Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Mtambo wa kwanza kati ya ile mitatu iliyoagizwa na serikali kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura umewasili.Mtambo huu unatumia gesi na una uwezo wa kuzalisha megawatts 34.Matarajio ya serikali ni kupata megawatts 100 baada ya kuwasili na kufungwa kwa mitambo yote mitatu.