mtu?? Kwa manufaa ya nani hasa. Hivi mlitaka muamini nini hasa kama nilichofanya mimi,ndicho alichofanya mleta mada nyuma yangu??
b) Je mnapenda watu.wapi wa namna gani watoe thread/uzi ndiyo uamini??
c) Nimepata taarifa toka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mwanza,pia Clouds wenyewe wakawa washatoa kabisa taarifa zao kwenye IG page yao... Ila mkaona hapana mkatoa uzi wangu.
Mnakera sana tena sana....Msipende kubagua nani anafaa na nani hafai kuweka uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan Acha nimehamaki haswaa mpenz ama kweli hakuna mwenye udugu na uhainimeumia sana..kifo hiki jaman
Hunishindi mm nilikua nampenda sn kibonde kwa Yale mautan yake mmh!nimeumia sana..kifo hiki jaman
Kuna watu wanajiona hapa duniani wao ndio wao.....tukumbushane jamani, tutende mema, tuwandee mema wenzetu, tuondoe vinyongo kwa wenzetu, tunayoyafanya na kujivunia ni upepo tu! Mungu akisema rudi huna cha kujitetea
Hunishindi mm nilikua nampenda sn kibonde kwa Yale mautan yake mmh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dahh,hii jingle naikubali mnno aiseekuzimu hakuna bia
ndio maana tuko hapa tunakunywa biaa
hata ukiondoka pia
rafiki zako tutakunywa zako bia