wakikosi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,354
- 1,485
Leo 20 January mtandao wa airtel umekuwa down kabisa, sms haziendi, Internet imegoma na huduma za airtel money zimekuwa chini sana ku process.
Yaani nimepata hasara sana leo pia nimeshindwa kuwasiliana nipo pande za Dar hapa.
Airtel mtufidie wateja wenu kwa usumbufu huu
Yaani nimepata hasara sana leo pia nimeshindwa kuwasiliana nipo pande za Dar hapa.
Airtel mtufidie wateja wenu kwa usumbufu huu